Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Uzuri Dr. Umar Johnson anaishi USA ambako hakuna ISLAMIC SHARIA, America ni Secular, lakini akienda Saudi Arabia au Bahrain au Afghanistan atauwawa kwa kuchinjwa kwa upanga hadi kufa.sasa atafanyaje, manake hiyo dini ukiihama wameamriwa wakukate kichwa.
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
dini gani sasa hiyo ya kulazimishana na kuchinja watu?Uzuri Dr. Umar Johnson anaishi USA ambako hakuna ISLAMIC SHARIA, America ni Secular, lakini akienda Saudi Arabia au Bahrain au Afghanistan atauwawa kwa kuchinjwa kwa upanga hadi kufa.
kapiga mahesabu wee kwamba hadi kina sadam hussein, kina gadafi walishatangulia, atakuta bikra hata mmoja kweli? akauona huu uongo huu. kasepa.Hataki ma bikra 72 ? Daaa
Samahani ndugu! Nipo serious na n ataka kuelimishwa....! Sijui aya wala kurasa. Ila nataka unitoe tongotongo... habari za kuwakata vichwa wasio waislamu hazijaelezwa kwenye kitabu cha Allah?
dini gani sasa hiyo ya kulazimishana na kuchinja watu?
Wakati huko Mali waarabu wanawaandama hawa jamaa, huku kwetu tunapambana na wenye dini za asili kama wamasai, wambugwe, wabarbegi n.k. japo kwa njia ya amani na ushawishi ila lengo likiwa lile lile la kuwaondoa kwenye imani yao ya asili.View attachment 3117780
Viongozi wa Dini za Mizimu wa Kabila la Dogon wa wakifanya ibada za matambiko yao.
Sasa hivi wameshambuliwa na Magaidi ya Kiislamu huko Mali.
View attachment 3117781
Mwarabu anataka kufuta kabisa Culture yetu ya Kiafrika ili tufuate Culture yeke ili tuwe Watumwa.
Oya sikuizi sioni odd mbiliSafi
hilo ni agano la kale ndugu yangu, na walikuwa wanasafishwa kizazi cha nyoka na majini kama wewe. tangu Yesu aje, ni Neema, hakuna kuuana. upendo unatawala, ila mungu wenu ninyi aliyekuja miaka 500 baada ya yesu, ni chinjachinja.Mambo ya Walawi 24:16 SRUV
BHNSUVNenoSRUV
Na yeyote atakayelaani jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamwua kwa kumpiga kwa mawe; kama ni mgeni, kama ni mzaliwa, hapo atakapolaani jina la BWANA atauawa.
SRUV: Swahili Revised Union Version
Mambo ya Walawi 24 | Biblia SRUV | YouVersion
We rukaruka tuhilo ni agano la kale ndugu yangu, na walikuwa wanasafishwa kizazi cha nyoka na majini kama wewe. tangu Yesu aje, ni Neema, hakuna kuuana. upendo unatawala, ila mungu wenu ninyi aliyekuja miaka 500 baada ya yesu, ni chinjachinja.
Uzuri ni kwamba hautumiwi upanga au AK47 ili Wamasai Wajiunge na Ukristo zaidi ya ushawishi na pengine zawadi, lakini sehemu nyingi Afrika na huko Sahel Magaidi yanaua kwa kutumia "Jihadi" ili kuwasilimisha Native Africans laa sivyo ni kulipa "Jizya" kodi maalumu wanayotakiwa kulipa unbelievers "Kafirs".Juzi kati wakristo tulichangisha fedha za kupeleka injili umasaini ili kuwarubuni waache dini zao na kujiunga na ukristo.
Kama akina nani Sasa fox tupe rejeaKumbe ni vikundi tu?
Wale ambao nchi nzima ni magaidi ambazo sio Waislam, unawaongeleaje?