Dream League Soccer Special Thread

adriz ushukuru mwaka huu nimeongezeka busara lasivyo ningewapanga wana humu kama jana nimekukaanga vibayavibaya game zote na mwenyew ukasema basi kwa leo inatosha
Tatizo lako unakosa uadilifu hauwi mkweli ndio maana wana hawakuamini ,Mimi hata nikifungwa nakuwa mkweli sina longolongo that's Maturity as Master ..

Weka kabisa gemu ngapi zimechezwa na matokeo ya kila mechi sio unachagua yanayofavour upande wako . Game zote wakati sare ilikuwepo na moja ya mwisho kama sikosei ndani ya dkk 20 za mwanzo ushakula chuma mbili na amechi inakuhelemea ilibidi kama ndogo upigwe 6 upande wako ikaonyeshwa umeQuit kumbe Simu ilipigwa.

Umemsahau hiyo ilikuwa mechi ya kwanza kama sikosei mechi nyingine zote umepata ushindi wa papatupapatu na mfumo huo mpya nishakuWin maana ndio umekufanha tuende mpk extra time mechi mbili mfululizo huku moja ukinusurika kupigwa wiki au 6 ?
 
Sasa nasemaje kwa mfumo wangu mpya sidhani kama kuna siku tena utanifunga kwa total ya mechi zitakazo pigwa ,sevu huu ujumbe Mr Kiande maana rasmi sasa nakurudisha kwenye level yako ya ukiande baada ya Kuota kitambo na kujisahau.

Sasa kuanzia leo sikupi ruhusa ya kuja kutamba humu maana mfumo wangu mpya hauachi kitu salama ushatapa vya kutosha sasa hivi unarudi unapo stahili.
 
Kiande una matatizo sana, na bila ya shaka ni makusudi wajifanya kuchanganya mafaili, hii ulioniquote ni siku nyingine mzee hukuja kujibu hapa na kutaka ushahid ni zaid ya wik sasa, tazama tarehe kwanza

Nakosa nguvu ya kuweka matokeo yote coz vipondo vimekuwa ving kwako hadi naona tabu sasa

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Poa nimeelewa, ila jua hivyo kuanzia sasa Zama zako zishapita kama stone age na unitaje kwa heshima kama Master mkubwa humu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: adriz

Mi napendekeza timu yake angeiita Punguani[emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hii Inchi Uhuru umezidi mpk Kiande anaropoka bila evidence kuwa amenifunga Mimi Master ?

Naomba uwe refa achague siku ,muda na idadi za mechi nimfundishe adabu naona DullyJr anavuka mipaka sasa na viande wenzake wianza hivi hivi baadae wakakimbia huu Uzi.

Mimi ndio kiboko ya kuwakimbiza watu humu hapo kitambo walikuwa wengi nikatoa dozi Kali mpaka Uzi umetumia sasa wanaibuka wengine kwa vile kusafisha viande ndio kazi yangu basi sitokuwa na huruma kabisa.
 
Nachange name sasa naweka jipya la kutoa dozi Kali zaidi maana sasa naanza upya Leo jiandae .
Hapo ulipo una matumaini kibao eti utanifunga[emoji23][emoji23][emoji23]

Huwa najua kucheza na akili yako jinsi ya kumalizia (game za mwisho huwa najifanya kama vile umeanza kuniwezea lakini nakubonda hivyohivyo)

Nakusubir baadae uje nikubonde kama kawa

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Fene Mr Kiande waambie mashabiki kilichokukuta sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†
 
Nachange name sasa naweka jipya la kutoa dozi Kali zaidi maana sasa naanza upya Leo jiandae .
Nilimuonya mapema sana kijana akaja kirahisi ,soma jina langu jipya ndio uhalisia wangu sasa ni vipondo bila huruma nataka mkimbie humu maana mmeanza Kuota vitambi.
 
Tatizo mnabaki kupepeta mdomo tu code hamuweki....wewe unayetumia name ya penguin nimekuchapa sana tu....weka code hata muda huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…