Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

Ukimuuliza swali la kifamilia maana yake unakubariana na sera za chadema %100. Habari ndo hii.
 
asante mdau kwa habari yako.naamini kwenye mdahalo huo mambo yataenda vyema,muongozaji ni Jenerali Ulimwengu,mtu wa kuuliza maswali ni Jemedari Dr.Slaa.Hapa hakuna haja ya kuhofu,hapa ni kichwa kwa kichwa.
 
muda siyo mrefu nimepokea ujumbe unaosomeka hivi '' tujipange vizuri youthleague wote nchi nzima....wasomi...walimu wa vyuo vikuu...makada...wajumbe wa baraza kuu n.k...kumuuliza maswali ambayo yatamuudhi kwenye mdahalo wa itv jumamosi...yale ya usemasema uongo...ugoni na wake za watu...alivyoacha upadre,kufukuzwa ukatibu chama cha walemavu na sababu zake@n.k jipange vizuri ili chadema wasipate nafasi ya kupiga simu za kumjenga.mdahalo unaanza saa1 jioni.''
aliyeniforwadia ni kada wa chichiEM na ameniambia anayesambaza imean source ni mtoto wa mmoja wa wagombea urais na kiongozi wa umoja wa vijana wa chama kimojawapo kikubwa.

mytake/:
nawashukuru kwa kuwa wanasaidia kusambaza ujumbe ili watu wengi wasikilize mdahalo huo ambao naamini dr atawawin wote watakaompa muda wa kumsikiliza. hoja hizo ni nyepesi sana na ana majibu ya hoja zote hizo. wadau kazeni mwendo wa kusambaza ujumbe watu wasikilize mdahalo huu...mwamko wa mabadiliko ni mkubwa sana nchi nzima,kuchukua nchi ni very possible. Vote dr Slaa.



Udaku.What's the credibility of the source of this information???!!!
 
Hilo la umeme likitokea sitashangaa kabisa, na si ajabu ukakatika siku chache kabla ya uchaguzi

kikwete.JPG
 
teha teha tehee....nlipoona tu started by......!!!hahahaaaaaaaaaa!!!
 
muda siyo mrefu nimepokea ujumbe unaosomeka hivi '' tujipange vizuri youthleague wote nchi nzima....wasomi...walimu wa vyuo vikuu...makada...wajumbe wa baraza kuu n.k...kumuuliza maswali ambayo yatamuudhi kwenye mdahalo wa itv jumamosi...yale ya usemasema uongo...ugoni na wake za watu...alivyoacha upadre,kufukuzwa ukatibu chama cha walemavu na sababu zake@n.k jipange vizuri ili chadema wasipate nafasi ya kupiga simu za kumjenga.mdahalo unaanza saa1 jioni.''
aliyeniforwadia ni kada wa chichiEM na ameniambia anayesambaza imean source ni mtoto wa mmoja wa wagombea urais na kiongozi wa umoja wa vijana wa chama kimojawapo kikubwa.

mytake/:
nawashukuru kwa kuwa wanasaidia kusambaza ujumbe ili watu wengi wasikilize mdahalo huo ambao naamini dr atawawin wote watakaompa muda wa kumsikiliza. hoja hizo ni nyepesi sana na ana majibu ya hoja zote hizo. wadau kazeni mwendo wa kusambaza ujumbe watu wasikilize mdahalo huu...mwamko wa mabadiliko ni mkubwa sana nchi nzima,kuchukua nchi ni very possible. Vote dr Slaa.


hahahaaaaa.... LOL!!!

Nimemuangalia slaa, he has unique qualities!!! subiri uone atakavyopangua hoja zinazoudhi, he is second to none on that one

Naomba Mungu kila swali linalokera, alijibu kwa swali linalokera, kwani he is pretty good at that too
 
muda siyo mrefu nimepokea ujumbe unaosomeka hivi '' tujipange vizuri youthleague wote nchi nzima....wasomi...walimu wa vyuo vikuu...makada...wajumbe wa baraza kuu n.k...kumuuliza maswali ambayo yatamuudhi kwenye mdahalo wa itv jumamosi...yale ya usemasema uongo...ugoni na wake za watu...alivyoacha upadre,kufukuzwa ukatibu chama cha walemavu na sababu zake@n.k jipange vizuri ili chadema wasipate nafasi ya kupiga simu za kumjenga.mdahalo unaanza saa1 jioni.''
aliyeniforwadia ni kada wa chichiEM na ameniambia anayesambaza imean source ni mtoto wa mmoja wa wagombea urais na kiongozi wa umoja wa vijana wa chama kimojawapo kikubwa.

mytake/:
nawashukuru kwa kuwa wanasaidia kusambaza ujumbe ili watu wengi wasikilize mdahalo huo ambao naamini dr atawawin wote watakaompa muda wa kumsikiliza. hoja hizo ni nyepesi sana na ana majibu ya hoja zote hizo. wadau kazeni mwendo wa kusambaza ujumbe watu wasikilize mdahalo huu...mwamko wa mabadiliko ni mkubwa sana nchi nzima,kuchukua nchi ni very possible. Vote dr Slaa.


/QUOTE]

Kwa wenzetu mlioko huko bongo (yaani Dar) mtusaidie ili tuweze kuupata huo mdahalo online kama inawezekana....
 
yote yanawezekana hasa katika nchi km yetu,hujuma ni sehemu ya siasa.
 
sasa hivi kwenyewe tangu hasubuhi umeme umeshakatika mara 3 kweli nimekubali ila nasubiri ifike hiyo saa 1 ili nitie tiki
 
wow,hata sitoki jioni mimi na tv tu,kukiwa na mgao wana jf muwe active maeneo haya kuleta mambo
 
Jumamosi, Oktoba 23 Mgombea Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa atajibu maswali ya wananchi moja kwa moja (live) kupitia ITV Televisheni, kuanzia saa moja jioni hadi tatu usiku.

Mwambie rafiki yako na wadau wote wa uchaguzi wasiokuwa kwenye mtandao huu, kwa njia ya simu au ujumbe mfupi wa maandishi, ni wakati murua wa kumuuliza maswali na kumbana kujua anataka kuifanyia nini hasa nchi hii, maana midahalo ndio kama hiyo ya urais hatuoni kama itakuwapo tena.


Tufunge huo mjadala wote tumeletwa na mwenyezi mungu hapa duniani. Mungu awajua walio wake na atawapigania katika mabaya yote. Tuendelee kumtumaini mungu tutashinda tu kwa uwezo wake.

Mengine tutajiumiza vichwa bure tufikirie kulinda kura kwa kwa akili zetu zote na kwa msaada wa mungu.

tutavuka salama Dr.Slaa ni Musa wetu.

Mimi ningeshauri aende one step further. Chama kinunue airtime on all major TV and Radio Stations Saturday usiku wa kuamkia tarehe 31, ahutubie watanzania wote na kuwapa kwanza shukrani na kuwahimiza wapige kura kwa kumchagua kiongozi makini ambae ataliondolea taifa hili janga la umaskini
 
kukiwa na mgao nadhani vijana wa hapa watakuwa wanatumwagia updatees kama kaaaaaaaaaaaawa.
 
Back
Top Bottom