Huyu "Dr" wenu wa theolojia alieshindwa kudhibiti flaizi ya suruari yake, akaishia kuzaa na changudoa ambae hajamuoa mpaka leo hawezi kuwa Rais wa JMT. Halafu kimada wake anagombea ubunge kwa tiketi ya CCM! big joke!. I feel sorry for him, hivi akisoma pumba za JF anajiona yeye ni presedential material kweli?
Endeleeni kupeana false hope lakini huyo Padri wa katoliki hatawali ng'oo!
Heri yeye ALIZAA na Changudoa. Kwani Changudoa si binadamu?
Na kwa habari yako huyo Changudoa mwenyewe ni Rose Kamili, ambaye Diwani wa CCM wa Kata ya Bassotu, wilayani Hanang.
Ni heri alizaa na MWANAMKE kuliko siku atakuja mwanao wa kiume na kukutambulisha "... baba huyu ni Boyfriend wangu....."
Bado naona ni HERI PADRI anayezaa na Mwanamke tena mtu mzima kuliko wale WANAOBAKA VITOTO.
Au ulitaka abaki Padri aje AKUTEMBELEE siku moja kitandani kwako?
ASHINDE asishinde siye POA tu. SLAA kweli kafufua wengi. Hadi Mkuu Kanda2? Nilifikiri uko Kyela na Mwakalinga kumsaidia KUGAWA LAPUTOPU ulizomuahidi kumpelekea azigawe KYELA.... Kumbe Dr ni BOMBA linaofukiza moshi mashimoni hadi Nyoka wanatoka kwenye mapango yao....
Kumbuka kama siyo Dr. Slaa, huyu ndiyo atakuwa Rais wako:
Labda baada ya kuwa kubanjuliwa sana akaona isiwe taabu ngoja nami niingie uwanjani, ndio maana kaanza na moto mwingi kwa machangu kwanza. Na kwa taarifa yako huyo changu Diwani sasa anagombea ubunge Hanang kwa tiketi ya CCM! what a contrast!. Look at this scenario Presidee Slaa PM Mrs Slaa.
Mimi kugawa LAPUTOPU Kyela imeshindikana, nimemuachia Mwafrika wa Kike yeye ana mtandao mkubwa kule japo anazuga hapa na yale mambo yake ya ukinyonga aka kuuma na kupulizia CCJ/Chadema.
Go Slaa go Mwakalinga!
Slaa is a cow boy we dont like another hero !!!
Mkuu Mg3,
Be realistic na acha siasa za JF za kwenye internet....wala sio siri kwamba CHADEMA haija enea nchi nzima na itachukuwa karne kadhaa kuenea. Hili halipingiki. Kampeni za miezi kadhaa kamwe haziwezi kuwashawishi wanavijiji wampigie kura Dr Slaa ambapo kwao neno CHADEMA ni msamihati wa kichina.
Nasikitika sana kwamba CHADEMA wanaishi katika Tz yakufikirika. Tz ya internet, Tz ya JF. Inasononesha kuona kwamba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao wanakesha JF badala ya kukesha mikoani na haswa vijijini wakijaribu kumomonyoa nguvu ya CCM. Wala sitashangaa kusikia kwamba uamuzi wa CHADEMA wa kumuua Dr Slaa kisiasa ulikopwa hapa JF.
Tatizo sio kwamba CCM haiwezi kuondolewa madarakani, tatizo ni kwamba HAKUNA UPINZANI wa kuiondoa. Upinzani wa kweli unaanza na kuimarika bungeni na sio IKULU kama CHADEMA wanavyotaka tuamini. Cha ajabu vyama vya upinzani tangu vianze vimekuwa "vikiua" wabunge makini kwa kuwafanya wagombee urais, na matokeo yake CCM inaendelea kujiimarisha. Ebu fikiria bunge ambalo lingekuwa na watu kama Lipumba, Seif Sharif, Mrema, Dr Slaa, Zitto, Mbowe, Marando, na vigogo wengine wa upinzani CCM ingekuwa katika wakati gani? CHADEMA na vyama vingine vya upinzani vinasahau kwamba umaarufu na ukomavu wa viongozi wao umetokana na kushiriki kwao katika Bunge na sio vinginevyo.
Kama kweli wana JF tupo hapa kwa maslahi ya kujenga nchi yetu na sio kujenga interests zetu, na kama kweli tunataka kuiondoa CCM madarakani kwa kuleta upinzani wa kweli ni lazima tuupinge uamuzi wa CHADEMA kumtoa Dr Slaa Bungeni. Kwasababu upinzani bado hauna nguvu katika maeneo mengi ya nchi silaha pekee tuliyonayo ni kuwa na wabunge wengi na makini Bungeni.
Alibanjuliwa na nani? mambo ya kutumia muda mwingi madrassa yanakufanya ufikirie kubanjuliwa all the time!
Usijependekeze kwa Slaa... watu kama wewe mshindwe na mlegee huko madrassa
Mkuu Mg3,
Be realistic na acha siasa za JF za kwenye internet....wala sio siri kwamba CHADEMA haija enea nchi nzima na itachukuwa karne kadhaa kuenea. Hili halipingiki. Kampeni za miezi kadhaa kamwe haziwezi kuwashawishi wanavijiji wampigie kura Dr Slaa ambapo kwao neno CHADEMA ni msamihati wa kichina.
Nasikitika sana kwamba CHADEMA wanaishi katika Tz yakufikirika. Tz ya internet, Tz ya JF. Inasononesha kuona kwamba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao wanakesha JF badala ya kukesha mikoani na haswa vijijini wakijaribu kumomonyoa nguvu ya CCM. Wala sitashangaa kusikia kwamba uamuzi wa CHADEMA wa kumuua Dr Slaa kisiasa ulikopwa hapa JF.
Tatizo sio kwamba CCM haiwezi kuondolewa madarakani, tatizo ni kwamba HAKUNA UPINZANI wa kuiondoa. Upinzani wa kweli unaanza na kuimarika bungeni na sio IKULU kama CHADEMA wanavyotaka tuamini. Cha ajabu vyama vya upinzani tangu vianze vimekuwa "vikiua" wabunge makini kwa kuwafanya wagombee urais, na matokeo yake CCM inaendelea kujiimarisha. Ebu fikiria bunge ambalo lingekuwa na watu kama Lipumba, Seif Sharif, Mrema, Dr Slaa, Zitto, Mbowe, Marando, na vigogo wengine wa upinzani CCM ingekuwa katika wakati gani? CHADEMA na vyama vingine vya upinzani vinasahau kwamba umaarufu na ukomavu wa viongozi wao umetokana na kushiriki kwao katika Bunge na sio vinginevyo.
Kama kweli wana JF tupo hapa kwa maslahi ya kujenga nchi yetu na sio kujenga interests zetu, na kama kweli tunataka kuiondoa CCM madarakani kwa kuleta upinzani wa kweli ni lazima tuupinge uamuzi wa CHADEMA kumtoa Dr Slaa Bungeni. Kwasababu upinzani bado hauna nguvu katika maeneo mengi ya nchi silaha pekee tuliyonayo ni kuwa na wabunge wengi na makini Bungeni.
Una mawazo finyu sana Subira tena si ya kimapinduzi, nakufananisha wewe na nanga inayozuia meli isiende. Kwa maneno yako umejiaminisha kabisa kuwa CCM wanaiba kura so tuendelee na umasikini huu kisa wanaiba kura. Kwanza nani alikuambia wanaiba kura, uliwaona? Kama hukuwaona wanaiba kura basi huna haki ya kusema waliiba kura. Wewe kama kweli unamkubali Dr Slaa kuiongoza hii nchi kwa mafanikio nenda kampigie kura unless upo hapa kukatisha watu tamaa. Bungeni wanapiga kelele sana kuhusu miswala mibovu na ufisadi, huo ufisadi umeisha? Unajua kwa nini? Kaa chini fikiri!! Tunahitaji kuondokana na utawala dhalimu wa CCM if you are not ready for that na unafaidika na utawala huu please kaa pembeni!!jamani jmani mawazo yake ni sawa sawa,hapa kupata uraisi inataka matayarisho thabit, watz wengi nje ya miji hawajui kitu chochote zaidi ya nyerere na chama chake, hivyo kuwin urais kwa asie ccm kwa sasa ni vigumu jamani, huyu bwana hajakosea hata, maana wengi ndivyo wasemavyo huku mitaani. pia msisahau wezi wa kura wa ccm wao ni mahiri kwa hilo je chadema na wapenda mapinduzi wengine wako nchi nzima kusimamia wizi wa kura? mfano mzuri 2005 felix alishindwa arusha na upinzani je mliona matokeo ya wizi?
mimi nimesikitika sana kwa uamuzi huu, wa dr. slaa maana atarudi mtaani sasa nafasi yake ilikuwa bungeni tu, sasa waliemsimika hawezi toboa ngo' kwa ccm na vitimbi vya.
jamani mi naona chadema mmoja amepewa kitu ili wamdanganye dr. aweze tyu kuondoka bungeni na wamefanikiwa, jamani jamani sikutegemea dr.slaa atadangwanywa
Habari zilizopatikana sasa hivi zinasema kwamba Dk. Slaa ndiye mgombea urais wa Chadema mwaka 2010.
Kikao kilichomchagua Dr. Slaa kuwa mgombea urais wa CHADEMA
More to come
Una mawazo finyu sana Subira tena si ya kimapinduzi, nakufananisha wewe na nanga inayozuia meli isiende. Kwa maneno yako umejiaminisha kabisa kuwa CCM wanaiba kura so tuendelee na umasikini huu kisa wanaiba kura. Kwanza nani alikuambia wanaiba kura, uliwaona? Kama hukuwaona wanaiba kura basi huna haki ya kusema waliiba kura. Wewe kama kweli unamkubali Dr Slaa kuiongoza hii nchi kwa mafanikio nenda kampigie kura unless upo hapa kukatisha watu tamaa. Bungeni wanapiga kelele sana kuhusu miswala mibovu na ufisadi, huo ufisadi umeisha? Unajua kwa nini? Kaa chini fikiri!! Tunahitaji kuondokana na utawala dhalimu wa CCM if you are not ready for that na unafaidika na utawala huu please kaa pembeni!!
kura yangu haipati mpaka anifanulie hasa udokta wake atautumia vipi wakati yeye ni dokta wa maswala ya dini?
Mkuu hebu nipe profile ya kisomo chake kwa kifupi,kura yangu haipati mpaka anifanulie hasa udokta wake atautumia vipi wakati yeye ni dokta wa maswala ya dini?
hana shida na kura yako kama JK alivyo kuwa hana shida shida na kura ya wafanyakazi wa umma.kura yangu haipati mpaka anifanulie hasa udokta wake atautumia vipi wakati yeye ni dokta wa maswala ya dini?
kabla ya PhD alichukua nini first degreeSt. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
what is a canon law
Canon law is the body of laws and regulations made by or adopted by ecclesiastical authority, for the government of the Christian organization and its members. It is the internal ecclesiastical law governing the Roman Catholic Church, the Eastern and Oriental Orthodox churches, and the Anglican Communion of churches
source: wikipedia