Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Uislamu unaruhusu kuua asiye muislamu na aliyebadili Imani kutoka uislamu kwenda kwingine

I have been commanded to fight
against people till they testify that there
is no god but Allah, and that Muhammad
is the messenger of Allah"
(Sahihi Muslim 1
:33)

"O you who believe! Fight those of the
unbelievers who are near to you
and let them find in you hardness."
(Quran 9:123)

14)Chapter: The Ruling on Apostates(14)باب الْحُكْمِ فِي الْمُرْتَدِّ ‏‏
Sunan an-Nasa'i 4059
Ibn 'Abbas said:
"The Messenger of Allah [SAW] said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"
 
Kumbe wewe ni kama mimi, mimi nilikuwa Mwisilamu, nikabadri dini fasata na kuwa Mkristo,

Tangu nipokee wokovu, sjawahi kujuta, nilikuwa naumwa sana kichwa kabla, niliombewa nikaanguka mapepo, tangu siku ile nilipona kichwa mpaka leo
Mmebadilishana na wote mnafuraha mlipo sasahivi.
 
Tumwulize Mtume anasemaje juu ya hili swala.

14)Chapter:
The Ruling on Apostates
(14)باب الْحُكْمِ فِي الْمُرْتَدِّ ‏‏
Sunan an-Nasa'i 4059
Ibn 'Abbas said:
"The Messenger of Allah [SAW] said:
'Whoever changes his religion, kill him.'"
 
Jibu Hoja zake.

Hana hoja hapo, sababu ameongea uongo tena kwa ujinga wake.

Kwanza Uislamu ndio dini pekee ambayo imekuja kuondoa ubaguzi, na kuonyesha ya kuwa mbora mbele ya Allah ni mchamungu.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.
(al-Hujurati : 13)

Hapo hakuna cha uarabu Wala uafrika.

Kingine ama kuhusu lugha, lazima iwe Kiarabu ili kuleta usawa na kuwaleta watu wote pamoja. Sababu Mtume alikuwa muarabu, na aliletwa akiwa katika jamii ya waarabu, ili wamuelewe kwanza ilibidi itumike lugha ya Kiarabu. Ajabu ya Kiarabu Leo hii unakuta muafrika anamfundisha Kiarabu muarabu mwenyewe.

Lakini Uislamu umekuja na msamiati ambao Waarabu walikuwa hawaujui waarabu kabla, bali Sheria na taratibu. Bali Kuna baadhi ya tamaduni ambazo Uislamu ulizichukua kutoka kwa waarabu, sababu ni nzuri na walikuwa wameshastaarabika.

Kadhalika katika Hadithi, Mtume wa Allah, amani ya Allah iwe juu yake anasema :

Abu Huraira reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “Verily, Allah does not look at your appearance or wealth, but rather He looks at your hearts and actions.

Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2564

Lakini laiti kama Uislamu ungekuwa ni Uarabu basi waarabu wote wangekuwa Waislamu.

Kingine, lazima utumie lugha ya Kiarabu ili dini ihifadhike na isichafuliwe kutokana na makosa, ndio maana katika sababu zilizopelekea vitabu vingine kuwekewa mikono ya watu ni kuweka lugha zao katika vitabu vyao.

Kwahiyo kwa ufupi tunahitimisha ya kuwa Umar Johnson hakuwahi kuujua Uislamu ajabu akawa anauongelea.
 
Tueleze mkanganyiko huu katika quran UTATA KATIKA QURAN Siku moja ni ya muda gani kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu? a. Siku 1 ni sawa na miaka 1000 (22:47) b. Siku 1 ni sawa na miaka 50,000 (70:4)
22:47 ni kweli siku moja kwake yeye ni kama miaka 1000, hio 70;4 anaonyesha kitendo cha kupandisha roho na malaika kwenda kwake kitachukua miaka 50elfu na hapo aanzungumzia wakati ujao sio uliopita au uliopo
2. Mwenyezi Mungu alichukua muda gani kuumba ardhi? a. Siku 6 (7:45, 10:3, 11:7, 25:59) b. Siku 8 ( 41:9-12 )
10;3 hizo zinazungumzia uumbaji wa mbingu na ardhi kwa pamoja ulichukua siku 6
41:9 hapo nazungumzia ardhi peke yake iliumbwa kwa siku 2 hio bado iko within 6days
3. Je, mbinguni ni kongwe au dunia ni ya zamani? Ni ipi iliundwa kwanza? a. Dunia iliumbwa kwanza (2:29, 41:9) b. Mbingu iliumbwa kwanza (79:27-30)
2;29 anazungumzia kuumba vilivyomo katika ardhi na sio kuumbwa kwa ardhi
79:27 anafanya Tambo kati ya nyinyi watu kipi na mbingu kipi kigumu kuumba
4. Wanadamu waliumbwa kutokana na kitu gani? a. Bonge la damu ( 96:1-2 ) b. Maji (21:30) c. Udongo uliochomwa (15:26) d. Vumbi (3:59) e. Hakuna (19:67) f. Dunia ( 11:61 ) g. Tone la maji mazito ( 16:4, 75:37 ) h. Udongo unaonata (37:11)
Mungu ni anaonyesha aina mbali mbalimali alizotumia kumleta binadamu duniani kuanzia kwa Adam aliyemuunda moja kwa moja kwa udogo, Adam akamuumba hawa kwa mbavu changa za Adam akamuumba mtoto wa damu kupitia manii hivyo ni uelewa wako ndio tatizo hapo
 
Ukimwangalia yule ni mhuni tu wala hana athari ya uislamu , halafu kwann huwa mnaunasibisha uislamu na uarabu hebu niambieeni ni dini IPI ambaye nabi wake alitoka ulaya, america au afrika ! manabii wote mashuhuri walitoka mashariki ya kati kwa marejeo ya Zaburi, Torati, Injili (agano la kale) na Quran. Algeria ni nchi ya kiarabu ila wakristo ni wengi, vilevile Lebanon
Kafiri kabisa, tena ni maamuma mkubwa. Kwamba Algeria na Lebanon ni nchi za kiarabu? Umeyatoa wapi hayo usemayo?
 
Lugha ni tatizo.
Kutotilia mkao kujifunza lugha labda ndo liwe tatizo. Lakini kama imani umeikubali na imejengeka kumatain sana lugha fulani wewe kama muumini yafaa kuendana nayo.

Mfano wwngi tumefika shule tumekutana na english na tumepambana nayo, kuna wengine walijifunza french ili kufata fursa za scholarship za kusoma ufaransa

Hali kadhalika wanamichezo ama diplomats mbalimbali hujifunzaga lugha ya nchi wanazofanya kazi.

So mtu kujifunza lugha fulani kwa ajili ya imani yake kwangu mimi sioni tatizo sana.

Tatizo naloweza likubali ni mtu aikubali imani alafu asitilie mkazo wa lugha. Hili sasa ndo tatizo
 
Kwanza Uislamu ndio dini pekee ambayo imekuja kuondoa ubaguzi, na kuonyesha ya kuwa mbora mbele ya Allah ni mchamungu.
Hoja zake sio hayo hoja zake ni Lugha na Culture ya Kiarabu kwenye Dini ya Kiislamu.
 
Yupo mmoja akija kuendeleza hii conv atamuona (kwa alivyoaminishwa) mwenzake kwamba amepotea na kupotoka.
Hiyo haitakua fair. Jambo kwa hali ya kawaida ya hapa bongo na kwingineko kokote kila mtu anamuona mwenzake kapotea, aseme au asiseme.

Tunavumiliana kikubwa kila mtu atekeleze majukumu yake
 
Dr. Umar ni mpigania haki za Watu weusi huko Marekani, anasema Dini ya Kiislamu imejikita zaidi kwenye kusambaza Uarabu na Arabization kwenye Mind ya Mtu Mweusi.

Dr. Umar Johnson kasema kuanzia sasa yeye sio Muisilamu tena bali amejiunga na Dini ya Mizimu ya Kiafrika African Spiritualism.


View: https://youtu.be/2zxXzGX_i-Y?si=vAOjyCo_bS9uLiRS

Naomba nijuwe hiyo dini ya kuabudu minimum yetu iko wapi nikajiunge haraka. Afadhari watu weusi wemeaza kuamuka. Hivi watu weusi hawajiulizi kwanini nchi zilizo kuwa vinara wa biashara ya utumwa ndio vinara wa kueneza dini zao?
 
Kumbe wewe ni kama mimi, mimi nilikuwa Mwisilamu, nikabadri dini fasata na kuwa Mkristo,

Tangu nipokee wokovu, sjawahi kujuta, nilikuwa naumwa sana kichwa kabla, niliombewa nikaanguka mapepo, tangu siku ile nilipona kichwa mpaka leo
Haya bhana kila la kheri
 
Qur'an 2:256. Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 256
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."
 
Back
Top Bottom