Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1) hana uzoefu wa mambo ya gov. miaka 5 ya ubunge haitoshi kuwa rais
1) hana uzoefu wa mambo ya gov. miaka 5 ya ubunge haitoshi kuwa rais
bange
Jamani Karatu yangu! Bila huyu msee sioni nani anawesa pale bwana dha! Hifi kama Slaa nataka kupighania hii raisi ya Tansania nani tena itakuwa bunge yetu. Mimi naona mawaso yangu ni bora tu tuendelee ifi ifi paka hapo taona kuwa sasa nafaa kupighania hiyo cheo. Kama Slaa naondoka sisi atapata shida bana.
Mi staki kabisa hii ndughu akapigane huko bana dha!
Umeona eeh
bange ... ooooppsssss .... what did u say again?
Do you hear the writing or read?
I meant what written there. There is no Karatu without Slaa. Got it?
Je kuna aliye kwambia kwamba wengi wa ccm watashinda? labda kama wewe umekuwa Sheikh Yahya
duh! Mpo wengi hapa JF wa sampuli ya kukomalia kitu!. Unauliza swali la wazi hivi? Mimi nadhani Slaa kaingia choo cha kike. Mshaurini arudi kiumeni. Bungeni