Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

african-arabic-man-traditional-headdress-260nw-47308570.jpg
senegal-africa-january-25-2019-portrait-of-african-man-wearing-a-keffiyeh-on-his-head-also-kno...jpg

Je ni Dini au ni utamaduni wa Mwarabu?!
 
Maadhali kadai uislam unamfanya mtu kufuata tamaduni za kiarabu/arabisation,basi ni dhahiri uislam haujui na ni haki yake kuhamia kwenye mizimu ya kiafrika, waarabu walimuandama muhammad wakidai anawaharibia tamaduni zao,wakampiga mpaka vita vya damu na nyama
Yafuatayo yanakua practiced na uislam but ni pure utamaduni either wa Kiarabu au mashariki ya kati.
1. Uvaaji wa kanzu ni full culture ya mashariki ya kati
2. Uvaaji wa Hijabu kwa wanawake ni utamaduni wa Kiarabu na Wayahudi enzi na enzi
3. Kwanini lugha ya Kiislam iwe ni Kiarabu? Yaani mungu hasikii lugha nyingine zaidi ya kiarabu? Ili uwe muislam lazima ujifunze Kiarabu?
4. Mtoto wa kike wa Kiislam akichumbiwa, yeye ndio anatakiwa kupendekeza mahari; huo sio utamaduni tofauti na mashariki ya kati specifically Uarabuni
5. Ili uwe muislam mzuri na una uwezo, sharti uende Uarabuni
Nk nk nk; haya yote ni Arabian culture not Africanast
 
Yafuatayo yanakua practiced na uislam but ni pure utamaduni either wa Kiarabu au mashariki ya kati.
1. Uvaaji wa kanzu ni full culture ya mashariki ya kati
2. Uvaaji wa Hijabu kwa wanawake ni utamaduni wa Kiarabu na Wayahudi enzi na enzi
3. Kwanini lugha ya Kiislam iwe ni Kiarabu? Yaani mungu hasikii lugha nyingine zaidi ya kiarabu? Ili uwe muislam lazima ujifunze Kiarabu?
4. Mtoto wa kike wa Kiislam akichumbiwa, yeye ndio anatakiwa kupendekeza mahari; huo sio utamaduni tofauti na mashariki ya kati specifically Uarabuni
5. Ili uwe muislam mzuri na una uwezo, sharti uende Uarabuni
Nk nk nk; haya yote ni Arabian culture not Africanast
Hijabu ni maelekezo ya Quran,kasome suratin nisa',kabla ya uislam waarabu wanawake wakienda uchi kama akina kajala,hakuna lugha ya uislam,una uhakika kanzu ni ubunifu wa mashariki ya Kati?!..kabla ya uislam mahari arabuni ilikua ni ya wazazi kama wasukuma na wamasai, uislam ndiyo umeelekeza mahari ni ya muolewaji
 
View attachment 3118015
Picha ya Juu ni Wanawake wa Kisomali katika mavazi yao ya Asili ya Kiafrika na chini ni Wanawake wa Kisomali walioarabishwa na kuvaa mavazi ya Kiarabu.

Wasomali ambao ni Jamii za kiafrika Wamearabishwa kuliko Jamii yeyote katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki.

Na bado wao ndio waathirika wakubwa wa Ugaidi wa Alshababu.
Wamependeza sana na mavazi yao ya asili kuliko hayo ya utamaduni wa kiarabu

Hata Bi FaizaFoxy anakubali hili
 
Wamependeza sana na mavazi yao ya asili kuliko hayo ya utamaduni wa kiarabu

Hata Bi FaizaFoxy anakubali hili
Wasomali ni Jamii kama Masai Iraqwi Tutsi lakini Arabization imewachanganya sana tuwaombee washtuke mapema.
 
Hapo kwenye Dini ya mizimu ya kiafrika, hiyo dini kasisi wake ni nani?
 
Waandishi maana yake nini!?..maana hata katibu ni mwandishi kwa tafsiri ya kiarabu
Umedanganywa kuambiwa kuwa Quruani ni "Direct Word of God" na kwamba "IMESHUSHWA" huko Arabia.

Waandishi walikuwa ni Watu tu kama mimi na wewe.
 
Umedanganywa kuambiwa kuwa Quruani ni Direct "Word of God" na kwamba "IMESHUSHWA" huko Arabia.

Waandishi walikuwa ni Watu tu kama mimi na wewe.
Bado hujui maana ya mwandishi
Umedanganywa kuambiwa kuwa Quruani ni Direct "Word of God" na kwamba "IMESHUSHWA" huko Arabia.

Waandishi walikuwa ni Watu tu kama mimi na wewe.
Ulitaka ishuke ikiwa imeandikwa kabisa kwenye kitabu chenye kurasa za mbinguni!?..thibitisha madai yako kuwa nimedanganywa na ni kiliandikwa na watu,huwa umejaza togwa ndani ya fuvu,uwezo wa kufikiri mdogo
 
I wonder how the white successfully convinced Africa's that polygamy is a sin but gay is right"

Africans should learn how to practice their own religion, until D-Day Africans will start practicing their own religion they will never develop or make a head way.

Globalisation has never helped any country or continent, so if Africans must succeed they should never take global standard as a way of life.

Practice what you know best in accordance with your culture.~ Kim jong-un.
 
Bado hujui maana ya mwandishi

Ulitaka ishuke ikiwa imeandikwa kabisa kwenye kitabu chenye kurasa za mbinguni!?..thibitisha madai yako kuwa nimedanganywa na ni kiliandikwa na watu,huwa umejaza togwa ndani ya fuvu,uwezo wa kufikiri mdogo
Quruani ni mikono ya Watu na sio Direct Word of God.

Hakuna sehemu Muhamad saw alisema kuwa kakutana Mungu kama ipo naomba USHAHIDI tafadhali.
 
Quruani ni mikono ya Watu na sio Direct Word of God.

Hakuna sehemu Muhamad saw alisema kuwa kakutana Mungu kama ipo naomba USHAHIDI tafadhali.
Kuna siku nilikusihi uwaombe waislam wakufundishe kuhusu dini yao badala ya kubishana bila kuwa na elimu
 
Kuna siku nilikusihi uwaombe waislam wakufundishe kuhusu dini yao badala ya kubishana bila kuwa na elimu
Dini yenu ya Kiislamu imeanikwa HADHARANI kwenye Internet 😆 tumshukuru sana sana mgunduzi wa World Wide Web Allah amjaalie zaidi.
 
Back
Top Bottom