Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,676
- 4,693
Hao walipigwa na Namungo!Hapo Simba anakufa nje ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walipigwa na Namungo!Hapo Simba anakufa nje ndani
Unaangalia kupitia channel ipi mkuu🚨CAF
Zalan of South Sudan Vs Yanga sc of Tanzania.
Mshindi atacheza na St George ama Al Ahli Tripoli ya Libya.
Yanga sc mabingwa wa nchi wataanzia ugenini.
#TotalEnergiesCAFCL #TotalEnergiesCAFCC
wamalawi sio wabovu,Simba tukitoboa hapo round ya kwanza kuna de Agosto hao weka mbali na watoto wanagusa kama nyigu.ila Simba aijawai kushindwa vita.Mnyama kapewa wanyasa
Hao si ndo walipigwa na Namungo kipindi kile?wamalawi sio wabovu,Simba tukitoboa hapo round ya kwanza kuna de Agosto hao weka mbali na watoto wanagusa kama nyigu.ila Simba aijawai kushindwa vita.
ndio hao.ilikua kipindi kile ila sahivi wapo moto sana hawa mbwa.Hao si ndo walipigwa na Namungo kipindi kile?
Basi iwe #GuyuMoya.Simba mwaka huu hakuna cha guvu moya[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Young Africans trying to call CafCl group stage.
"The number you're calling is not reachable at the moment, please try again later"
Msimu uliopita wamewatoa Mamelodndio hao.ilikua kipindi kile ila sahivi wapo moto sana hawa mbwa.
Sio hao, waliomtoa Mamelod ni Petro atletico de Luanda.Msimu uliopita wamewatoa Mamelod
Nilichanganya madesa, shukranSio hao, waliomtoa Mamelod ni Petro atletico de Luanda.
Wasingefungwa na Makirikiri msimu uliopitaKwa uzoefu wa Simba wa miaka minne mfululizo kwenye klabu bingwa Afrika, hakuna timu inatamani kukutana na Simba, na Simba haigopi kukutana na timu yoyote ile.
Kwanini?
Simba ilishadhamiria kuchukua ubingwa wa Afrika (kwa kuwa ina uwezo huo), hivyo iko tayari kukabiliana na timu yoyote.
Atatoboa round ya pili ndio shidaYanga hatoki kwa hao zalan. Nawajua vizuri sana. Vipers walichezea mwaka jana na hao