Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Ni uzembe wake,ukitaka boat lazima ufanye booking ya uhakika ofisini kwao,hizi tickets za ukanguzi ni za waliochelewa boat au kucancel safari,sasa yeye anafika tickets zimeisha na anataka kusafiri kwanini walanguzi wasimwuzie wakati kule ofisi halali zishaisha level seats imejaa ,ni uzembe wake tu huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zimefika!
Sent using Jamii Forums mobile app