gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Quran haina toleo wewe unashindwa kutafsiri aya unaanza kuleta mkanganyiko kitabu hakina mkanyiko ni uelewa wako ndio unamkanganyikoHayo maelezo unayoyatoa yamefafanuliwa kwenye kuluwani toleo la ngapi?