DRC imeingia makubaliano na Marekani pamoja na China ufanyikaji wa majaribio ya kinga ya Corona nchini mwao


Wewe jamaa una Habari za kutunga sana,
 
Lol, my fellow Africans eish!
Okay may be is too much for me... so keep your fact on your own,
Just know your fellow human beings dying cause of Covid-19.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Fanya utafiti na wewe binti usitegemee kulishwa tu taarifa,utalishwa matango..
 
Darling si kila mtu yupo mahali ulipo, dunia pana hii so save your enegy.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Yummy kubalini tu mjaribiwe.
Mbona majaribio ya chanjo ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi yamefanyika Tanzania kwa dunia nzima na wakapata majibu na mabinti wote wa Tanzania waliokuwa chini ya miaka 14 kuanzia 2017 hii chanjo wameipata na wao ndio wakwanza kwa dunia nzima.

Mbona hamkulalamika au kis haikupewa airtime?😂 yani kama lengo ni kupunguza population basi Tanzania kwisha habari yake 😂😂
 
Kwani Hawa Wana tofauti gani na wale Waafrika wanaowaomba wazungu waje kuingilia masuala ya kisiasa barani Afrika??!! Hawana tofauti na wale Waafrika wanaokwenda ulaya au kuwasiliana na wazungu kuwa eti Kuna viongozi wanaminya kinachoitwa demokrasia barani Africa.
 
Fanya utafiti na wewe binti usitegemee kulishwa tu taarifa,utalishwa matango..
Nadhani ninyi watafiti wa mitandaoni ndio mngetusaidia kukabiliana na janga hili sababu hatuhitaji kujua ni 5g au virus au jini tunachohitaji ni TIBA, tumewekwa ndani bila kupenda, tumetengana na familia zetu, tumepoteza wapendwa wetu mtu kama mimi ukinambia nifanye utafiti naona ni blah blah tu muhimu tiba ipatikane.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
Your title is wrong brother because COVID-19 vaccination for COVID-19 has not yet started in the DRC as your title implies.May be your title should have been,"COVID-19 Vaccination to start in the DRC-Congo."
 
Tiba unaipata kwa kujua chanzo kwanza.That is the base line.Sasa kama chanzo ni 5G,dawa ni kuachana na 5G,sio chanjo.Kama chanzo ni virus,basi chanjo inaweza kuwa solution moja wapo.In this case chanjo ni irrelevant,kwa kuwa chanzo ni 5G.
 
Haya wamejariboshia hiyo chanjo hapo congo, kirusi akapotezwa, sasa hao majirani wanapataje athari baada ya hiyo miaka kadhaa uisemayo?
Kabisa Una waamini asilimia Mia hao watu? Naomba niishie hapo
 
Hahaha Tanzania wanajidai ujuaji hata ikija chanjo ya shetani wataikataa.
 
Waafrika tunapinga kufanyiwa majaribio lakini Ikifanikiwa tutaanza kuwalilia wazungu watugawie bure.

Wakati wenzetu wanatumia bongo zao na vifaa, sisi tukubali kujitoa hata miili yetu kufanikisha hizo chanjo zikamilike haraka. Tusiwe wabishi sana.

Kama tunakataa kata zikikamilika basi tukatae kuzitumia pia. Tujishughulishe tugundue za kwetu za mwarobaini.
 
What's wrong with that? Let the Africans stop unreasonable and senseless argument, after all, we can't found our own vaccine no matter how long it takes.
 
Congo ilikuwa lazima wakubali,ukichukulia mrusi alifanya testing ya ebola vaccine na ikatick,mpaka leo ugonjwa Ni Kama uko undercontrol
 
What's wrong with that? Let the Africans stop unreasonable and senseless argument, after all, we can't found our own vaccine no matter how long it takes.
Wasije wakawachoma sindano za kuwafanya wenzao wawe mashoga kama vile walivyo wao.
 
Wasije wakawachoma sindano za kuwafanya wenzao wawe mashoga kama vile walivyo wao.
Hawa mashoga walioko hapa wao nani amewachoma sindano au huku kuomba omba misaada yenyewe haiwezi kusababisha ushoga??
 
Hawa mashoga walioko hapa wao nani amewachoma sindano au huku kuomba omba misaada yenyewe haiwezi kusababisha ushoga??
Mashoga walioko Tz wanachochea kufanya mambo haya sababu NGO's za US zilizoko hapa Tz ndio zinazowagawia KY na kuwatetea wapate haki za kutibiwa kwny hosp. wkt walitakiwa wafe kama mbwa huko barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…