physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 859
- 1,036
Toka hapo hakuwa muislamu,uislamu lazima uusome uujuwe,huyu yaonyesha,hakuwa muislamu,hakusoma chochote katika uislamu.Hatimae amejikomboaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka hapo hakuwa muislamu,uislamu lazima uusome uujuwe,huyu yaonyesha,hakuwa muislamu,hakusoma chochote katika uislamu.Hatimae amejikomboaš
Hata Yesu alikuwa Mwafrika, hulijuwi hilo?Mimi Mwafrika ntajua wapi?
Nilfikiri ungesema kabaka, kumbe kaoa?Mwaminifuu ndio aoe katoto
Mwaminifuu ndio aoe katoto
Mamake Yesu alikuwa na miaka 13,akaolewa na Joseph,watoto wa mashariki ya kati walikuwa wakila nyama na maziwa,walikuwa na afya,wafikiri ni hawa wakwetu,wanaokula ugali na chumvi.Mwaminifuu ndio aoe katoto
Mbona masihi alifufua watu walio kufaĀæKweni wewe unaeamini Mtume wako aliupasua Mwezi vipande viwili Akili yako iko sawa?!
Kondoo hawana elimu hiyo.Mamake Yesu alikuwa na miaka 13,akaolewa na Joseph,watoto wa mashariki ya kati walikuwa wakila nyams na maziwa,wafikiri ni haw wa kiafrika,wanaokula ugali na chumvi.
Mpaka leo waarabu wanamchukulia mtu mweusi kama kijakaziUtumwa wowote ni mbaya.
Uislam ndiyo umekuja kutowa watu utumwani. Kumbuka hilo.
Unajuwa meli ya kwanza kupeleka watumwa Marekani iliitwaje?
Endelea kuva bangi mkuuHiyo inaitwa mbinu ya Mbuni ukishindwa hoja unaingiza kichwa mchangani.
Unajua walikua wana vaa hata kabla ya uislamu? Both Arabs and Jews na lengo ilikua wanawake wana van kwasababu ya vumbi la Jangwani.Hijabu ni maelekezo ya Quran,kasome suratin nisa',kabla ya uislam waarabu wanawake wakienda uchi kama akina kajala,hakuna lugha ya uislam,una uhakika kanzu ni ubunifu wa mashariki ya Kati?!..kabla ya uislam mahari arabuni ilikua ni ya wazazi kama wasukuma na wamasai, uislam ndiyo umeelekeza mahari ni ya muolewaji
Sema tu kuwa hujuwi, ngoja tumuulize Chat GPT:Mimi Mwafrika ntajua wapi?
Nenda kasome uislamu,wacha kudanganywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji.Hakuna kikichobadilika labda tu waliachana na Polytheism na kuhamia kwenye Monotheism lakini Rituals zao za Kipagani mpaka leo zipo mfano kuzunguka Kaaba kubusu Jiwe jeusi nk.
Mwanamke ambae anaona damu ya hedhi huyo sio mtoto ndio maana akiingiliwa anapata ujauzito mtoto hawezi kuzaa,Mwaminifuu ndio aoe katoto
Sema tu kuwa hujuwi, ngoja tumuuoize Chat GPT:
View: https://youtu.be/G0A_LBOgvFc?si=Yd1K3xdRzPjez0qa
Umesahau na hao wazungu wanao wasainisha mikataba ili muolewe na wanaume wenzenuMpaka leo waarabu wanamchukulia mtu mweusi kama kijakazi
Huyo nimemsikiliza, hana cha mana.Turudi kwenye Hoja za Dr.Umar za Arabization of Africa kupitia Dini ya Kiislamu