Draw ya Klabu Bingwa Afrika: Yanga yapangiwa kucheza na Zalan ya South Sudan; Simba kucheza na Nyasa Big Bullets ya Malawi

Draw ya Klabu Bingwa Afrika: Yanga yapangiwa kucheza na Zalan ya South Sudan; Simba kucheza na Nyasa Big Bullets ya Malawi

Draw ya club bingwa Africa tayari .

Zalan vs Yanga

Big Bullets against Simba


View attachment 2319262
Simba kazi anayo, kwa wamalawi atavuka lakini ngoma iko kwa waangola primeiro de agosto au Red arrows, mkumbuke simba iliwatoa Red arrows msimu uliopita,sasa wakipenya kwa waangola wanakutana nao kwa mara nyingine sidhani Kama watakubali kuondoshwa tena na kuwa vibonde wa simba, Waangola nawapa nafasi kubwa kuwaondosha red arrows, kwa maana ni timu iliyofanya uwekezaji mkubwa kwenye usajili ikiifata kwa karibu petro atretico ambao ni mabingwa wa angola, wana mpira fulani hivi mgumu na wa kibabe sana, Hivyo simba ijipange vizuri Sana kwa kikosi chao nilichokiona akina muunganiko wanacheza tu kwa uwezo binafsi wa mchezaji mmojammoja
 
Mwaka wetu huu! Tukichanga karata zetu vizuri, tunafika nusu fainali.
Mtani kumbe mtakutana na Al Hilal ya Sudani, uke ya Ibenge iliyosajili wachezaji wa mabilioni.

Mtiti mnao, yani hii Al Hilal ambayo huwa inapishana makundi kila msimu. Ama kweli huu ni mwaka wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Aisee Uto wamepanda mtumbwi wa vibwengo....yan Al Hilal leo wameshusha striker la Bilioni 2 ahahahah kocha Ibenge
Licha ya hivyo, hao jamaa wamekuwa wakiingia hatua ya makundi mara kwa mara (misimu 4 mfululizo) tena wakiwa wa kawaida, hii leo na yale Mabilioni + kocha la viwango (Ibenge) waje kutolewa na team la FREE AGENT?

IBENGE kaambiwa kibarua kitaota nyasi asipofika nusu fainali, na jamaa limeshakuja Tz na team zaidi ya mara tatu.

Kweli Uto wamedandia mtumbwi wa Vibwengo[emoji23][emoji23]
 
Licha ya hivyo, hao jamaa wamekuwa wakiingia hatua ya makundi mara kwa mara (misimu 4 mfululizo) tena wakiwa wa kawaida, hii leo na yale Mabilioni + kocha la viwango (Ibenge) waje kutolewa na team la FREE AGENT?

IBENGE kaambiwa kibarua kitaota nyasi asipofika nusu fainali, na jamaa limeshakuja Tz na team zaidi ya mara tatu.

Kweli Uto wamedandia mtumbwi wa Vibwengo[emoji23][emoji23]
Japo unajikuta unajua mwenyewe.

Ukiambiwa utaje free agent utathibitisha?

Sisi tunachosubiri ni kuwagonga kunako tarehe 13 .
 
Simba kazi anayo, kwa wamalawi atavuka lakini ngoma iko kwa waangola primeiro de agosto au Red arrows, mkumbuke simba iliwatoa Red arrows msimu uliopita,sasa wakipenya kwa waangola wanakutana nao kwa mara nyingine sidhani Kama watakubali kuondoshwa tena na kuwa vibonde wa simba, Waangola nawapa nafasi kubwa kuwaondosha red arrows, kwa maana ni timu iliyofanya uwekezaji mkubwa kwenye usajili ikiifata kwa karibu petro atretico ambao ni mabingwa wa angola, wana mpira fulani hivi mgumu na wa kibabe sana, Hivyo simba ijipange vizuri Sana kwa kikosi chao nilichokiona akina muunganiko wanacheza tu kwa uwezo binafsi wa mchezaji mmojammoja
Hahaha yani ungejua hizo timu zoote zinamlalamikia Mungu sahivi kwa balaa la simba alilowashushia. Huku wale waliopangwa kucheza na yanga kila mmoja anachekea tumboni mana wanajua ni mchekea hahaaaa
 
Back
Top Bottom