Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dini yenu ya Kiislamu imeanikwa HADHARANI kwenye Internet 😆 tumshukuru sana sana mgunduzi wa World Wide Web Allah amjaalie zaidi.
Huwezi kuujua uislam kea google mzee,kilimo cha matikitiki tu huwezi kukijua kwa google iwe uislam,na zaidi unaenda kwenye viwebsaiti vya kupinga uislam kujifunza uislam
 
Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Ndio ilivyo hivyo wallai bilai
 
Huwezi kuujua uislam kea google mzee,kilimo cha matikitiki tu huwezi kukijua kwa google iwe uislam,na zaidi unaenda kwenye viwebsaiti vya kupinga uislam kujifunza uislam
Quruani nzima iko Mtandaoni na ziko Websites za Wanazuoni wa Kiislamu wanaopingana kila mahali.

Hata Historia inasema Waisilamu enzi za Khalifu Harun Bin Rashid walikuwa wakipingana kuwa Quruani is not "DIRECT" WORD of GOD.
 
Quruani nzima iko Mtandaoni na ziko Websites za Wanazuoni wa Kiislamu wanaopingana kila mahali.

Hata Historia inasema Waisilamu enzi za Khalifu Harun Bin Rashid walikuwa wakipingana kuwa Quruani is not "DIRECT" WORD of GOD.
Najadiliana na mgonjwa akili au!?.. endelea na mbanga zako babu,unanichosha tu
 
Nilikwambia waambie waislam wakufundishe badala ya kuwaendea kiubishi
Muhammed saw alikuwa kwenye Pango la Jabal Hira akashukiwa na Malaika akamwambia Muhammed saw "...ewe Muhammed soma kwa jina la Mola wako..."

Lakini katika Historia ya Muhammed sw inasema kwamba alikufa bila kujua kusoma wala kuandika.

Huoni contradiction hapo?!
 
Hoja au bangi?
Kama wewe tu bangi tupu
Bangi ni mboga na hutumiwa katika Ibada za baadhi ya Waafrika mfano ni mmoja ni Rastafarians.
645d4f17ecbd3d001d512e6c.jpg
 
3914845a104587903c8bda805a2c73d1.jpg

Waumini wa Dini ya Kirastafari wakivuta "Herb" kama kiburudisho Dawa nk.
 
Muhammed saw alikuwa kwenye Pango la Jabal Hira akashukiwa na Malaika akamwambia Muhammed saw "...ewe Muhammed soma kwa jina la Mola wako..."

Lakini katika Historia ya Muhammed sw inasema kwamba alikufa bila kujua kusoma wala kuandika.

Huoni contradiction hapo?!
Tehtehteh,ndo mkikutana huko mitandaoni mnaambiana hiyo ndiyo contradiction!!...mi husoma Quran hata nikiwa naendesha baiskeli na bila kitabu
 
Back
Top Bottom