DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
We unafikiri rwanda anaweza kuwangiza wanajeshi wake
Mpk katikati ya kongo....
Sana sana yeye anavamia maeneo fulani tu na pembezoni mwa kongo
All out war hawezi kufanya kongo hata siku moja

Ova
 
Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
 
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini.

Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali iliyopelekea mgogoro mkubwa wa kidipromasia baina ya Serikali ya Kikwete na Serikali ya Kigali.

Sasa baada ya Serikali ya Samia kuingia madarakani wahuni hao wamerejea kwa nguvu pengine wakiamini Samia hawezi kuwafanya lolote.Tusikubali aslani!

Tuwashughulikie hao wahuni kabla hawajaleta mgogoro mkubwa ndani ya Kanda yetu na Serikali ya Kigali ionywe wazi iache kuwakumbatia hao chawa wao.

Tusimchekee Kagame kwa sababu si mtu mwema hata kidogo.

Mzee Kikwete hakuwa mjinga ku deal naye kibabe huyo mwana- hizaya mpenda vya bure.

=====

Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23 DRC​

Jeshi la Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, FARDC, limetangaza kuwa wanajeshi watatu wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO wamejeruhiwa wakati wapiganaji wa M23 waliposhambulia ngome yao iliyopo Rutshuru.

MONUSCO imethibitisha kuwa wanajeshi wake watatu wamejeruhiwa na kupelekwa kutibiwa katika hospitali ya mjini Goma uliopo mashariki. Katika tangazo hilo jeshi la serikali ya Congo limesema mmoja wa wanajeshi hao amejeruhiwa vibaya.

MONUSCO inasema kuwa wanajeshi hao wamejeruhiwa katika shambulio lililofanyw na wapiganaji wa M23 katika ngome yao iliyopo ivukatika eneo la Shangi -Rutshuru.

Kundi la M23 linasema kuwa majeshi ya FARDC na na MONUSCO ndio waliofanyanya mashambulio kwanza dhidi yao katika ngome yao iliyopo katika eneo la Jomba Jumatatu.

Hii inakuja wakati mapigano yakiendelea kwa siku ya nne mfulurizo kati ya pande hizo yaliyoibuka baada ya mapigano hayo kusitishwa kwa muda wa wiki mmoja- mapigano yanayoendelea katika eneo la Rutshuru katika Kivu ya Kaskazini.

MONUSCO ilitangaza kuwa imo katika mapigano ikisaidia upande wa jeshi la Congo FARDC linalopigana na wapiganaji wa M23.

Tanzania ina wanajeshi zaidi ya 800 katika jeshi la MONUSCO kilichopo Mashariki mwa DRC.

Katika taarifa yake iliyotolewa Jumatano usiku, jeshi la DRC, FARDC linaishutumu Rwanda kutuma kikosi chake maalum cha wanajeshi 500 kuwasaidia wapiganaji wa M23, likisema kuwa walikuja wakiwa wamevalia mavazi yenye rangi ya kijani kibichi na nyeusi.

Serikali ya Rwanda kwa imekuw aikikana mara kwa marakuwa inawasaidia M23, ikisisitiza kuwa tatizo lao liko ndani ya nchi yao wenyewe ya DRC.

Kikundi cha M23 Jumatano pia kilitoa tangazo kikiishutumu serikali kwa ‘’kuchagua njia ya vita’’, kwa vikosi vyake kushirikiana na wanajeshi wa MONUSCO na wapiganaji wa kundi linaloshutumiwa na Rwanda kufanya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 la FDLR kuwashambulia.

Tangazo hil la M23linasema: “Kuchagua vita kwa serikali ya Congo badala ya kuchagua mazungumzo ya amani, ni tatizo katika kurejesha amani katika mashariki mwa DRC”.

Wakati huo huo, jeshi la DRC- FARDC limetangaza kuwa maazimio yakikao cha wakuu wa majeshi kilichofanyika Goma ya kubuni kikosi maalumu cha kupigana na makundi ya wanamgambomashariki mwa Congo, yatawasilishwa mbele ya kikao cha wataalamu wa masuala ya kijeshi na wakuu majeshiitakayofanyika kati ya tarehe 15 na 19 mwezi huu mjini Nairobi Kenya, kabla ya kuidhinishwa na maraisi wa Kanda.

Chanzo: BBC
Wamalinda amani ipo? Kama serkali imethibitisha kuwa nchi yetu haikuwa salama nao wakakimbilia DRC unaona zinawayosha kweli? Mkitaka Congo itulie kamata Kagame ua kamata M7 ua utaona matokeo ndani ya Miezi mitatu
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Tanzania tunatia aibu kuongea vitu ambavyo hatuna ushahidi nao wala kujua lolote. Hivi ukiulizwa ulete ushahidi angalau kidogo kuonesha namna intelligence ya rwanda ilivyotapakaa utaketa? Intelligence huwa ni classified mno na mara nyingi data zake wanazo wachache Sana.
 
Hivi Tanzania inatafuta nini Congo?
Nchi zote zilizoko kwny misheni ya kupambana Huko Somalia,CAR,Congo,Sudan etc ziko pale kwa ajili ya utamu wa pesa za UN.Huoni wanajeshi wakitoka Huko wanajenga majumba,wananunua magri ya kifahari etc

Jiulize kwanini UN haipeleki majeshi huko Afghanistan,Iraq,Libya kwny mziki mnene😄😄😄😄
 
Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
Mbona muoga hivyo brother, wabongo sio wajinga kiihivyo kwenye issue za ulinzi wa nchi yetu tuko vizuri. Na vijana wetu huko hawatoki maana hawakai bure kuna maslahi yetu pia tunalinda
 
PK and M7 its the CIA project for their interest in DRC....you should be carefully dealing with them.... for now they are untouchable may be till the Cow boyz says its over....

DRC is the project of Cowboyz and french Africa, and will remain in that way forever.
Mozambique is the project of french Africa, due to the fact that portugues are poor to handle these projects..

Tanzania is the Cowboyz reserve although for now its the safe heaven for those guyz in Italy with no interference on Cow boyz interest...
Project TZ is long term business plan with proper handling to make sure never turn into new DRC but they can do what they want without barries.... to achieve what they want, they must control all political activities in both side ( ruling part and opposition)
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Mambo mengine muwe mnanyamaza basi.

TZ ipigane na Rwanda kweli?. Si tutapiga nchi nzima kila kona na kila Raia tutampa ulinzi wa JW .
 
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini.

Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali iliyopelekea mgogoro mkubwa wa kidipromasia baina ya Serikali ya Kikwete na Serikali ya Kigali.

Sasa baada ya Serikali ya Samia kuingia madarakani wahuni hao wamerejea kwa nguvu pengine wakiamini Samia hawezi kuwafanya lolote.Tusikubali aslani!

Tuwashughulikie hao wahuni kabla hawajaleta mgogoro mkubwa ndani ya Kanda yetu na Serikali ya Kigali ionywe wazi iache kuwakumbatia hao chawa wao.

Tusimchekee Kagame kwa sababu si mtu mwema hata kidogo.

Mzee Kikwete hakuwa mjinga ku deal naye kibabe huyo mwana- hizaya mpenda vya bure.

=====

Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23 DRC​

Jeshi la Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, FARDC, limetangaza kuwa wanajeshi watatu wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO wamejeruhiwa wakati wapiganaji wa M23 waliposhambulia ngome yao iliyopo Rutshuru.

MONUSCO imethibitisha kuwa wanajeshi wake watatu wamejeruhiwa na kupelekwa kutibiwa katika hospitali ya mjini Goma uliopo mashariki. Katika tangazo hilo jeshi la serikali ya Congo limesema mmoja wa wanajeshi hao amejeruhiwa vibaya.

MONUSCO inasema kuwa wanajeshi hao wamejeruhiwa katika shambulio lililofanyw na wapiganaji wa M23 katika ngome yao iliyopo ivukatika eneo la Shangi -Rutshuru.

Kundi la M23 linasema kuwa majeshi ya FARDC na na MONUSCO ndio waliofanyanya mashambulio kwanza dhidi yao katika ngome yao iliyopo katika eneo la Jomba Jumatatu.

Hii inakuja wakati mapigano yakiendelea kwa siku ya nne mfulurizo kati ya pande hizo yaliyoibuka baada ya mapigano hayo kusitishwa kwa muda wa wiki mmoja- mapigano yanayoendelea katika eneo la Rutshuru katika Kivu ya Kaskazini.

MONUSCO ilitangaza kuwa imo katika mapigano ikisaidia upande wa jeshi la Congo FARDC linalopigana na wapiganaji wa M23.

Tanzania ina wanajeshi zaidi ya 800 katika jeshi la MONUSCO kilichopo Mashariki mwa DRC.

Katika taarifa yake iliyotolewa Jumatano usiku, jeshi la DRC, FARDC linaishutumu Rwanda kutuma kikosi chake maalum cha wanajeshi 500 kuwasaidia wapiganaji wa M23, likisema kuwa walikuja wakiwa wamevalia mavazi yenye rangi ya kijani kibichi na nyeusi.

Serikali ya Rwanda kwa imekuw aikikana mara kwa marakuwa inawasaidia M23, ikisisitiza kuwa tatizo lao liko ndani ya nchi yao wenyewe ya DRC.

Kikundi cha M23 Jumatano pia kilitoa tangazo kikiishutumu serikali kwa ‘’kuchagua njia ya vita’’, kwa vikosi vyake kushirikiana na wanajeshi wa MONUSCO na wapiganaji wa kundi linaloshutumiwa na Rwanda kufanya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 la FDLR kuwashambulia.

Tangazo hil la M23linasema: “Kuchagua vita kwa serikali ya Congo badala ya kuchagua mazungumzo ya amani, ni tatizo katika kurejesha amani katika mashariki mwa DRC”.

Wakati huo huo, jeshi la DRC- FARDC limetangaza kuwa maazimio yakikao cha wakuu wa majeshi kilichofanyika Goma ya kubuni kikosi maalumu cha kupigana na makundi ya wanamgambomashariki mwa Congo, yatawasilishwa mbele ya kikao cha wataalamu wa masuala ya kijeshi na wakuu majeshiitakayofanyika kati ya tarehe 15 na 19 mwezi huu mjini Nairobi Kenya, kabla ya kuidhinishwa na maraisi wa Kanda.

Chanzo: BBC
Kagame hana tofauti na Putin ni mashetani kabisa
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Unaota wewe
Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
Congo kukiwa na amani hata tanzania kutakuwa na amani
Uliza ndugu zako wa mipakani
 
Wanajeshi wa Tz wanafanya vizuri sana katika kupigana na hilo kundi linadaiwa ni la nchi jirani. Huenda hilo kundi linalipiza kama ule wakati wa JK. Ningefurahi kama hako kakikundi kangefutwa katika USO wa dunia. Ni waporaji wakubwa wa mali ya DRC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wenyewe wamezoea Vita waacheni wapambane siku akili zikiwarudi wataacha wanajeshi wa Tanzania warudi.
Tanzania JWTZ should take note.
Hao M23 ni jeshi la Rwanda, siyo wahuni.
Wahuni wanapata wapi vifaru na mizinga.
Kama mbwai iwe mbwai.
 
Back
Top Bottom