Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
9,11 /9/2022Yanga fanya maajabu,hivi inaanza lini hiyo klabu bingwa?
Mechi ngumu sana
Na wewe mwisho ni mechi ya ngapi? Unafikiri ukivuka kwa wamalawi utaweza kuvuka tena kwa Red arrows au primeiro de agosto?Mechi ya pili ndio mwisho wake
Hao wote wanaiogopa Simba vilevile.Na wewe mwisho ni mechi ya ngapi? Unafikiri ukivuka kwa wamalawi utaweza kuvuka tena kwa Red arrows au primeiro de agosto?
De Agosto ni team ya kawaida tu na waliwahi kupigwa na Namungo, wewe umewachanganya na Petroleos De Luanda (hao ndio moto wa kuotea mbali).wamalawi sio wabovu,Simba tukitoboa hapo round ya kwanza kuna de Agosto hao weka mbali na watoto wanagusa kama nyigu.ila Simba aijawai kushindwa vita.
Simba kazi anayo, kwa wamalawi atavuka lakini ngoma iko kwa waangola primeiro de agosto au Red arrows, mkumbuke simba iliwatoa Red arrows msimu uliopita,sasa wakipenya kwa waangola wanakutana nao kwa mara nyingine sidhani Kama watakubali kuondoshwa tena na kuwa vibonde wa simba, Waangola nawapa nafasi kubwa kuwaondosha red arrows, kwa maana ni timu iliyofanya uwekezaji mkubwa kwenye usajili ikiifata kwa karibu petro atretico ambao ni mabingwa wa angola, wana mpira fulani hivi mgumu na wa kibabe sana, Hivyo simba ijipange vizuri Sana kwa kikosi chao nilichokiona akina muunganiko wanacheza tu kwa uwezo binafsi wa mchezaji mmojammojaDraw ya club bingwa Africa tayari .
Zalan vs Yanga
Big Bullets against Simba
View attachment 2319262
Nusu fainali kuiandika ni simple [emoji28]Mwaka wetu huu! Tukichanga karata zetu vizuri, tunafika nusu fainali.
Mtani kumbe mtakutana na Al Hilal ya Sudani, uke ya Ibenge iliyosajili wachezaji wa mabilioni.Mwaka wetu huu! Tukichanga karata zetu vizuri, tunafika nusu fainali.
Zalan ya wapi..?Draw ya club bingwa Africa tayari .
Zalan vs Yanga
Big Bullets against Simba
View attachment 2319262
Licha ya hivyo, hao jamaa wamekuwa wakiingia hatua ya makundi mara kwa mara (misimu 4 mfululizo) tena wakiwa wa kawaida, hii leo na yale Mabilioni + kocha la viwango (Ibenge) waje kutolewa na team la FREE AGENT?Aisee Uto wamepanda mtumbwi wa vibwengo....yan Al Hilal leo wameshusha striker la Bilioni 2 ahahahah kocha Ibenge
Simba ndoanaogopwa hapo!Haya sasa, kila la heri kwa timu zetu.
Jamaa wamefurahin daaWanafurahia kuja Bongo
sawa ila waliozoea kutuletea aibu iwe mwikoHaya sasa, kila la heri kwa timu zetu.
Japo unajikuta unajua mwenyewe.Licha ya hivyo, hao jamaa wamekuwa wakiingia hatua ya makundi mara kwa mara (misimu 4 mfululizo) tena wakiwa wa kawaida, hii leo na yale Mabilioni + kocha la viwango (Ibenge) waje kutolewa na team la FREE AGENT?
IBENGE kaambiwa kibarua kitaota nyasi asipofika nusu fainali, na jamaa limeshakuja Tz na team zaidi ya mara tatu.
Kweli Uto wamedandia mtumbwi wa Vibwengo[emoji23][emoji23]
Hahaha yani ungejua hizo timu zoote zinamlalamikia Mungu sahivi kwa balaa la simba alilowashushia. Huku wale waliopangwa kucheza na yanga kila mmoja anachekea tumboni mana wanajua ni mchekea hahaaaaSimba kazi anayo, kwa wamalawi atavuka lakini ngoma iko kwa waangola primeiro de agosto au Red arrows, mkumbuke simba iliwatoa Red arrows msimu uliopita,sasa wakipenya kwa waangola wanakutana nao kwa mara nyingine sidhani Kama watakubali kuondoshwa tena na kuwa vibonde wa simba, Waangola nawapa nafasi kubwa kuwaondosha red arrows, kwa maana ni timu iliyofanya uwekezaji mkubwa kwenye usajili ikiifata kwa karibu petro atretico ambao ni mabingwa wa angola, wana mpira fulani hivi mgumu na wa kibabe sana, Hivyo simba ijipange vizuri Sana kwa kikosi chao nilichokiona akina muunganiko wanacheza tu kwa uwezo binafsi wa mchezaji mmojammoja
Hizi timu za Angola huwa sizielewi.. Bado naikumbuka Clube Recreativo Desportivo do Libolo walivyotufunga goli 3 ndani ya dk 8.De Agosto ni team ya kawaida tu na waliwahi kupigwa na Namungo, wewe umewachanganya na Petroleos De Luanda (hao ndio moto wa kuotea mbali).
Sio hii ya Ibenge...Yanga fanya maajabu,hivi inaanza lini hiyo klabu bingwa?