Subiri kama dkk 5 tureplay ya mwisho hapo nitakubali.Newcastle ndio timu bora kabisa Tanzania ndani ya Jamiiforums
adriz kwisha habari yako
Rasmi mim ndie mfalme humu
Kiande wangu adriz ningekuomba nikufundishe soka ili nikupe cheo namba mbili humuView attachment 2348236View attachment 2348237
Yani ufungwe goli la pili dakika ya 85+ ndo upate emergencySubiri kama dkk 5 tureplay ya mwisho hapo nitakubali.
Wapi nimesema Dk 90 ?hizo hizo tano zinatosha mpk kupigwa 3 mechi haijaisha hiyo .Yani ufungwe goli la pili dakika ya 85+ ndo upate emergency
Labda umuongopee mlevi
Tazama unashindwa kutoa heshima yangu, ama kweli we si mshindaniWapi nimesema Dk 90 ?hizo hizo tano zinatosha mpk kupigwa 3 mechi haijaisha hiyo .
Nikukumbushe tu katika game sita za mwisho umeshinda mara mbili tuWewe jamaa hauishiwi vituko mimi sijawahi kulalamikia wewe wala yeyote humu kuwa wachezaji wangu hawana power kwani nilisemaga kwa watu wa humu jinsi mlivyo viande hata wachezaji wawe na power kama Hulk kwangu hamtoboi labda ya kwenye ligi ndio niliolalamikia coz wale tukiacha power Wana kiwango tofauti na wewe.
Bali mimi nilikulaumu kuna na wa bluu bando upo level za kangaloo na @Frustation halafu unaonewa kwenye ligi ambapo mimi nikiwa nawachezaji kama wako sishikiki .
Tucheze, unamwonea kibonde adriaz. Hujakutana na miambaNewcastle ndio timu bora kabisa Tanzania ndani ya Jamiiforums
adriz kwisha habari yako
Rasmi mim ndie mfalme humu
Kiande wangu adriz ningekuomba nikufundishe soka ili nikupe cheo namba mbili humuView attachment 2348236View attachment 2348237
NitakutafutaTucheze, unamwonea kibonde adriaz. Hujakutana na miamba
Wewe ni namba 2,Adriz 3Nitakutafuta
Ila kumbuka historia yang dhidi yako nilishakuuaga 2 wew
Jipange
Ushindi wa mchongo πππ
Ningekuomba ucheze na kiande adriz kwanza ili nijue kama una kiwango cha kukutana na MasterWewe ni namba 2,Adriz 3
Mimi ndo legend hapa maana kati yenu wote nyie atakaekaza sana ni draw[emoji16]
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Panga mda tucheze mechi mbiliNitakutafuta
Ila kumbuka historia yang dhidi yako nilishakuuaga 2 wew
Jipange
Tukutane kuanzia saa nne, tufanye ndo iwe mechi ya ligi kabisaPanga mda tucheze mechi mbili
Ushindi batili na unaogopa kumalizia mechi mpk siku kibao zimepita .Itabidi nianze kutumia version ya wanawake humu sasa wenda nikawapa nafasi hawa viande
Master Fene nimeleta amani sasa katika huu uzi maana kulikuwa na kelele za yule jamaaView attachment 2351343
[emoji23]Ushindi batili na unaogopa kumalizia mechi mpk siku kibao zimepita .
Mimi nakubali sio Master tena humu maana kwa uwezo wangu sasa hivi mimi ni The Great Master au GOAT wa humu.
Fact gani mimi gemu sita sijashinda mbili huo ni uongo wa dhahiri kwanza kumbukumbu zangu za haraka zinakataa hiyo rekodi nikianza kuhesabumechi zetu za hivi karibuni.[emoji23]
Game zako sita za mwisho umeshinda mara mbili tu mbele yangu umeuwawa mara nne
Eti GOAT
Tuongee kwa facts
Alafu unakimbia mechi[emoji23][emoji23]