Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS

Huyu hakuusoma uislamu,yeye anafikiri yanayofuata katika uislamu ni uarabu.Wakati wapo waarabu wakristo na waarabu wasio.nq dini,wako tofauti.kabisa,na walio waislamu,kimaisha,kimavazi,kiutamaduni nk
 
Niliwaza angejiunga na ukristu, amefanya vyema kujiunga na dini za asili, dini ya asili ndiyo inayomfikisha mtu kwa Mungu wa kweli.
Niliwaza angejiunga na ukristu, amefanya vyema kujiunga na dini za asili, dini ya asili ndiyo inayomfikisha mtu kwa Mungu wa kweli.
Sio kweli,hata hao waarabu pia wana dini za asili.Uislamu uko.tofauti na dini za asili.za waarabu.Dini za asili,ndio zilizoleta utumwa.duniani,na pia akifa kiongozi,anazikwa na watu watatu,,walio hai,na elimu pia haipewi.kipa umbele.
 
Sio kweli,hata hao waarabu pia wana dini za asili.Uislamu uko.tofauti na dini za asili.za waarabu.Dini za asili,ndio zilizoleta utumwa.duniani,na pia akifa kiongozi,anazikwa na watu watatu,,walio hai,na elimu pia haipewi.kipa umbele.
Hoja ni kwamba Uisilamu unasambaza Culture ya Mwarabu, kweli sio kweli?!

african-arabic-man-traditional-headdress-260nw-47308570.jpg

Vua kwanza Kilemba ili ufikiri vizuri.
 
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika, yaani African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS

Huyu ndio amekomboka sasa.
Unaaminije kwenye dini ya kiislsmu, kikristo, kibudha!!??
 
Nadhani ungejibu HOJA zake ingekuwa poa zaidi.
Sijaona hoja yoyote zaidi ya ujinga na upumbavu!! Nimesema huyu ni mtu alikuwa kwenye uislamu bendera fuata upepo na pia mguu ndani mguu nje! Hakuwahi kuusoma uislamu wala hakujua misingi ya uislamu, kanuni zake wala Mila na desturi zake. Hebu na aangalie mamilioni ya waislamu wanaokwenda kufanya ibada ya hijja huko Makka Saudi Arabia kila mwaka halafu ndio ajiulize kuondoka kwake kwenye uislamu, uislamu na waislamu wamepungukiwa nini!!.
Kuna waarabu waliacha uislamu masiku machache baada ya kufariki mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم na uislamu haukupungukiwa chochote hadi leo waislamu wanaongozeka na kuzaliana Sasa huyu nguruwe mmoja mweusi wa kimarekani kutoka kwenye uislamu ndio waislamu tumepungukiwa nini??!!
 
Jina la Allah halina wingi hata kwenye kiarab lakini mungu lina wingi kwahiyo utapo tumia mungu inamaana ana washirika yaani miungu mingine ila unapo sema Allah, hakuna wingi wa jina hilo popote dunia katika lugha yoyoe ile
Poor mentality aisee
Mungu ni moja tu na asili yake ni yeye mwenyewe na sisi tumetokana na yeye aliyetuumba
Hakuna wingi wa miungu kama utarejelea Mungu wa haki. Neno miungu au wingi wake imetokana na nafasi nyingine kujilinganisha na Mungu mwenyezi lakini kama tunaongelea kuhusu Mungu basi Mungu ni moja tu kwa kila lugha kila kabila kila taifa hakuna haja ya kumtengenezea jina maalumu eti alaah, "allah" ni Mungu jua wa waarabu
Waebrania wao Wana jina moja linamlotambulisha Mungu yaani YAHWEH lakini haimaanishi kuwa Mungu jina lake halisi ni hilo

Mungu ana majina mengi acheni kummiliki Mungu
 
Sijaona hoja yoyote zaidi ya ujinga na upumbavu!! Nimesema huyu ni mtu alikuwa kwenye uislamu bendera fuata upepo na pia mguu ndani mguu nje! Hakuwahi kuusoma uislamu wala hakujua misingi ya uislamu, kanuni zake wala Mila na desturi zake. Hebu na aangalie mamilioni ya waislamu wanaokwenda kufanya ibada ya hijja huko Makka Saudi Arabia kila mwaka halafu ndio ajiulize kuondoka kwake kwenye uislamu, uislamu na waislamu wamepungukiwa nini!!.
Kuna waarabu waliacha uislamu masiku machache baada ya kufariki mtume Muhammadi صلى الله عليه وآله وسلم na uislamu haukupungukiwa chochote hadi leo waislamu wanaongozeka na kuzaliana Sasa huyu nguruwe mmoja mweusi wa kimarekani kutoka kwenye uislamu ndio waislamu tumepungukiwa nini??!!
Jikite kwenye Hoja ya Dr.Umar kwamba Uislamu unasabambaza Utamaduni wa Mwarabu.
 
View attachment 3119091
Sasa Mtu kama huyu utamuambia nini Jina la Kiarabu mavazi ya Kiarabu kwenye Mind yake amekuwa Brainwashed anajiona kuwa yeye ni Mwarabu.

Na Mwarabu hamkubali anamuita "Abidi" maana yake Mtumwa Kiarabu.

Na huyu akiletewa msaada wa Tende hujiona yeye basi tena.

Dr.Umar yuko sahihi sana.
Mbona suti na tai zimeletwa na wazungu na Bado mnazivaa?! Si mrudi kuvaa magome ya miti na ngozi za wanyama kama walivyovaa Babu zenu ili tujue hamtaki vya kutoka kwa wageni?!
 
Arabization is the process by which individuals and cultures become acclimated to Arab culture and language. It occurred in Africa after the Muslim conquest
 
Kuna siku nilikusihi uwaombe waislam wakufundishe kuhusu dini yao badala ya kubishana bila kuwa na elimu
Huwezi kuujua uislam kea google mzee,kilimo cha matikitiki tu huwezi kukijua kwa google iwe uislam,na zaidi unaenda kwenye viwebsaiti vya kupinga uislam kujifunza uislam
Allah ni mpuuzi tu. Lioga kama nini. Limetandikwa na wayahudi likala kona na kuzama chaka.

Allah sucks maamaee
 
Mbona suti na tai zimeletwa na wazungu na Bado mnazivaa?! Si mrudi kuvaa magome ya miti na ngozi za wanyama kama walivyovaa Babu zenu ili tujue hamtaki vya kutoka kwa wageni?!
Hoja zaifu sana, tena ya kibaguzi. Babu zetu walivaa Migolole.

Muangalie Emperor Menelik2 alivyopiga Pamba
menelik-ii-emperor-of-ethiopia-DRC1FY.jpg

Mfalme wa Uhabeshi.
 
Nchi nyingine iliyoathiriwa na Arabization ni Sudan na Watu wake kama walivyo Wasomali wa Pembe ya Afrika wana "Identity Crisis'.
 
Back
Top Bottom