Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Uwepo wa ushoga duniani hauondoi ukweli kwamba Biblia ni kitabu cha kweli.

Kwenye Bible hakuna neno gay wala lesbian.

Biblia inakemea mambo yote mabaya yanayomchukiza mwenyezi MUNGU.

Shetani anajua kuwa Biblia ni kitabu cha kweli ndio maana analeta machafuko kwenye makanisa ili kuwachanganya watu wasiujue ukweli.

Watu nao wamekuwa wajinga kwa kufuata maneno ya viongozi bila ya kujiuliza Kama hayo maneno yanaendana na Biblia au la.
 
Hayo maelezo unayoyatoa yamefafanuliwa na wewe sio kuluwani
 
Quran haina toleo wewe unashindwa kutafsiri aya unaanza kuleta mkanganyiko kitabu hakina mkanyiko ni uelewa wako ndio unamkanganyiko
Kweli mna macho lakini hamuoni
Duuh
 
Hakuwa muslims arejee alikokuwa kabla
 
J
J2 utakuwa muafrika anavaa za kizungu kama shati, suruali, koti na Tai huku kakamata kitabu
Lakini Bible zimeandikwa Kiswahili na Ibada za Kikristo zinafanywa Kiswahili na zinaeleweka.
 
Elimu ya Shule ni kwa ajili ya maarifa na mawasiliano na BINADAMU wenzako lakini kwa MUNGU ALIYEKUUMBA akakupa Lugha yako ya Asili halafu akuambie uwasiliane nae kwa Lugha ya Kiarabu huoni tatizo hapo?!
Huna hoja , ndio maana biblia ilioandikwa Mbeya ni tofauti na ilioandikwa UK na tofauti ilioandikwa Spain. Hapo biblia ilipoanza kuchakachuliwa. Maana kila mmoja kaandika anavyopenda
 
Uislamu unanakiwa kufanyiwa Reforms ili uendane na wakati tilionao na wakati ujao.

Dr. Umar yuko sahihi.
Unafikiri uislam kama ukristu watu kukaa kujadili nini kitoke nini kiongezwe!?..kelele zote na chuki dhidi ya uislam na kumbe huujui!!
 
= yanafikirisha.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.
Simu za Google zote ukiweka Kiswahili zinaandika hivyo kwenye auto kwa hio kaa kwa kutulia bibie au hapo pia ulitaka niandike kuturia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…