DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Hapo tatizo kubwa ni uwepo wa Fdlr, hivi ni kweli Serikali ya Drc inashindwa kumaliza tatizo la Fdlr au Adf ?...maana Kila siku wanatajwa hao hao ina maana makundi mengine sio tishio ?
mtu chake zitto junior Count Capone
Mazingira ya Congo nayo yanasababisha kuwa vigumu kuvimaliza hivo vikundi.
Kuna Mwaka serikali ya Rwanda ilipeleka madai international community kuhusu FDLR na walidai kuwa Ni wahusika wa mauaji na ugaidi ila international community aliyapuuza.
MUNISCO walifanya uchunguzi kuhusu FDLR ikaonyesha kuwa Ni wengi wao Ni vijana waliokulia hukohuko Congo na wengine walitoka rwanda wakiwa ni wadogo sana.
Sasa mkuu ishu hapa Ni kwamba FDLR kukimaliza Ni ngumu coz wakimbizi still wapo kule drc wakihutu so hiki kikundi kitaendelea kuwepo tuu watabadilisha wanamgambo na viongozi, Sasa mfano ikifika 2050 utasema kwamba FDLR Ni wamehusika na maugaji ya kimbala Rwanda coz itakuwa ishapita miaka almost 56 years.
So suruhisho kuwa Ni kwamba wahutu walioko Congo wote wangerudi rwanda. Hivo vinaisha venyewe tuu BAADA ya mda.
Hata juvenile alikataa kuwarudisha wakimbizi was kitutsi kea madai ardhi aitoshi ila matokeo yake ndo Yale uliyoyaona.
Pia vinkundi vya kihutu Congo vipo vingi tuu mbali na FDLR Kuna FLN na vingine.
mtu chake zitto junior Count Capone
 
MUNISCO walifanya uchunguzi kuhusu FDLR ikaonyesha kuwa Ni wengi wao Ni vijana waliokulia hukohuko Congo na wengine walitoka rwanda wakiwa ni wadogo sana.
Kuna makala nilisoma sehemu wanadai sababu ya wao (Fdlr) kuendelea kuwepo huko ni kuwalinda wakimbizi wa kihutu waliopo huko Drc, ila kwa Sasa Rwanda haina tatizo la wakimbizi (ukitoa wa kisiasa).

Maadam wapiganaji wengi wa Fdlr ni vijana waliokulia huko huko Drc ni vyema wajaribu kuwashawishi waweke silaha chini kwa hiari warudi kwao Rwanda, huko wapewe mafunzo ya kuishi vizuri na jamii.

Mbinu ya kuwamaliza kwa nguvu mafanikio yake hayajawa makubwa mpaka sasa, Sana Sana yamezalisha makundi mengi kama M23.
zitto junior mtu chake
 
Hebu inyooshe hii habari vizuri Mkuu. Nikiri wewe unafahamu vizuri hizi habari.
Ukiwa na muda pitia nyuzi hizi nilijaribu kuelezea kidogo.

Operation Kitona: Mission ngumu iliyodhihirisha ubabe wa Rwanda Afrika.

1st Congo War & Hutu Genocide: Mauaji ya kimbari yaliyosahaulika mashariki ya Congo

 
Kuna makala nilisoma sehemu wanadai sababu ya wao (Fdlr) kuendelea kuwepo huko ni kuwalinda wakimbizi wa kihutu waliopo huko Drc, ila kwa Sasa Rwanda haina tatizo la wakimbizi (ukitoa wa kisiasa).

Maadam wapiganaji wengi wa Fdlr ni vijana waliokulia huko huko Drc ni vyema wajaribu kuwashawishi waweke silaha chini kwa hiari warudi kwao Rwanda, huko wapewe mafunzo ya kuishi vizuri na jamii.

Mbinu ya kuwamaliza kwa nguvu mafanikio yake hayajawa makubwa mpaka sasa, Sana Sana yamezalisha makundi mengi kama M23.
zitto junior mtu chake
JK alipotoa ushauri kama huu aliishia kujibiwa kwqa dharau
 
Naona Kagame anakuwa Overrated kimasihara kabisa. Utashangaa hata Viongozi wakuu wa Nchi nao wanamgwaya Kagame, eti ana Inteligensia kali
Intelligence Kali anayo kwa sababu nchi yake imejaliwa totoz ambazo matajiri na watu wengi wenye connection East and Central Africa wanaoa kule. Inasemekana mke wa former President Joseph Kabila ni mnyarwanda pia. Mimi pia hapa Dsm najuana na Judge ameoa kule na watoto wanaendaga kusalimia wajomba zao twice a year.
 
Si ndio kawatuma DRC wanatuchapa
Au kuchapiwa nje ya Nchi yetu haituumi ?
Mi nashangaa hao m23 wanakibizwa tuu huko Congo juzi na Jana wamekibizwa mpaka bunagana mpakani mwa Uganda , inavyoonesha wapo weak now. Askari wa kule wapo chini ya Mwamvuli wa UN, Rugalo aiwezi kuwapa amri wakiwakule , kwamba fanyeni hivi.
 
Intelligence Kali anayo kwa sababu nchi yake imejaliwa totoz ambazo matajiri na watu wengi wenye connection East and Central Africa wanaoa kule. Inasemekana mke wa former President Joseph Kabila ni mnyarwanda pia. Mimi pia hapa Dsm najuana na Judge ameoa kule na watoto wanaendaga kusalimia wajomba zao twice a year.
Huyo dudge sijajua kaoa mtutsi au muhutu , Kama Ni mtutsi kunauwezekano kuwa watoto sio wake 100%, wanawake wakitutsi au Hawa wahima wanapenda Sana kuzaa na watu wa jamii yao. Kuna wazili mmoja wa Mambo ya ndani kipindi Cha mkapa , aliwahi kusema kuwa mahakamani keshi zilikuwa Ni nyingi Sana walizaa na wanawake wa kitutsi waliopo bongo, rwanda ilipolejea amani wakawaambia watoto sio wenu wakasepa nao, jamaa alisema kabisa bungeni kuwa msioe wanawake wa kitutsi coz utalea watoto sio wako, ilikuwa ni kipindi Cha mkapa.
 
Intelligence Kali anayo kwa sababu nchi yake imejaliwa totoz ambazo matajiri na watu wengi wenye connection East and Central Africa wanaoa kule. Inasemekana mke wa former President Joseph Kabila ni mnyarwanda pia. Mimi pia hapa Dsm najuana na Judge ameoa kule na watoto wanaendaga kusalimia wajomba zao twice a year.
Wanawake wana nguvu Sana kwenye ujasusi mkuu Ni kweli, japo sio Sana, Mara nyingi mwanamke anatumiwa Kama kufanya kumuaibisha kwa lengo la kusambaza picha za utupu endapo akiwa nae ampige picha na kumtishia atoe KITU wanachotaka ili picha zisisambazwe na pia wanaweza kutumiwa kwenye mauaji kwa kumtilia sumu, au kupandikiza vinasa sauti au vinasa video ili wasikie mazungumzo.
Judge kuoa mwanamke mwingine haina effect coz mahakama haina jeshi, haina kitengo Cha ujasusi, Tena kwa bongo yetu hata ule uwezo ya kuiamuru jeshi la jw na rais hawana kabisa. So wao wapo Kama wao pekeao.
Mfno south Africa mahakama ilikuwa inamtaka Al omari Al bashiri ilishidwa kumsika.
Mara nyingi Siri za jeshi zipo huko jeshini, Siri za TISS wanazowenyewe , police wanazowenyewe.
Kufanikiwa sikuhizi kwenye ujasusi nikuwa mtaalamu wa kuhaki mitandao nyeti ya nchi usika KITU ambacho Ni kigumu Sana kukifanya, mpaka uwe na mtaalamu sana.
Au uinfiltration(kupenyeza) vijana wako ndani ya inner circle ya security system ya nchi usika KITU ambacho Ni kigumu,
PK amewahi kufanya hivyo alishidwaga coz walikuwa wanakamatwa, mtu Kama Hana asili ya hapa utamjua Kama babu yake na Bibi yake hawajazaliwa hapa.
Akaamua kutumia wale wakimbizi waliopewa uraia huku wakimbizi was kitutsi, na walikuwepo hata jeshi ila waliwashitukia , Kuna wengine walipotea wengine wakaona wanapelelezwa wakaamua kustaafu kabla ya mda wao wakasepa wote hakubaki hata mmoja.
TANMO
 
New: kuna kikao kimemalizika juzi GOMA ambapo makamanda kutoka nchi za EAC,wameunda kikosi maalum kitaongozwa na KDF.Kuwatoa waasi,hahahaha.mkenya nae kaona asipitwe
😄😄😄 KDF?Huu Ni Mzaha ngoja tuone shoo ya kibabe itakayopigwa huko porini.

Ila hela za UN Ni tamu Sana aiseee.
 
Intelligence Kali anayo kwa sababu nchi yake imejaliwa totoz ambazo matajiri na watu wengi wenye connection East and Central Africa wanaoa kule. Inasemekana mke wa former President Joseph Kabila ni mnyarwanda pia. Mimi pia hapa Dsm najuana na Judge ameoa kule na watoto wanaendaga kusalimia wajomba zao twice a year.
Kwamba Olive Lembe kabila Ni mnyarwanda?😄😄 Aisee
 
New: kuna kikao kimemalizika juzi GOMA ambapo makamanda kutoka nchi za EAC,wameunda kikosi maalum kitaongozwa na KDF.Kuwatoa waasi,hahahaha.mkenya nae kaona asipitwe
Ina maana watakuwa sehemu ya kile kikosi cha FIB au wako independent ?Kuna majeshi chungu nzima huko lakini hakuna jipya mpaka Sasa.
 
hahahahaha,unaeza jiuliza ,hao waasi wana nguvu kiasi gani, sadc,eac wapeleke majeshi na bd hkn matokeo chanya
😄😄😄 Kuna mizaha Sana Aisee.Bila FARDC yenyewe kuja kuamua Kwamba enough is enough huu mzaha utaendelea sana tu.Wakikaa wanategemea MONUSCO 😄😄 wkt wanaume wananeemeka basi watasubiri sana tu.
 
😄😄😄 Kuna mizaha Sana Aisee.Bila FARDC yenyewe kuja kuamua Kwamba enough is enough huu mzaha utaendelea sana tu.Wakikaa wanategemea MONUSCO 😄😄 wkt wanaume wananeemeka basi watasubiri sana tu.
uzuri dunia imeaminishwa jeshi la drc FARDC ni DHAIFU.wanahitaji msaada,lkn hao hao FARDC wanapigana miaka yote. Hao wasaidiaji toka waingie ni yale yale tu
 
uzuri dunia imeaminishwa jeshi la drc FARDC ni DHAIFU.wanahitaji msaada,lkn hao hao FARDC wanapigana miaka yote. Hao wasaidiaji toka waingie ni yale yale tu
Naona kinaendelea kunuka huko,wanajeshi wa Congo 150 wamekimbilia nchi ya Uganda baada ya mapigano na M23 na hilo eneo la Congo limechukuliwa chini na hao M23 kwa Sasa.Nadhani huu uzi tuwe tunaweka updates za huko field Hali itakavyokua inaenda mkuu.

The UGPost
  • Bunagana-1-scaled.jpg

INTERNATIONAL NEWS


M23 Rebels take over Congolese Customs at Bunagana border​

7cae40f2cf809d029a051a9ef6ee0ced

By
Sarah Biryomumaisho
Published on June 13, 2022
Panic has ensued near the Bunagana border following the capture of the Bunagana border on the side of the Democratic Republic of Congo-DRC by M23 rebels, forcing over 150 government soldiers to flee into Uganda.

The FARDC soldiers have now surrendered to Ugandan authorities at the Bunagana border. The development follows renewed fighting near the Bunagana border in Rutshuru territory, which started on Friday.
TheUgPost reporter at the border says the soldiers took refuge in Uganda following non-stop fighting on Sunday day and night.

This forced FARDC soldiers who were manning the border to abandon tanks and other kinds of weapons as they fled to Uganda.

After crossing over, the soldiers handed over all the guns to Ugandan security and were escorted to the nearby Uganda Peoples Defense Forces (UPDF) barracks in Kabaya, Bunagana.

“They have not crossed over to the Ugandan side, they just wanted the Congolese side and there is no fighting. Congolese nationals who had crossed to Uganda are allowed to cross back and pick their belongings without any issues with the M23,” our reporter says.

In the last 5 or so months, Congolese nationals have been crossing into Uganda via the Bunagana border fleeing fighting between FARDC soldiers and the rebels. any Congolese nationals are crossing into Uganda because of the heavy gunfire that can be heard at the.

According to Hajji Shafique Ssekandi Ssengoba, the Kisoro Resident District, more than 30,000 civilians have crossed into Uganda since the fighting began.

The M23 rebels fired in the air after capturing the border, as a sign of victory, taking over the main connection between Uganda-Rutshuru and Goma towns in Rutshuru territory.
 
Back
Top Bottom