Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Una akili sana!! Zile zinaleta presa na kufanya jambo lionekane gumu kumbe ni simple pale kanisani au msikitini fasta tayar.Hivi mie sio mwanamke nini?mbona mambo mengi yanayosemekana yanapendwa na wanawake mie ni kinyume chake
Uzi mwingine ule wanasema wanawake wanapenda kifo cha mende,mie hata sio mdau wa kifo cha mende
Binafsi sipendi harusi wala harakati zake,ikitokea nikafunga ndoa mume wangu itabidi anielewe tu kwamba sitaweza zile harakati za kufanya party kuuuuuubwa
Kwanza ni heri tutoke kanisani turudi zetu nyumbani tukamalizane chumbani
Kila jambo na wakati wake ni bora kuwa na subira kuliko kuharakisha ukaingia mahali pasipofaa
Chukua mtoto yupo stendi😎Kumbe bado hujaolewa?🤔 Nilijua mke wa mtu
Nasikia ana jamaa yake mzabzab anamwitaga andunje na inaonekana binti kafa kaoza hapo kwa huyo mshikajiChukua mtoto yupo stendi😎
Sasa hiyo sio gar mpyaWanasema ukitaka kununua gari mpya na kuifanya iwe yako ya kudumu basi hakikisha yule mmililki wa zamani aliyekutangulia hana funguo za akiba...
NB: Hii comment haina uhusiano na gari [emoji17]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasikia ana jamaa yake mzabzab anamwitaga andunje na inaonekana binti kafa kaoza hapo kwa huyo mshikaji
Kwan kuolewa ni kubahatika
Aisee tunafanana kabisa, Mi pia Zile massive Gathering siziwezi, The day ntaoa nadhani ntaita wale Close friends and relatives wachache sana ni wa host Dinner nkiwa na Mke wangu OverHivi mie sio mwanamke nini?mbona mambo mengi yanayosemekana yanapendwa na wanawake mie ni kinyume chake
Uzi mwingine ule wanasema wanawake wanapenda kifo cha mende,mie hata sio mdau wa kifo cha mende
Binafsi sipendi harusi wala harakati zake,ikitokea nikafunga ndoa mume wangu itabidi anielewe tu kwamba sitaweza zile harakati za kufanya party kuuuuuubwa
Kwanza ni heri tutoke kanisani turudi zetu nyumbani tukamalizane chumbani
Katika zama hizi za mabadiliko ya tabia ya nchi viumbe adimu Kama wewe vinapaswa kulindwa kwa wivu mkubwaHivi mie sio mwanamke nini?mbona mambo mengi yanayosemekana yanapendwa na wanawake mie ni kinyume chake
Uzi mwingine ule wanasema wanawake wanapenda kifo cha mende,mie hata sio mdau wa kifo cha mende
Binafsi sipendi harusi wala harakati zake,ikitokea nikafunga ndoa mume wangu itabidi anielewe tu kwamba sitaweza zile harakati za kufanya party kuuuuuubwa
Kwanza ni heri tutoke kanisani turudi zetu nyumbani tukamalizane chumbani