Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
-
- #301
Amekubali pambano na SISCONimeongea na CR7 Leo asubuh baada ya jana nimemuambia sijui Noel nduli sisko sisi hatujawakubali kama ni mabingwa kwakuwa ww toka kitambo akaniambia atawashughulikia wote
Noma sana hiyo mechi itakata ubishi wa nani mkali japo Sisco anaonekana kushinda mapambano mengiZuga
Scars
Taarifa ya Makubaliano
Baada ya majadiliano Mazito kati ya Tajiri Java, Mtu kati, na Viongozi wa Cr7 na hatimae wamefika makubaliano,, Iko hivi viongozi wa cr7 hawajaikataa mechi ya Dogo Sisco bali walitaka matakwa yao yatimizwe moja ya sharti lao kubwa ni zawadi iongezwe kidogo ambalo kwa Hakika Boss Java amekubali ombi lao na amejazia kishungi kutoka zawadi ya 250k hadi 300k.
Vile vile Mgawanyo wa hiyo zawadi ni kama Ifuatavyo ; winner 200k na looser ni 100k,, Boss Java amesema Afya tu kwake sio kesi kikubwa watu wapate burudani ya kutosha .
Viongozi wa Cr7 wamekiri sasa Cr7 yupo teyari kupambana na Sisco na ikiwezekana Viongozi wa watu huru nao wathibitishe ili Tangazo la mechi lianze kutembea,, Ikumbukwe tu Cr7 amejizolea umaarufu mkubwa baada ya kumzuia MKULIMA ngoma 24.
Naomba kuwasilisha ,,,,,,,,
Ili na Sisko sijaongea nae mm niliongea nae mchezo wa jana na mkulima maana ilikuwa saa 1 ile asubuhAmekubali pambano na SISCO
Tunasubiri. RATIBA
Itakuwa balaa SanaIla Sisco nae anabalaha kweli najua pambano litakuwa zuri kweli maana sisqo kampiga nduli mara 2 ndani ya siku 2
Hii face to face itakuwa MANYANYA AU KITUNDA JAVA LOUNGENoma sana hiyo mechi itakata ubishi wa nani mkali japo Sisco anaonekana kushinda mapambano mengi
Ila kitendo cha kukubali kipigo cha bao 3 kutoka kwa Mkulima ni kama kilimvua vyeo
Mi nitakuwa mshabiki wa Ronaldo
Mechi lini na itapigwa mtandaoni au face to face?
Sisco muda wowote ,mechi yoyote anacheza hata ukimuamsha,kikwazo ilikuwa kambi ya RonaldoIli na Sisko sijaongea nae mm niliongea nae mchezo wa jana na mkulima maana ilikuwa saa 1 ile asubuh
Sisqo ni mkali sana na kama Angekuwa yupo peke yake bila kuwategemea akina nduli basi angekuwa mchezaji mkubwa angeishughulisha akili yake mara nyingi ila kitendo cha kukaa timu huru kubana akili yake hawezi kuwa jeshiNoma sana hiyo mechi itakata ubishi wa nani mkali japo Sisco anaonekana kushinda mapambano mengi
Ila kitendo cha kukubali kipigo cha bao 3 kutoka kwa Mkulima ni kama kilimvua vyeo
Mi nitakuwa mshabiki wa Ronaldo
Mechi lini na itapigwa mtandaoni au face to face?
Hii sitaki kuikosaHii face to face itakuwa MANYANYA AU KITUNDA JAVA LOUNGE
RATIBA ITATOKA SOON
Huyo nduli ataweza kweli maana bingwa wake sisqo kafa 2 kwa mkulimaNDULI VS MKULIMA
MUDA WOWOTE RATIBA ITATOKA
TUNASUBIRI MAJIBU KUTOKA KWA MKULIMA
NGOMA 24 AZUIE SARE
Hata Mimi naona hivo , WATU HURU ilikuwa lazima wamchukue ,maana angewaburuza SanaSisqo ni mkali sana na kama Angekuwa yupo peke yake bila kuwategemea akina nduli basi angekuwa mchezaji mkubwa angeishughulisha akili yake mara nyingi ila kitendo cha kukaa timu huru kubana akili yake hawezi kuwa jeshi
NDULI nae mzito Sana ,Huyo nduli ataweza kweli maana bingwa wake sisqo kafa 2 kwa mkulima
Sisco ndio SILAHA ya mwisho ya Watu huru , akipigwa huyo hapatakalikaHii sitaki kuikosa
Kabisa nina imani Sisqo ni mkali na mm ni shabiki wake mkubwa sana ila kama Angekuwa peke yake ningekuwa shabiki yake naamini Angekuwa mbali zaidi ila kwakuwa yupo kule naamini kaifunga akili yake bado hatoweza kuitumia akili yake vizuri ningekuwa nae karibu ningemshauri kama alivyofanya harmonize na vany boy kutoka wasafi ambapo wangekaa wangkuwa chini ya mafanikio ya diamondHata Mimi naona hivo , WATU HURU ilikuwa lazima wamchukue ,maana angewaburuza Sana
Noel na Nduli hakuna anaeweza kumzuia CR7 labda sisqoSisco ndio SILAHA ya mwisho ya Watu huru , akipigwa huyo hapatakalika
Wadau na wadhamini wa mashindano ya Draft wapo wengi SanaKiukweli sielewi chochote kuhusu chess, ila navutiwa tu na michango yenu wadua!
Nafuatilia humu Vizuri.
Naomba kuuliza Huyo Java ni nani hasa?? Yeye anafaidika vipi kudhamini mashindano hayo??
Ndio maana karibu mwaka mzima ,walikuwa wanaitaka hiyo mechiNoel na Nduli hakuna anaeweza kumzuia CR7 labda sisqo
Kwangu mm ni tofauti kabisa Sisco wakati anaingia Kwa watu huru bingwa ni noel..Hata Mimi naona hivo , WATU HURU ilikuwa lazima wamchukue ,maana angewaburuza Sana