Dr. Shika aanza kuonesha makucha baada ya kupokea zaidi ya Tzs 130bn

Dr. Shika aanza kuonesha makucha baada ya kupokea zaidi ya Tzs 130bn

Halafu ukiisikiliza ile interview ya kusafirisha hela kutoka Airport - BOT - ECO Bank head office - ECO Bank branch unajua tu ni famba.

Kama una account ECO Bank Branch A, hela ikienda Head Office ambapo pana Branch unadeposit hapo hapo.

Ni ujinga tu. Pesa haiwezi kuja hapa nchini bila benki kuu kuwa na taarifa. Ukiileta hivyo lazima ikamatwe airport mpka taratibu zikamilike yule dada wa uganda mna kumuka kilichomkuta tena kwa $1m pekee. Eti una move physical money to BO ikaweverified. Then una peleka makao makuu ya benki nao waka verify. Halafu sasa unapeleka branch kudeposit. hata ,mbwa wangu huwezi kumdanganya hivyo asikubwekee.
 
Ni ujinga tu. Pesa haiwezi kuja hapa nchini bila benki kuu kuwa na taarifa. Ukiileta hivyo lazima ikamatwe airport mpka taratibu zikamilike yule dada wa uganda mna kumuka kilichomkuta tena kwa $1m pekee. Eti una move physical money to BO ikaweverified. Then una peleka makao makuu ya benki nao waka verify. Halafu sasa unapeleka branch kudeposit. hata ,mbwa wangu huwezi kumdanganya hivyo asikubwekee.
Poleni kwa mliopoteza MB kusikiliza huo ujinga
 
Balozi chokala aliyekuwa urusi kipindi cha dr shika alishawaambia tabia za huyo jamaa.
Maneno kama hayo ndio yalisababisha akavamiwa.
 
Ni ujinga tu. Pesa haiwezi kuja hapa nchini bila benki kuu kuwa na taarifa. Ukiileta hivyo lazima ikamatwe airport mpka taratibu zikamilike yule dada wa uganda mna kumuka kilichomkuta tena kwa $1m pekee. Eti una move physical money to BO ikaweverified. Then una peleka makao makuu ya benki nao waka verify. Halafu sasa unapeleka branch kudeposit. hata ,mbwa wangu huwezi kumdanganya hivyo asikubwekee.

Huko kote alishapita mkuu....Mtaelewana
 
1. Wine 9,500/-
2.Glass 3,000/-
3.Kukodi Theluthi ya eneo la nyumba kwa dk 15 =20,000/-
4.Matunda yale ya mezani 2,500/-

Jumla Tshs 35,000/-

Mkuu Shigongo acha ubahili ...ungewekeza hata kilo ungechota wengi zaidi kwenye hiki kiwonder...but ni ubunifu mzuri keep it up mkuu..
 
Shingongo aliharibu sana baada ya ku-introduce kitu anachokiita yeye fursa

Yaani mambo ya kufuatiliana fuatiliana hovyo huko dar mnaita udaka sijui wanawake na wale mapunga wanasema ubuyu
 
Back
Top Bottom