AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Siku zote Kwa mwoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote Kwa mwoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio.
Sasa kwa nini hao Banyamulenge wanashindwa kujimegea hivyo vipande vya Kivu & Bunia maana backup wanayo kutoka kwa Rwanda,Uganda & mabeberu mbona south Sudan waliwezaSuluhisho labda wamege kipande Cha kivu na Bunia kiende Rwanda ama wawatimue Jamii zote za Kinyarwanda huko DRC otherwise M23 ni muendelezo tu wa RCD-Goma na vikundi vingine vya Rwanda huko DRC.
Sasa nimeelewa. Hata wale vijana wetu waliuawa na KigaliM 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini.
Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali iliyopelekea mgogoro mkubwa wa kidipromasia baina ya Serikali ya Kikwete na Serikali ya Kigali.
Sasa baada ya Serikali ya Samia kuingia madarakani wahuni hao wamerejea kwa nguvu pengine wakiamini Samia hawezi kuwafanya lolote.Tusikubali aslani!
Tuwashughulikie hao wahuni kabla hawajaleta mgogoro mkubwa ndani ya Kanda yetu na Serikali ya Kigali ionywe wazi iache kuwakumbatia hao chawa wao.
Tusimchekee Kagame kwa sababu si mtu mwema hata kidogo.
Mzee Kikwete hakuwa mjinga ku deal naye kibabe huyo mwana- hizaya mpenda vya bure.
=====
Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23 DRC
Jeshi la Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo, FARDC, limetangaza kuwa wanajeshi watatu wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Mataifa MONUSCO wamejeruhiwa wakati wapiganaji wa M23 waliposhambulia ngome yao iliyopo Rutshuru.
MONUSCO imethibitisha kuwa wanajeshi wake watatu wamejeruhiwa na kupelekwa kutibiwa katika hospitali ya mjini Goma uliopo mashariki. Katika tangazo hilo jeshi la serikali ya Congo limesema mmoja wa wanajeshi hao amejeruhiwa vibaya.
MONUSCO inasema kuwa wanajeshi hao wamejeruhiwa katika shambulio lililofanyw na wapiganaji wa M23 katika ngome yao iliyopo ivukatika eneo la Shangi -Rutshuru.
Kundi la M23 linasema kuwa majeshi ya FARDC na na MONUSCO ndio waliofanyanya mashambulio kwanza dhidi yao katika ngome yao iliyopo katika eneo la Jomba Jumatatu.
Hii inakuja wakati mapigano yakiendelea kwa siku ya nne mfulurizo kati ya pande hizo yaliyoibuka baada ya mapigano hayo kusitishwa kwa muda wa wiki mmoja- mapigano yanayoendelea katika eneo la Rutshuru katika Kivu ya Kaskazini.
MONUSCO ilitangaza kuwa imo katika mapigano ikisaidia upande wa jeshi la Congo FARDC linalopigana na wapiganaji wa M23.
Tanzania ina wanajeshi zaidi ya 800 katika jeshi la MONUSCO kilichopo Mashariki mwa DRC.
Katika taarifa yake iliyotolewa Jumatano usiku, jeshi la DRC, FARDC linaishutumu Rwanda kutuma kikosi chake maalum cha wanajeshi 500 kuwasaidia wapiganaji wa M23, likisema kuwa walikuja wakiwa wamevalia mavazi yenye rangi ya kijani kibichi na nyeusi.
Serikali ya Rwanda kwa imekuw aikikana mara kwa marakuwa inawasaidia M23, ikisisitiza kuwa tatizo lao liko ndani ya nchi yao wenyewe ya DRC.
Kikundi cha M23 Jumatano pia kilitoa tangazo kikiishutumu serikali kwa ‘’kuchagua njia ya vita’’, kwa vikosi vyake kushirikiana na wanajeshi wa MONUSCO na wapiganaji wa kundi linaloshutumiwa na Rwanda kufanya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 la FDLR kuwashambulia.
Tangazo hil la M23linasema: “Kuchagua vita kwa serikali ya Congo badala ya kuchagua mazungumzo ya amani, ni tatizo katika kurejesha amani katika mashariki mwa DRC”.
Wakati huo huo, jeshi la DRC- FARDC limetangaza kuwa maazimio yakikao cha wakuu wa majeshi kilichofanyika Goma ya kubuni kikosi maalumu cha kupigana na makundi ya wanamgambomashariki mwa Congo.
Yatawasilishwa mbele ya kikao cha wataalamu wa masuala ya kijeshi na wakuu majeshiitakayofanyika kati ya tarehe 15 na 19 mwezi huu mjini Nairobi Kenya, kabla ya kuidhinishwa na maraisi wa Kanda.
Chanzo: BBC
Hahah Kweli kabisa mkuu,hebu tupe uzoefu wa kimedani wa wanajeshi wa Congo mkuu.Israel siyo Rwanda, Nchi maskini tu na hata Congo hawawezi kusimama nayo!
Madini mkuu, DRC inategemea hizo Kivu zote mbili kwa survival yake maana huko western Congo hakuna rasilimali yoyote ya maana kulinganisha na Eastern.Sasa kwa nini hao Banyamulenge wanashindwa kujimegea hivyo vipande vya Kivu & Bunia maana backup wanayo kutoka kwa Rwanda,Uganda & mabeberu mbona south Sudan waliweza
Vipi 2012 na 2022 kipi kinawazuia halafu kwa nini DRC wanashindwa kupeleka askari wa kutosha huko ili kuwatawala hao wanyarwanda wa mchongo kwa mkono wa chuma mbona JK aliweza kupeleka askari wa kutosha kule mtwara mpaka akaweza kuihamishia gesi yote DarMadini mkuu, DRC inategemea hizo Kivu zote mbili kwa survival yake maana huko western Congo hakuna rasilimali yoyote ya maana kulinganisha na Eastern.
Mwaka 1997 wangeweza ichukua kama sio Kabila kuwa mkali na kuwatimua; otherwise wangeigawa pasu kwa pasu.
Na walipotaka kuichukua 1998 walizingirwa na majeshi ya Angola na Zimbabwe, Namibia n.k hivyo ikawa ngumu kuziteka moja kwa moja.
Acheni Kila lawama kuwapa wazungu? Hivi mfano Tanzania tulikua tunaingia mikataba ya kiuonevu kwani tulikua na vita au CIA walitushurutusha tusign Ile mikataba? Sasa nchi kama Congo kuporwa madini inahitaji vita au CIA??PK and M7 its the CIA project for their interest in DRC....you should be carefully dealing with them.... for now they are untouchable may be till the Cow boyz says its over....
DRC is the project of Cowboyz and french Africa, and will remain in that way forever.
Mozambique is the project of french Africa, due to the fact that portugues are poor to handle these projects..
Tanzania is the Cowboyz reserve although for now its the safe heaven for those guyz in Italy with no interference on Cow boyz interest...
Project TZ is long term business plan with proper handling to make sure never turn into new DRC but they can do what they want without barries.... to achieve what they want, they must control all political activities in both side ( ruling part and opposition)
[emoji1][emoji1] Kwamba vifaru ni mzigo sio?nenda kawaulize wale mercenaries Kule Ukraine waliokimbia Vita wanasemaje khs vifaru vya Warussi.Sniper hatari wa kutoka Canada aitwae Wali anakwambia mizinga inapigwa non-stop mwisho wa siku ameishia kupiga risasi 2 tu na kukimbia Vita [emoji1][emoji1][emoji1].Vita vimekuwa modernised siku hizi vifaru ni mzigo tuu siku hizi ni artillery, missiles na well trained infantry with help of drones.
Kwamba majamaa ya Urusi yamegundua dawa ni kutuma missile tu hao masniper wataambulia vumbi na miripuko[emoji1][emoji1] Kwamba vifaru ni mzigo sio?nenda kawaulize wale mercenaries Kule Ukraine waliokimbia Vita wanasemaje khs vifaru vya Warussi.Sniper hatari wa kutoka Canada aitwae Wali anakwambia mizinga inapigwa non-stop mwisho wa siku ameishia kupiga risasi 2 tu na kukimbia Vita [emoji1][emoji1][emoji1].
M23,FDLR etc hivyo vikundi kufa Ni impossible vitaendelea kubadili majina na viongozi tu.Kwa sababu ya Ideology wanazoziamini bado ziko/zina-survive.Tatizo la DRC sio Kagame ni ukabila tu, hao Banyamulenge/Hema walishaanza vita za kujitenga tokea enzi za Mobutu.
So hata Kagame akitandikwa best believe Museveni ataliendeleza. Suluhisho labda wamege kipande Cha kivu na Bunia kiende Rwanda ama wawatimue Jamii zote za Kinyarwanda huko DRC otherwise M23 ni muendelezo tu wa RCD-Goma na vikundi vingine vya Rwanda huko DRC.
Sioni fact yoyote uliyoongea hapa, hizo story za Rwanda kuwa na intelejensia kali ndani ya Tz ni hoja unayoweza kuithibitisha au ni story za kusikia?Ndio tatizo letu watanzania, kuendekeza ushabiki wa simba yanga, Chadema na CCM hata kwenye ishu nyeti. Ukubwa wa nchi hauna impact kwenye ubora wa kivita. Israel ni taifa dogo sana, angalia anavyosumbua mataifa makubwa ya kiarabu duniani. Angalia Israel inaingia mara ngapi kwa Iran, angalia population yao na iran.
Vita sio ukubwa wa nchi, vita ni mbinu za kimedani, ubora wa silaha, ari ya wanajeshi na intelejensia imara. Ikiwa jeshi lako, lipo wazi kila mtu anajua una nini, mpo wangapi na wapi, basi kukupiga ni jambo la kawaida tu.
Nasisitiza, sio rahisi kuwapiga Rwanda kwa kukurupuka mnaweza kuunguzwa na moto msioujua umetoka wapi.
Kwa Jeshi lipi walilonalo DRC? In fact M23 Ina malipo na silaha nzuri kuliko Jeshi la kitaifa!! So hao Wanajeshi wa DRC hawana morale ya kupigana wakikutana na waasi wapo tayari wakimbie kuliko kuuawa bila faida yoyote.Vp
Vipi 2012 na 2022 kipi kinawazuia halafu kwa nini DRC wanashindwa kupeleka askari wa kutosha huko ili kuwatawala hao wanyarwanda wa mchongo kwa mkono wa chuma mbona JK aliweza kupeleka askari wa kutosha kule mtwara mpaka akaweza kuihamishia gesi yote Dar
Hatuwezi mfukuza?Kagame ni kirusi ndani ya EAC. Siku ile tuliyomkaribisha EAC ndiyo siku tuliyokaribisha matatizo.
Vita ni experience na strategy hivi kuna Jenerali bongo ana track record ya James Kabarebe? Kenya Wana vifaa ila hawana strategy otherwise wasingekuwa weak hivyo.Sioni fact yoyote uliyoongea hapa, hizo story za Rwanda kuwa na intelejensia kali ndani ya Tz ni hoja unayoweza kuithibitisha au ni story za kusikia?
Kama ni hoja usiyoweza kuithibitisha basi na mimi ninao uwezo kwa kusema kwamba Tz ina intelejensia kali ndani ya Rwanda, na unapaswa usinibishie.
Rwanda hawezi kufanya lolote kwa Tz unless uwe ni Mnyarwanda unaeishi ndani ya Tz na umeamua kuleta ushabiki tu😄.
Kwa hapa EAC jeshi la kuipa presha Tz labda ni lile la Kenya.
Hoja yangu ya msingi ni kwamba kuliko kuifikiria Rwanda kama babe kwa Tz ,ni bora uwafikirie hata Kenya (KDF).Vita ni experience na strategy hivi kuna Jenerali bongo ana track record ya James Kabarebe? Kenya Wana vifaa ila hawana strategy otherwise wasingekuwa weak hivyo.
Hebu tupeane taarifa Kenya imeshawahi kupigana Vita na jeshi la nchi ipi ukiachana na kukimbizana na wale Al-shabab?Sioni fact yoyote uliyoongea hapa, hizo story za Rwanda kuwa na intelejensia kali ndani ya Tz ni hoja unayoweza kuithibitisha au ni story za kusikia?
Kama ni hoja usiyoweza kuithibitisha basi na mimi ninao uwezo kwa kusema kwamba Tz ina intelejensia kali ndani ya Rwanda, na unapaswa usinibishie.
Rwanda hawezi kufanya lolote kwa Tz unless uwe ni Mnyarwanda unaeishi ndani ya Tz na umeamua kuleta ushabiki tu[emoji1].
Kwa hapa EAC jeshi la kuipa presha Tz labda ni lile la Kenya.
Kagame ni kirusi ndani ya EAC. Siku ile tuliyomkaribisha EAC ndiyo siku tuliyokaribisha matatizo.
Embu acha kumfananisha Putin na huyo fidodido.Kagame tukiwapa warundi silaha na kufunga mipaka yetu chigali inaanguka massa mawili tu.Kagame hana tofauti na Putin ni mashetani kabisa
Yapange majeshi ya EAC kutokana na nguvu zao kijeshi, kulingana na unavyofikiria tu (sitaki nikuombe ushahidi)Hebu tupeane taarifa Kenya imeshawahi kupigana Vita na jeshi la nchi ipi ukiachana na kukimbizana na wale Al-shabab?
Tangu niwaone KDF wakiiba chocolate kwny Ile Westgate Mall,baadae wakaenda Somalia wakaanza kuiba mkaa na kuuza [emoji1][emoji1] hua nawacheki tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii