mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
JIkite kwenye mada= yanafikirisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.
Una practice uislam au uarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JIkite kwenye mada= yanafikirisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?.
Ameingia kizani.Hatimae amejikomboa😁
Uislam.JIkite kwenye mada
Una practice uislam au uarabu
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
Huyu nani anamhitaji kwenye Uislam tazama alivyo tu hana hata dalili ya Uislam. Leo mtu aseme Diomond Platinum kajitoa katika Uislam si kama huyu hata kusali hajui labda 😄Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
where the asian dolls at?😂Black Queens Forever, Snow Bunnies Never 🤣
Aonewe huruma maana sawa na ushavuka ajali halafu unaikimbilia ajaliWapalestina.
Bilifikiri ndio nini wewe bibi?Ooh, bilifikiri utasema Mazayuni.
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.
Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu na amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.
View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS
tazama id yangu uandike vizuri.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
where the asian dolls at?😂
inawezekana wewe ndo ukawa wa kwanza.kama una akili na unashindwa kumjua mungu wako.basi una matatizo ya akiliMental Slave.
Ayatollah akipata. Habari ameishaSitoshangaa nikisikia kauwawa na Majihadist😁
Ni nini hiki???Ooh, bilifikiri utasema Mazayuni.
Ijumaa utawaona Waafrika weusi wanaenda kuswali huku wamevaa mavazi ya Kiarabu kama Kanzu na Baraghashia na Vilemba.Tatizo ni wakristo wengi na wanaoingia katika Uislam wanakosea sehem ndogo tuu wao wanadhani kua muislam inabidi ufuate tamaduni za kiarabu na ubebe kila kitu kinafanywa nao ndio dini hapo utachemka. Uislam una nguzo zake na nguzo za kiimani full stop ukishika hayo huwezi kuyumbishwa na hata huyo mwarabu mwenyewe