adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Umekula sita ni historia hii kila siku huniwezi kea lolote na leo rasmi umekua kiande kama siku zoteTondoke tena, mtandao ulinizingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula sita ni historia hii kila siku huniwezi kea lolote na leo rasmi umekua kiande kama siku zoteTondoke tena, mtandao ulinizingua
[emoji23][emoji23]Sina maneno mengi brotherUmekula sita ni historia hii kila siku huniwezi kea lolote na leo rasmi umekua kiande kama siku zoteView attachment 2340516
Wiki ijayo nafungua tusheni ya dream league humu uko tayari kuhudhuria darasa.[emoji23][emoji23]Sina maneno mengi brother
you deserve but for a while
Ah wap, ngoja nijipange kukupokonya mkandaWiki ijayo nafungua tusheni ya dream league humu uko tayari kuhudhuria darasa.
Ulivyonipiga Nne nilipagawa nikasema dharau ziliniponza baada ya kushinda mechi mbili ushindi mkubwa nikamtoa Kante akaanza Guendoz .[emoji23][emoji23]Sina maneno mengi brother
you deserve but for a while
Hiz goli sita hata zisikuchanganye, tazama goal difference ni 3 tu coz ni 6 kwa 3 ni the same kama nilivyokufunga 4 kwa 1
Ombaecho za kirafiki na kangaloo au Frustration ujifue kwanza maana hao kwa kiwango chako watakufaa huku ukimsubilia masterAh wap, ngoja nijipange kukupokonya mkanda
Hivi huyu kante ana maajabu gani ktk hili game maana sijawahi kumtumia ila naona anapambwa kweli hivi yupo vip tactically?Ulivyonipiga Nne nilipagawa nikasema dharau ziliniponza baada ya kushinda mechi mbili ushindi mkubwa nikamtoa Kante akaanza Guendoz .
Kelele za Nne zimefutika kwa 6 zangu la sivyo nisingekaa humu kelele kama zile tatu sasa nimekishona mdomo rasmi na sasa hivi wachezaji wangu watapata bluu kama wako nitakuwa sishikiki
kabisa
😂 😂 😂 Mbona ulivyonifunga tatu haukutazama na hilo ?hakuna cha GD sita aibu asikuambie mtu.Hiz goli sita hata zisikuchanganye, tazama goal difference ni 3 tu coz ni 6 kwa 3 ni the same kama nilivyokufunga 4 kwa 1
Huku nitaarifu nikaQuit coz nilikua nacheza na kibonde Fene ndio maana nikalegeza kikosi na wewe ukaingilia ila ukijivagaa yatakukuta ya Fene.Wewe lala na ushindi wa fene kwangu nitakupa tu stress adriz . Ile first half uliyokimbia kile sio kikosi changu cha kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]. Imagine
Yaani huyu ndio kama injini ya mashambulizi coz anauwezo mkubwa wa kubora mpira miguuni na speed ya kuwahi kunyakua .Hivi huyu kante ana maajabu gani ktk hili game maana sijawahi kumtumia ila naona anapambwa kweli hivi yupo vip tactically?
Ukimfunga master fene goli 6 lazima ufurahi kama man city alivomfungaga man u 6 wakati uleeHuku nitaarifu nikaQuit coz nilikua nacheza na kibonde Fene ndio maana nikalegeza kikosi na wewe ukaingilia ila ukijivagaa yatakukuta ya Fene.
Poa siku nyingine usije kuniharibia mood ya ushindi maana kwa furaha ya goli 6 za nguvu ninaweza kucheza utumbo .
Nimefurahia kishona mdomo tu na ukiacha fujo ikiwa mtilivi kama Kangaloo nitakupa somo bure mbinu zote na haitokua kibonde tena we kubali kuwa chawa wangu maana kila siku wewe mnyonge mtu wa vichapo tu.Ukimfunga master fene goli 6 lazima ufurahi kama man city alivomfungaga man u 6 wakati ulee
Furahia ushind wako kwanguvu broh maana bahati hazijirudiagi
Hebu niwawekee mashabik zangu wasijue nilikuwa mnyonge kihivyo leoNimefurahia kishona mdomo tu na ukiacha fujo ikiwa mtilivi kama Kangaloo nitakupa somo bure mbinu zote na haitokua kibonde tena we kubali kuwa chawa wangu maana kila siku wewe mnyonge mtu wa vichapo tu.
Mandonga anachapika yeye tu mda woteHebu niwawekee mashabik zangu wasijue nilikuwa mnyonge kihivyo leoView attachment 2340530
We kibonde umejifuafua kidogo?Nimefurahia kishona mdomo tu na ukiacha fujo ikiwa mtilivi kama Kangaloo nitakupa somo bure mbinu zote na haitokua kibonde tena we kubali kuwa chawa wangu maana kila siku wewe mnyonge mtu wa vichapo tu.
Ningekuwa mimi ndio wewe ningekimbilia jukwaa la upishi na nisingetokea humu kwa aibu kubwa yaani mechi Nne za janaHebu niwawekee mashabik zangu wasijue nilikuwa mnyonge kihivyo leoView attachment 2340530