DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Tunalinda amani. Hatuwezi kukaa tu hapa alafu mtaa wa pili kuna wahuni wanaua na kubaka waafrika wenzetu kwa maslahi ya mabwana zao wa huko ulaya, hatuwezi kamwe!
Njaa tu ndio zinawapeleka huko
 
Duh kaka unaishi shimoni? yaani Dula mbabe akampige Tyson! Rwanda ni kama Singida ipigane na Tanzania nzima!
Hujui nguvu za kijeshi za JWTZ

JWTZ sio jeshi la kitoto hawajaamua tu.
Waamue Sasa tuone
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Sisi hatuna itelijennsia yoyote nje ya mipaka ya nchi yetu? Usijidanganye kiasi hicho.
 
Hayupo overrated jamaa aliwa face head-on Angola na Zimbabwe huko Katanga muda huo huo akipigana na Uganda huko Kisangani. Sio rahisi kwa nchi iliyokua umetoka vitani mwaka 1 nyuma kupambana na majeshi ya nchi karibu 7. Sasa miaka 20 baadae unadhani nguvu yake imekua mara ngapi?? As much tutampiga ila damage inaweza kuwa mara mbili haswaa kama M7 ataingia upande wake.
Kwani nchi zingine hiyo miaka 20 zilikua zimekaa tu hawajiimalishi? Nashangazwa sana na sifa za kusifia nchi flani kwamba wako vizuri sana wakati hata uchumi wao mdogo sana.
 
Vita ni experience na strategy hivi kuna Jenerali bongo ana track record ya James Kabarebe? Kenya Wana vifaa ila hawana strategy otherwise wasingekuwa weak hivyo.
Track gani? yakupigana na nchi iliyo na jeshi hafifu? Hivi huyo jamaa bado yuko active kweli hazeekagi?
 
Najua wa Rwanda tu hahahaha! hao ndiyo wababe Arfrica nzima na wana uzoefu sanaaaaaa! Wnayrwanda bana safi sana
Hakika na sasa wanamiliki Tsar nuclear bomb mpk Marekani anamuogopa huku Russia ikimuomba msamaha kila siku na anaweza akapigana na dunia nzima kwa mpigo kwa kutumia drones tu 😄😄😄😄😄.Nasema uongo ndg zanguuuuhhh
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Acha fallacious arguments wewe. Yaani Jeshi la Rwanda lilitishe Jeshi la Tanzania? Au wewe ni Mnyarwanda na umepanic?
 
Hayupo overrated jamaa aliwa face head-on Angola na Zimbabwe huko Katanga muda huo huo akipigana na Uganda huko Kisangani. Sio rahisi kwa nchi iliyokua umetoka vitani mwaka 1 nyuma kupambana na majeshi ya nchi karibu 7. Sasa miaka 20 baadae unadhani nguvu yake imekua mara ngapi?? As much tutampiga ila damage inaweza kuwa mara mbili haswaa kama M7 ataingia upande wake.
Mkuu itafaa zaidi kama utasema pia haikua ni ‘full out war’ Rwanda alikua na jeshi lake la askari kama elfu ishirini na vikundi alivyoviunga mkono, Angola walikua na kiwango kidogo sana cha askari na papo hapo walikuwa wakipigana na kikundi kingine cha waasi ukiacha vile vinavyoungwa mkono na Rwanda, Uganda kama Rwanda, Zimbabwe pia askari walikua wachache sana hasa focus yao ikiwa ni kulinda mji mkuu na kumlinda kabila...
Kiufupi it was a very complex issue... ila kuipa credit Rwanda ati ali-face nchi tatu tofauti ni kuipendelea. Kiuhalisia Rwanda wanafanya vizuri kiintelijensia lakini ni karibia haiwezekani kwao kupigana vita on 3 fronts. Honestly speaking.
 
Kwa Jeshi lipi walilonalo DRC? In fact M23 Ina malipo na silaha nzuri kuliko Jeshi la kitaifa!! So hao Wanajeshi wa DRC hawana morale ya kupigana wakikutana na waasi wapo tayari wakimbie kuliko kuuawa bila faida yoyote.

So hapo kilichopo either watimuliwe waende Rwanda/Burundi/Uganda kama enzi za Kabila Senior, ama wapewe Jimbo moja wajazwe wote humo then iwe nchi huru ama iende Rwanda n.k hapo ndio vita itaisha ila otherwise hiyo vita ni ya tokea miaka ya 90 na itaendelea mpaka siku ijitengeh
Tatizo la DRC sio Kagame ni ukabila tu, hao Banyamulenge/Hema walishaanza vita za kujitenga tokea enzi za Mobutu.

So hata Kagame akitandikwa best believe Museveni ataliendeleza. Suluhisho labda wamege kipande Cha kivu na Bunia kiende Rwanda ama wawatimue Jamii zote za Kinyarwanda huko DRC otherwise M23 ni muendelezo tu wa RCD-Goma na vikundi vingine vya Rwanda huko DRC.
Hii suluhu huenda ikaleta amani kongo, naiunga mkono🤝
 
Mkuu itafaa zaidi kama utasema pia haikua ni ‘full out war’ Rwanda alikua na jeshi lake la kama elfu ishirini na vikundi alivyoviunga mkono, Angola walikua na kiwango kidogo sana cha askari na papo hapo walikuwa wakipigana na kikundi kingine cha waasi ukiacha vile vinavyoungwa mkono na Rwanda, Uganda kama Rwanda, Zimbabwe pia askari walikua wachache sana hasa focus yao ikiwa ni kulinda mji mkuu na kumlinda kabila...
Kiufupi it was a very complex issue... ila kuipa credit Rwanda ati ali-face nchi tatu tofauti ni kuipendelea. Kiuhalisia Rwanda wanafanya vizuri kiintelijensia lakini ni karibia haiwezekani kwao kupigana vita on 3 fronts. Honestly speaking.
Hiyo ndio maana ya proxy wars hata vita ya Armenia Vs Arzebeijan walioshangilia ni Uturuki ilihali hawakuwa Frontline!! ama vita ya Syria inayosifiwa ni Urusi kwamba imemshinda US licha ya kwamba hakuna Wanajeshi wa marekani huko Syria physically.

All out war siku hizi ni chache sana nyingi ni proxy lakini mwisho wa siku ndio zinaamua Mshindi hata kama umepeleka askari buku pekee.

Hata Tanzania huwa tunajisifia Kuzima mapinduzi Burundi, Seychelles, Comoros n.k ila je zilikua all out war? But we're still proud sababu technically tulishinda vita whether kwa askari 10 au 100.

2. Yes objective ni kumlinda lakini ukisema ni mji mkuu pekee hapana. Majeshi ya wageni yalikuwepo kuanzia Pweto na Kasai huko kusini mpaka Province Equator kaskazini hadi Bas Congo province huko magharibi na huko kote kulikua na engagement dhidi ya Kagame.

3. Kusema Angola ilikua na vita na waasi wa UNITA sio kisingizio hata Rwanda ilikua inapambana na FDLR, Burundi nayo kulikua na waasi, M7 naye alikua na waasi huko kaskazini na kasese n.k in fact Rwanda walitwangana na Uganda wakiwa katikati ya vita na Kinshasa!! Ila nguvu haikupungua na zaidi Uganda alipigwa in both battles.

Kusema haya kwa udogo wao ule bila kuwa na air cover walionyesha ujasiri wa hali ya juu, so hawako overrated ila they earned their status.
 
Track gani? yakupigana na nchi iliyo na jeshi hafifu? Hivi huyo jamaa bado yuko active kweli hazeekagi?
Hakupigana na DRC per se bali Angola, Namibia, Zimbabwe na zingine 5 zilizomwaga silaha na ndege kumlinda Kabila.

Hayupo active alihamishiwa ikulu kuwa mshauri wa Rais Kagame kwenye masuala ya Ulinzi.
 
Kwani nchi zingine hiyo miaka 20 zilikua zimekaa tu hawajiimalishi? Nashangazwa sana na sifa za kusifia nchi flani kwamba wako vizuri sana wakati hata uchumi wao mdogo sana.
Mkuu kwenye takwimu huwa tunafanya estimations kupitia previous data. Mfano kama Rwanda alipambana na hizo nchi tajwa ilihali katoka kwenye civil war na umaskini mzito Ndio tuna estimate miaka 20 baadae atakua na nguvu mara dufu ya pale irrespective ya hizo nchi zingine zilivyojipanga.

Uchumi sio issue maana wakati wa vita walipora sana Mbao na madini ku fund vita na hapo lazima watasaka support ya kifedha kutoka Kwa washirika wake n.k so it can be sorted.

Tanzania inaweza kuwa vizuri mara 100 ila hoja ni kwamba Rwanda sio wadhaifu that's all I'm saying.
 
Hiyo ndio maana ya proxy wars hata vita ya Armenia Vs Arzebeijan walioshangilia ni Uturuki ilihali hawakuwa Frontline!! ama vita ya Syria inayosifiwa ni Urusi kwamba imemshinda US licha ya kwamba hakuna Wanajeshi wa marekani huko Syria physically.

All out war siku hizi ni chache sana nyingi ni proxy lakini mwisho wa siku ndio zinaamua Mshindi hata kama umepeleka askari buku pekee.

Hata Tanzania huwa tunajisifia Kuzima mapinduzi Burundi, Seychelles, Comoros n.k ila je zilikua all out war? But we're still proud sababu technically tulishinda vita whether kwa askari 10 au 100.

2. Yes objective ni kumlinda lakini ukisema ni mji mkuu pekee hapana. Majeshi ya wageni yalikuwepo kuanzia Pweto na Kasai huko kusini mpaka Province Equator kaskazini hadi Bas Congo province huko magharibi na huko kote kulikua na engagement dhidi ya Kagame.

3. Kusema Angola ilikua na vita na waasi wa UNITA sio kisingizio hata Rwanda ilikua inapambana na FDLR, Burundi nayo kulikua na waasi, M7 naye alikua na waasi huko kaskazini na kasese n.k in fact Rwanda walitwangana na Uganda wakiwa katikati ya vita na Kinshasa!! Ila nguvu haikupungua na zaidi Uganda alipigwa in both battles.

Kusema haya kwa udogo wao ule bila kuwa na air cover walionyesha ujasiri wa hali ya juu, so hawako overrated ila they earned their status.
hii ni 'kitona oparation'
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.
Rwanda walijaribu kumpindua Nkurunzinza wakati yupo kwenye ziara hapa Tanzania, kilitumwa kikosi kazi imara, uliza kitu tuliwafanya ndani ya wiki moja tu
 
Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
Acha uoga dogo
 
Back
Top Bottom