Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Huyu toka hapo hakuwa muislamu,ni njaa tu ilimuhangaisha,alifikiri huku kwenye uislamu ,atapata vya bure,njaa mbaya,anafikiri akiwa na dini za asili,atapata vya bure.
 
Mwanamke ambae anaona damu ya hedhi huyo sio mtoto ndio maana akiingiliwa anapata ujauzito mtoto hawezi kuzaa,
Miaka 6 anaona hedhi mm niko na biti yangu Ana miaka 11 na hata haingii hedhi wewe Acha zako
 
Huyu toka hapo hakuwa muislamu,ni njaa tu ilimuhangaisha,alifikiri huku kwenye uislamu ,atapata vya bure,njaa mbaya,anafikiri akiwa na dini za asili,atapata vya bure.
Jibu Hoja zake acha kumshambulia yeye Binafsi kama wewe ni mwrupe kichwani ni bora umuache.
 
Sikuwepo na wewe hukuwepo ni hadithi tu.
Safi sana, hiyo hadithi unaiamini vipi?

Fikiri, mtu aliyeleta sheria zinazotumiwa na watu billion mbili dunia nzima leo hii. Asilijuewe zuri na baya?

Na hao watu billion mbili wamekuwa Waislam baada yake, wote hawana akili, mwenye akili ni wewe ambaye uaitwa kondoo unakubali bi;s kufikiri?
 
Umesahau na hao wazungu wanao wasainisha mikataba ili muolewe na wanaume wenzenu
Kuwa mtumwa na kuolewa bora kipi¿
Wewe umeolewa na mwanaume mwenzako, ni mzungu amekusainisha mkataba?!
 
Nimekuliza jana hujajibu wewe ukifa unakutana na misumari72
Kuliza swali kwenye mambo dini au imani, ambalo unalifikiria kijinga tu, unakuwa ni zaidi ya ujinga.

Swali lako sikulijubu kwa sababu halina faida yoyotde kwako wala kwa wanaousoma huu uzi.

Au wewe unaona lina faida?
 
Ujuaji wa kijinga,ingekua ndiyo mavazi yao Quran isingeamuru wavae,suruali fupi ni itikadi za sheikh wahabi za kuhuisha sunna, sheikh wahabi alikua mtawala wa saudia ikiitwa hijaz kabla ukoo wa al saudi hawajapewa nchi na mwingereza na kubadili jina la nchi kuwa saudia, pakistan na afghanistan ni wahabi,hijab za kufunika nyuso ni uzushi wa kiwahabi kinyume na maelekezo ya hijabu ndani ya Quran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…