Wakuu....
Kuna kitu kinani-dissappoint hapa.
Mbona hizi zawadi naona kama ni ndogo sana kulinganisha na brand za hawa mabingwa?
Yaani bingwa wa draft Tanzania nzima anacheza game 24 mfululizo (zingine usiku wa manane), anatumia akili nyingi, halafu akishinda anaambulia 40,000 tu?
Na ndicho alichofanywa mkulima,Jana Rama alichezea 2 bila Kwa mkulima, Leo mkulima naye kachezea 3 bila .Nadhan Rama alijichimbia kujua wapi alikosea.Umenichekesha na kunikumbusha kitu. Yaani niliona ukimfunga bingwa wanaitana mabingwa wachache wanajifungia Ili wengine msione wanalipanga draft upya na kulicheza hadi pale kwenye kete iliyotoa ushindi na wanazama kufikiri na kutafuta kete mbadala ya kujinusuru na droo au kushinda hii Ina maana huwezi kumfunga bingwa draft moja mara Mbili! Ukimfunga Leo Hilo draft Kesho ukija kichwa kichwa na kopi yako hiyo unapasuka!
Matula Tula wa Manyanya na boss wao Mangwelele si wa polepole!
mkoa gani upoDalmax yule wa kucheza naye hata mimi humfunga. Hapa nazungumza wewe tumia kichwa halafu mimi nitumie game analysis ya Dalmax. Huingizi goli. Hata huyo Mkulima na Ronaldo jana ndiyo waliyokuwa wanatumia. Ile inakuonyesha kabisa hiyo kete ina nguvu kiasi gani kwa namba. Positive na negative. Mtu yeyote mwenye idea ya bao hawezi kufungwa akitumia Dalmax.
Mkulima gani huyoMkulima Leo kafa 3 bila michezo kumi,Kwa RAMA ARUSHA mjini hapa.
Onlinemkoa gani upo
Watu wa bush ni wasengelema njoon daslama jaman, kila siku mambo mapyaKabisa ,wakati anashinda manyanya daily
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkulima OG,tena waliwekewa elfu sabini,michezo kumi mshindi anachukua.Rama wa Arusha (fundi) kachukua.
Mchezo hauna thamani huu.....Wakuu....
Kuna kitu kinani-dissappoint hapa.
Mbona hizi zawadi naona kama ni ndogo sana kulinganisha na brand za hawa mabingwa?
Yaani bingwa wa draft Tanzania nzima anacheza game 24 mfululizo (zingine usiku wa manane), anatumia akili nyingi, halafu akishinda anaambulia 40,000 tu?
mkulima gani huyo unayemzungumzia?Mkulima Leo kafa 3 bila michezo kumi,Kwa RAMA ARUSHA mjini hapa.
Hawezi kuwa mkulima huyo atakuwa amechanganya madesa huyomkulima gani huyo unayemzungumzia?
kama wa online hataki kuji-reveal watu wamwone. na kama huyu wa online, stats zake za hivi karibuni siku mbili za nyuma mpaka leo zinaonyesha game aliyofungwa magoli hayazidi mawili.
tukiachana na ubishi wako, kwa mujibu wa stats, huyu jamaa anafungika vizuri tu. stats zinaonyesha waliomfunga ni watu 9, katika hao 9 waliomfunga kihalali ni 4 kwasababu walicheza michezo mingi. hawa wengine 5 wanahesabika hawajamfunga kihalali kwasababu wamemfunga moja halafu wakakimbia. (ANGALIA PICHA KWA UFAFANUZI ZAIDI).
tukitaka kuona mkulima akifungwa tuwatafute hawa 4 waliomfunga kihalali halafu dau liwekwe mezani, hapo tutaona mkulima akinyanyaswa kama mtoto mdogo.
Itoshe kusema huyo Mkulima ni mwalimu na fundi kwa hapa Tanzania.. Ebu anzisheni la East Afrika apambane na mabingwa wa kwa majirani tuoneIpo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3
Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO
Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare
Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
Huu ulimwengu wa mabaunazati ni wa kipekee..unaraha yake na watu wakeKiukweli sielewi chochote kuhusu chess, ila navutiwa tu na michango yenu wadua!
Nafuatilia humu Vizuri.
Naomba kuuliza Huyo Java ni nani hasa?? Yeye anafaidika vipi kudhamini mashindano hayo??
Hakuna aliemfunga mkulima kihalali ndugu yangu kweny game la Tanzania.. either muda uliisha Kuna mtindo anasukuma kete Moja alafu hachezi tena.. kama uyo dogo mapenz hua anacheza na mkulima Chinese lile la kumalizana ndo anafungwa..playok hakuna aliemfunga mkulima kihalali zaidi ya David mbeya basi ndo mana watu wanamsifu sana nazan game yake imefutwa coz imezid miez 6..mkulima gani huyo unayemzungumzia?
kama wa online hataki kuji-reveal watu wamwone. na kama huyu wa online, stats zake za hivi karibuni siku mbili za nyuma mpaka leo zinaonyesha game aliyofungwa magoli hayazidi mawili.
tukiachana na ubishi wako, kwa mujibu wa stats, huyu jamaa anafungika vizuri tu. stats zinaonyesha waliomfunga ni watu 9, katika hao 9 waliomfunga kihalali ni 4 kwasababu walicheza michezo mingi. hawa wengine 5 wanahesabika hawajamfunga kihalali kwasababu wamemfunga moja halafu wakakimbia. (ANGALIA PICHA KWA UFAFANUZI ZAIDI).
tukitaka kuona mkulima akifungwa tuwatafute hawa 4 waliomfunga kihalali halafu dau liwekwe mezani, hapo tutaona mkulima akinyanyaswa kama mtoto mdogo.