ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nani aweke mguu nmfundishe kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unwaokaota viande halafu unajisifu ?Nani aweke mguu nmfundishe kaziView attachment 2787056
Njoo nikuokote na weweUnwaokaota viande halafu unajisifu ?
Inategemea na ukubwa wa simu yako,simu ikiwa ndogo kama Ram 2 na Storage 32 ukiweka high hata medium inaweka kukusumbua na kustuck mara nyingine.Wakuu vipi hapo kwenye Quality ni ipi Bora
Simu GB 64 RAM GB 4 Lakin Bado inasumbua lina-stack sanaInategemea na ukubwa wa simu yako,simu ikiwa ndogo kama Ram 2 na Storage 32 ukiweka high hata medium inaweka kukusumbua na kustuck mara nyingine.
Weka medium mkuu High inasumbua sana liveSimu GB 64 RAM GB 4 Lakin Bado inasumbua lina-stack sana
Kesho kwenye saa 5 asubuhi uje nikufundishe soka.. cc MTO MARA FC [emoji91]
Naam KakaClan of mathemacians
Au sio ss hv nawatafutia wachezaj wa Rating ndgSoon nitarudi InshaAllah ndani ya mwezi wa 11 ,nina mzuka wa kutoa dozi humu maana naona toka muondoke watu wameanza kuota vitambi mpaka viande wanakuja kuomba mechi wakati enzi zangu wakikuta screenshots za vipigo ninavyotoa wanakula kona.
Nasema Ukwel sio utaniAcha dharau
Kumbe ndy Kiaz Yan mtu kajifunga Goals kibao unakuja kutupostiaNani aweke mguu nmfundishe kaziView attachment 2787056
Simu ndg hiyo Punguza Graphic usiweke High wala Very High wala hyo FPS 60Simu GB 64 RAM GB 4 Lakin Bado inasumbua lina-stack sana
Niweke ngapi mkuuSimu ndg hiyo Punguza Graphic usiweke High wala Very High wala hyo FPS 60
Jarbu kuweka Automatic uone zinasoma ngapi (na hapo inakuwa base on phones ability & capacity)Niweke ngapi mkuu
Nashukuru Sana saivi limetulia Hali stuck tenaJarbu kuweka Automatic uone zinasoma ngapi (na hapo inakuwa base on phones ability & capacity)
DuaNashukuru Sana saivi limetulia Hali stuck tena
Wapo wengiKuna anaelijua humu?