DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

Huyo tupo hapo hadi lini niangalie kama naweza pata nafasi nije kumcheki
 
Ndio wamecheza French na British ya king hairuki

Jamaa amesema kama wadhamini watatokea yeye yuko teyari kucheza na Sisco hii British ya TZ rule ngoma 24 ila dau liwe nono[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kama alimfunga kwa french na ile ya kingi hairuki basi siwezi kusema ni tishio sana kwasababu najua michezo hiyo haijapewa kipaumbele hapa TZ
 
Kama alimfunga kwa french na ile ya kingi hairuki basi siwezi kusema ni tishio sana kwasababu najua michezo hiyo haijapewa kipaumbele hapa TZ
Kwenye hiyo FRENCH amepewa sare kama 3 hivi na Mangwelele ila amekataa.

Mwita mtaalam wa French pia kamuomba ila kasema hapana. Baadae ikafahamika kwamba waliwahi kukutana online na Mangwelele, alipopata goli moja tu akaulaza. Anasema ni miaka mingi kidogo walikutana live. Anamjua Mangwelele
 
Mangwelele kamwambia kama anajitangaza Bingwa wa Dunia basi apite mbele. Kama hajiiti Bingwa wa dunia wauane. Akawa hatii neno lolote.

Ndipo Mangwez akamwambia achague

1. Azuie sare 2 French ila goli lake halihesabiki na azidi mara 3. AKAKATAA

AU

2. Mangwez azuie sare 3 kwenye British na Mangwez atazidi mara 3. KAKATAA
 
Mangwelele alishauriwa na madaktari aache draft lakini
In a real Sense Mangwelele na Cr7 Wanatakiwa kuheshimiwa kwenye draft

Cr7 amehakikisha anazuia Utawala Wa Mkulima kule Online lakini pia baada ya kuona Sisco ameshindikana kwenye Bench baada kuwafunga Wachezaji Wakubwa Wote wakiwemo Nduli na Noel

Mangwelele baada ya kusikia kuna Mtu amevamia Manyanya amempasua Mtoto Sisco na leo Jamaa alikuja kuchukua Madraft ya Manyanya aondoke nayo ikabidi apigiwe simu Mangwelele Pamoja na kuwa ni Mgonjwa ili aje kuikomboa Manyanya

Prof Mangwez apewe heshima yake amemtisha Jamaa akatulia[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mangwelele hajapiga mechi na hiyo jamaa?
 
Mangwelele alitaka kumuwekea picha ya samaki mchizi akamstukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…