DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Hakuna chochote...Wale wanapigwa na Tanzania kwa siku 3 tu, Kwanza hana support ya Wananchi walio weeengi ambao ni 80% Wahutu, only 20% tutsi.,Pili Kagame anatawala kwa Mkono wa Chuma, Mema ya nchi yanaliwa na Jeshi na elite wa kitutsi,Raia Maskini weeengi wanaogopa kusema,na hakuna Uhuru wa Kisiasa, Leo hii ikitokea KAGAME AMEKUWA mwendazake, Tusiombee Mabaya, Ila Tutarajie Kimbari mpya ya aina yake, Wakimbizi kama kawa wataleta upya Ajira Tz.
 
Duh kaka unaishi shimoni? yaani Dula mbabe akampige Tyson! Rwanda ni kama Singida ipigane na Tanzania nzima!
Hujui nguvu za kijeshi za JWTZ

JWTZ sio jeshi la kitoto hawajaamua tu.
Naona hii inamtosha japo hawezi kuelewa.
Kwa ukanda huu wa Afrika Mashari na Kati ...... naamini wenzangu wameelewa
 
Hizo ni stori chief. Huyu jamaa wazungu wanamtumia ili aifanye congo isitulie wazid kuiba. Huyu jamaa anatakiwa apate funzo rasmi
Kila kitu tunasingizia wazungu. Tuwe straight, ni Rwanda ya Kagame
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Acha perceptions wala Rwanda sio chochote. Kanapigika tu mbona.....leteni masilaha tutangulie Kigali mtatukuta huko.
 
Dr. P. Kagame anatumika na mabeberu hasa marekani...ni asset wa marekani muda mrefu tu, siku wakimchoka ndiyo mwisho wa dr huyo, hatuna ubavu wa kuwaondoa m23 zaidi ya kupunguza makali kwani hata UN wenyewe ni hao hao beberu, kwa hiyo beberu anapigana mwenyewe (beberu anaitumia un na kikaragosi kagame) ili kuleta tatizo na kulitatua mwenyewe kwani ndiyo njia nzuri(of course ni mbaya) ya kutawala. Kwani kagame naye anapata maua kidogo kwa kutumika huko...ndo mana swallows na romeo boys wametapakaa afrika mashariki lengo ni lile kwahiyo anakwenda sambamba Kama mabosi wanavyotaka...na kwa akili za watz tayari washajihisi inferior, baadhi Wana woga mtupu.
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Rwanda hawana uwezo huo unataka kudanganya hapa tunawajua sana. Ila kwa propaganda wako vizuri ila chamot mtaona
 
Ndio tatizo letu watanzania, kuendekeza ushabiki wa simba yanga, Chadema na CCM hata kwenye ishu nyeti. Ukubwa wa nchi hauna impact kwenye ubora wa kivita. Israel ni taifa dogo sana, angalia anavyosumbua mataifa makubwa ya kiarabu duniani. Angalia Israel inaingia mara ngapi kwa Iran, angalia population yao na iran.

Vita sio ukubwa wa nchi, vita ni mbinu za kimedani, ubora wa silaha, ari ya wanajeshi na intelejensia imara. Ikiwa jeshi lako, lipo wazi kila mtu anajua una nini, mpo wangapi na wapi, basi kukupiga ni jambo la kawaida tu.

Nasisitiza, sio rahisi kuwapiga Rwanda kwa kukurupuka mnaweza kuunguzwa na moto msioujua umetoka wapi.
Israel siyo Rwanda, Nchi maskini tu na hata Congo hawawezi kusimama nayo!
 
Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
Nikutumia akili kubwa tuu unamponda nyoka kichwa mwili utabaki unajinyonganyonga tuu, na hapo hamna hata mshale utarushwa na wanakijiji watafurahia nyoka kupondwa kwenye kijiji chao, wataanza mwanzo mpya.
 
Naona Kagame anakuwa Overrated kimasihara kabisa. Utashangaa hata Viongozi wakuu wa Nchi nao wanamgwaya Kagame, eti ana Inteligensia kali
Hayupo overrated jamaa aliwa face head-on Angola na Zimbabwe huko Katanga muda huo huo akipigana na Uganda huko Kisangani. Sio rahisi kwa nchi iliyokua umetoka vitani mwaka 1 nyuma kupambana na majeshi ya nchi karibu 7. Sasa miaka 20 baadae unadhani nguvu yake imekua mara ngapi?? As much tutampiga ila damage inaweza kuwa mara mbili haswaa kama M7 ataingia upande wake.
 
Nikutumia akili kubwa tuu unamponda nyoka kichwa mwili utabaki unajinyonganyonga tuu, na hapo hamna hata mshale utarushwa na wanakijiji watafurahia nyoka kupondwa kwenye kijiji chao, wataanza mwanzo mpya.
Tatizo la DRC sio Kagame ni ukabila tu, hao Banyamulenge/Hema walishaanza vita za kujitenga tokea enzi za Mobutu.

So hata Kagame akitandikwa best believe Museveni ataliendeleza. Suluhisho labda wamege kipande Cha kivu na Bunia kiende Rwanda ama wawatimue Jamii zote za Kinyarwanda huko DRC otherwise M23 ni muendelezo tu wa RCD-Goma na vikundi vingine vya Rwanda huko DRC.
 
Hizo ni stori chief. Huyu jamaa wazungu wanamtumia ili aifanye congo isitulie wazid kuiba. Huyu jamaa anatakiwa apate funzo rasmi
Kwani bila vita enzi za Mobutu Congo ilikua haiibiwi? Kipindi Cha Kabila walikua hawaibiwi licha ya vita kukwama? In fact Zimbabwe na Angola zimeiba almasi nyingi kuliko hao wazungu au Kagame whilst walikua upande wa Kabila Senior kupambana na Kagame.

Ni ukabila tu wa DRC mashariki na umeanza kabla hata Kagame hajavamia DRC. Tuache Kila lawama wazungu wakati hata hao weusi tunaowapa Urais wanaishia kuiba tu!
 
Vita vimekuwa modernised siku hizi vifaru ni mzigo tuu siku hizi ni artillery, missiles na well trained infantry with help of drones.
Usidanganywe mkuu na hizo vita za huko mambele huku kwetu watu wanaweza kuwa na mapanga plus viAK47 viwili vitatu wakahamisha vijiji mfano mzuri ni kule Msumbiji
 
Back
Top Bottom