Dr Shein: Tunaandaa rasimu ya kuwatambua Watanzania wanaoishi nje kisheria, tutajenga Daraja la Zanzibar - Bara

Saivi nasikitika wanyamwezi na wamasai walivoifanya zanzibar kupoteza haiba yake. Dah kwa hali hii Wasukuma si watakuja kwa miguu Zanzibar. Mwenyezi mungu jaalia huu mpango wa Daraja usifanikiwe
 
Umeshakunywa chai?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, waliotowa wazo la hilo daraja ni Diaspora ya Wazanzibari, yaani Wazanzibari walioko nje ya Zanzibar, na Waomani nao wamo sasa watanuna kivipi?..

Please think before you write..be wise
 
Daraja la Bara mpaka Zanzibar litakuwa na urefu gani na linatakiwa kwa sababu gani?

Litagharimu fedha kiasi gani na zitatudishwaje na lini?

Tunaelewa kwamba kuna madaraja kama matano tu duniani yenye urefu wa bara mpaka Zanzibar au zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua nawasoma sehemu Diaspora wa Kizanzibar wanaoishi nje ndo wamechangishana na kuamua kujenga hilo Daraja...

Kwenye chanzo nimeona walikua na Machaguo 3....
-Daraja la Chini ya Maji.
-Daraja la juu lenye Nguzo.
-Daraja la kuelea Majini.

Kwa sababu ya Changamoto mbalimbali wakaamua watajenga Daraja la kuelea, niliona mpaka mchoro wao, nadhani Ilikua youtube.
 
Kuna shighuli gani inayohitaji daraja hapo?

Gharama zitarudishwaje? Lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madawati tu yameshidikana watoto wanaandikia chini...walimu wanahaha hali ni mbaya..hawajapanda madaraja.... Priorities bado ni tatizo kwa nchi yetu.
 
Ulikuwa utawala wa porojo na misifa sana.
Madawati tu yameshidikana watoto wanaandikia chini...walimu wanahaha hali ni mbaya..hawajapanda madaraja.... Priorities bado ni tatizo kwa nchi yetu.
 
Huu mpango umefikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…