FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hata maadui zake walimsifia kwa kumuita Al Sadiq Al Amin.Mtume alikuwa muongo sana yaaan kifupi kajipa utume
Maana yake ; Mkweli Mwaminifu.
Hulijuwi hilo? Au ndiyo ukondoo tu umekuvaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata maadui zake walimsifia kwa kumuita Al Sadiq Al Amin.Mtume alikuwa muongo sana yaaan kifupi kajipa utume
Tena sdhaifu sana, nakushangaa hujaijibu hata moja na udhaifu wake.Hoja yako ni dhaifu sana.
Allah ndio kapenda iwe hivyo,Kweni "Ngai" luna wingi? Kwanini tusitumie Ngai au Mungu.
Hakuna kikichobadilika labda tu waliachana na Polytheism na kuhamia kwenye Monotheism lakini Rituals zao za Kipagani mpaka leo zipo mfano kuzunguka Kaaba kubusu Jiwe jeusi nk.Kabla ya ujio wa mtume muhammad waarab wa makka waliuwa na culture zao
Kazi gani kumuua mtu ambaye alishakufa?! Ukiamgalia hilo bichwa lake tu utagundua kuwa alikuwa mwislamu bendera fuata upepo tu na hakuwahi kukaa chini kusoma uislamu. Kuitwa Umar siyo dalili kuwa alikuwa mwislamu bali bali huyo alikuwa kenge ndani ya msafara wa mamba Sasa kaamua kuungana na kenge wenzake, Sasa hapo Wala hatushangai.Sitoshangaa nikisikia Dr.Johnson kauwawa na Majihadist😁
Nilikuuliza swali dshafu sana, Yesu alimwitaje Mungu?Kweni "Ngai" luna wingi? Kwanini tusitumie Ngai au Mungu.
Tafsiri yake ni mjaAbidi
Sio sawa lugha jingine zidhaniwe mwarabu mjanja sanaLengo ni kuwaunganisha waislam
Mfano mdogo adhan inatolewa kwa kiarabu, muislam yeyote dunian akisikia saut hii anajua mda wa kuswali umefika hata kama yupo nchi ambayo hawazungumzi lugha yake
Yote nliyokuuliza hujajibu hata moja.Kwamba kwasababu neno "Ustaarabu" ndilo linalokuzuzua?!
Tena sdhaifu sana, nakushangaa hujaijibu hata moja na udhaifu wake.
Au ndiyo ukondoo umekuvaa?
Nenda kasoma kwanza acha ubishi wa asiliHakuna kikichobadilika labda tu waliachana na Polytheism na kuhamia kwenye Monotheism lakini Rituals zao za Kipagani mpaka leo zipo mfano kuzunguka Kaaba kubusu Jiwe jeusi nk.
Safi sana, Yesu alimwitaje Mungu?Imhotep ni jina la Wamisri wa Kale Jina la Kiafrika na Faiza ni Jina Kiarabu.
Huyo kichwa chake mali yetu,tunataka kila mmoja apate mema ya pepo huyu anaondokaje dini kwa sababu ndogo kama hizi?
Hatimae amejikomboa😁
Umemaliza mjadala.Tunaunga mkono hoja yako.Qur'an 2:256. Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 256
Kondoo na kusoma wapi na wapi?Nenda kasoma kwanza acha ubishi wa asili
Mwaminifuu ndio aoe katotoHata maadui zake walimsifia kwa kumuita Al Sadiq Al Amin.
Maana yake ; Mkweli Mwaminifu.
Hulijuwi hilo? Au ndiyo ukondoo tu umekuvaa?