DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Ningekusimulia nilichoambiwa na ndugu yangu ambaye walienda kutrain jeshi jipya la Congo baada ya Kabila Senior kushika madaraka, hao jamaa zako walijaribu kujipenyeza yaliwakuta ya kuwakuta wanaijua habari ya JW vizuri kabisa sio kwa kusimuliwa bali kwa vitendo.
oy nisimulie mimiKwani ilikuwajekuwaje nipe ubuyu kidogo 😅
 
Matundu ya choo na mafuta ya kula ni issue leo mnataka kupigana na Rwanda, kama mnataka kula ugali kwa mgawo na kutolipwa mishahara lianzisheni na Rwanda, nina uhakika ma man kagame atawafundisha na hamtarudia tena na vita za kichokozi kama Nyerere alivyomfundisha Iddi Amin
acheni kuropoka baada ya kushiba makande ninyi watu,hiyo Rwanda mnaikuza sana halafu ht Burundi haiiwezi,mnaropoka eti Rwanda ana intelligence kubwa mavi matupu,JWTZ wana fighter jets zaidi ya 30 na hao Rwanda hawana radar tarajia watafanywa nini,ukanda huu ni TZ pekee yenye multi launch rocket system tegemea Rwanda atafanywa nn akileta ufala,na km hamjui TZ ni nchi yenye makombora mengi ukanda huu,pia JWTZ ina uzoefu ukanda huu kivita ishalinda amani sehem nyingi ht huyo Nkurunzinza kipindi anapinduliwa JWTZ ndio ilomrudisha ktk kiti,ingekua hiyo Rwanda inatengeneza silaha tungeogopa,mataifa yote ukanda huu yananunua silaha na kipindi cha kikwete TZ ilinunua silaha nyingi sana ikiwemo makombora na mizinga,na hao m23 wenu ninyi wanyarwanda kinawaokoa kwasaababu wanaoenda kule wanaambiwa wakae kama kuleta hofu kwa waasi ila sio kuwashambulia ila ngojea amri ya eradication itoke uone km kuna m23 watabaki.RWANDA HAINA UWEZO WOWOTE WA KUPIMANA NA JWTZ,JWTZ INA UWEZO WA KUICHAKAZA HIYO RWANDA IN COUPLE OF WEEKS NYAMBAFU NINYI.
 
Unalindaje bila kupigana?
Unaweza kulinda bila kupigana,jeshi linapokaa sehem waasi wanaposhambulia lina impose threat kwa waasi kiasi wanasita kwa kuogopa jeshi lililowekwa hapo kwa ulinzi,na hao ni UN walitoa conditions hizo ila km litaundwa jeshi la pamoja la EAC basi kazi yake iwe kushambulia km ilivyo Somalia wasifanye km UN.
 
Ndio tatizo letu watanzania, kuendekeza ushabiki wa simba yanga, Chadema na CCM hata kwenye ishu nyeti. Ukubwa wa nchi hauna impact kwenye ubora wa kivita. Israel ni taifa dogo sana, angalia anavyosumbua mataifa makubwa ya kiarabu duniani. Angalia Israel inaingia mara ngapi kwa Iran, angalia population yao na iran.

Vita sio ukubwa wa nchi, vita ni mbinu za kimedani, ubora wa silaha, ari ya wanajeshi na intelejensia imara. Ikiwa jeshi lako, lipo wazi kila mtu anajua una nini, mpo wangapi na wapi, basi kukupiga ni jambo la kawaida tu.

Nasisitiza, sio rahisi kuwapiga Rwanda kwa kukurupuka mnaweza kuunguzwa na moto msioujua umetoka wapi.
Punguza ujuaji unatia aibu,hiyo israel unayosemea inasaidiwa sana na marekani pia wao wana uwezo wa kuundaa silaha zao wenyewe on the contrary Israel inabaki tu kuua wanasayansi wa Iran wa nuclear ila kiuwezo wa kivita haiwezi Iran maana iran middle east anaongoza kwa nguvu ya makombora na iran anashindwa ku retaliate kuuawa wanasayansi wake kwasababu hana ushahidi km ni israel au marekani anahusika maana ipiganapo israel USA inakuwepo pemben kwahyo usiikuze israel maana bila ya usa hana uwezo fuatilia Israel-Lebanese war 2006 utaelewa.Tukirudi kwa Rwanda toka aingie Kagame mpk kufika 2010 hakuna silaha nzito alizonunua zinazoweza kuogopesha,hatengenezi silaha,hana radar,hana nguvu ya jeshi la anga.KWA UPOPOMA WAKO UNATARAJIA ATAIPIGAJE TANZANIA WE JAMAA?Punguzeni ujuaji mwingi kama JWTZ ikiamua kuingia full scale war Rwanda atapigwa angani na ardhini hachomoki.
 
Back
Top Bottom