Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS

KURITADI
1. Surat An-Nisa (4:137)"Hakika wale walioamini, kisha wakakufuru, kisha wakaamini tena, kisha wakakufuru tena, kisha wakaongeza ukafiri, Mwenyezi Mungu hatawasamehe, wala hatawaongoza njia.

"Hii inaonyesha kwamba kuritadi na kisha kurejea kwenye Uislamu tena na tena ni kitendo kinachodhihirisha ukosefu wa imani thabiti, na kwa watu wa aina hii, msamaha unaweza kuwa mgumu zaidi kupatikana.

2. Surat Al-Imran (3:90)"Hakika wale waliokufuru baada ya kuamini, kisha wakaendelea kuzidi ukafiri wao, haitakubaliwa toba yao, na hao ndio wapotevu."Hapa, Qur'an inabainisha kwamba kuritadi na kuzidi kwenye ukafiri kunaweza kuwafanya watu hao wasistahili msamaha.
 
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Huyu nani anamhitaji kwenye Uislam tazama alivyo tu hana hata dalili ya Uislam. Leo mtu aseme Diomond Platinum kajitoa katika Uislam si kama huyu hata kusali hajui labda 😄
 
Tatizo ni wakristo wengi na wanaoingia katika Uislam wanakosea sehem ndogo tuu wao wanadhani kua muislam inabidi ufuate tamaduni za kiarabu na ubebe kila kitu kinafanywa nao ndio dini hapo utachemka. Uislam una nguzo zake na nguzo za kiimani full stop ukishika hayo huwezi kuyumbishwa na hata huyo mwarabu mwenyewe
Ijumaa utawaona Waafrika weusi wanaenda kuswali huku wamevaa mavazi ya Kiarabu kama Kanzu na Baraghashia na Vilemba.

Dr. Umar ana HOJA.
 
Back
Top Bottom