Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh, bilifikiri utasema Mazayuni.Wapalestina.
Huyo kichwa chake mali yetu,tunataka kila mmoja apate mema ya pepo huyu anaondokaje dini kwa sababu ndogo kama hizi?Sitoshangaa nikisikia kauwawa na Majihadist😁
Wewe ukienda kumuabudu Mwenyezi Mungu aliyekuumba unamuabudu kwa lugha ipi?Kwenda kumuabudu Mungu aliyekuumba wewe kwa Lugha ya Kigeni bora ha Kengele it make sense.
Hata tungeitana kimakonde.bado wachaga wangesema ni dini ya kimakonde.ndo maana Mungu akaweka LUGHA MOJA.Lakini ukiangalia vizuri ana Point Waafrika wanaitana kwenda kuswali Msikitini kwa lugha ya Kiarabu Azana.
Safi sana. Tena huyo amabae anasema uongo ndio kabisa, wakukatwa vichwa vyake vyote viwili.Ajiangalie sana asije akaumizwa, Kubadili dini nchi kama Saudi Arabia katiba imeweka adhabu ya kuuawa
Alifikiri kwenye Uislam kuna mizimu ya kuabudu?Muislam gani huyo gangster?
Mizimu ya kiafrika Iko mingi anakuja kwenye mizimu ya Koo gani?
Huyu ni Yeriko Nyerere aliyechangamka
Kengele sio lugha.sisi sio mbwaKuitana kwa Kengele
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Qur'an 2:256. Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 256Dini gani ya kulazimishana?!