Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Mkuu usitumie nguvu kubwa humu kila mtu najua kiwango chake we n next level NI vile watakaza Tu fuvu...
Angalau kidogo Eng ibird anaweza kukutambia kidogo.. sema itabidi mcheze Tu kumaliza ubishi
Huyo hawwzi kufua dafu kwangu Fene ndio aliyemuonea kwa visago vikali bila ushindi .
 
Mimi ndio master of tactics humu, adriz ukiacha unafki unaweza lithibitisha hili humu kwa wanasoka

Ni ngumu Fene ukamuingiza katika mfumo na akaganda kwa muda mrefu chap tu kashajizingua tofauti na ilivyo kwake akikuingiza katika mfumo utaomba haleluya
Wakipekee licha ya maneno yake anayoyatupa hadi leo hajawahi nifunga, adriz anaangaika kwa waganga na kila siku kudai wanamtapeli maana hata akipata dawa ikifanya kazi siku moja yanayofuata ni mateso
Amethubutu hadi kubadilisha jina eti maelekezo ya babu[emoji23][emoji23]
MrJobless baada ya kunifunga siku yake moja ndio inayompa jeuri siku iliyofuata alishindwa kunifunga tulitoka sare
Hii yote kuonesha Fene ni master of tactics ni ngumu kumuingiza katika mfumo

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ulivyomtaja Wakipekee katika list ya kujisifia basi andiko lako nimelidharau maana huyo ni miongoni mwa viande Wakuu humu.
 
Mimi ndio master of tactics humu, adriz ukiacha unafki unaweza lithibitisha hili humu kwa wanasoka

Ni ngumu Fene ukamuingiza katika mfumo na akaganda kwa muda mrefu chap tu kashajizingua tofauti na ilivyo kwake akikuingiza katika mfumo utaomba haleluya
Wakipekee licha ya maneno yake anayoyatupa hadi leo hajawahi nifunga, adriz anaangaika kwa waganga na kila siku kudai wanamtapeli maana hata akipata dawa ikifanya kazi siku moja yanayofuata ni mateso
Amethubutu hadi kubadilisha jina eti maelekezo ya babu[emoji23][emoji23]
MrJobless baada ya kunifunga siku yake moja ndio inayompa jeuri siku iliyofuata alishindwa kunifunga tulitoka sare
Hii yote kuonesha Fene ni master of tactics ni ngumu kumuingiza katika mfumo

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kijana [emoji23] nahis nitatafuta sehem yenye Network hata km n Bar niwe naenda Kwa Ajiri yenu dharau sipendi
 
Mkuu usitumie nguvu kubwa humu kila mtu najua kiwango chake we n next level NI vile watakaza Tu fuvu...
Angalau kidogo Eng ibird anaweza kukutambia kidogo.. sema itabidi mcheze Tu kumaliza ubishi
Naamin utajua Game kukubali Uwezo wa Mtu ni step ya kuimprove maana ukiwa unakataa utakuwa unacheza tu huna unalojifunza
 
guys mambo zenu..me mgeni wa hili gemu hakuna pa kulichezea offline kabla sijakua mzoefu..ninalo kny sim tayari
 
Code 777AF

Njoo ukiwa na akili zako timamu,
At your own risk
 
Ttz nakaa code inasearch muda mrefu hakuna mtu na mm nakuwa na arosto
 
Back
Top Bottom