Drones ni game changer kwenye vita

Drones ni game changer kwenye vita

siku hizi hakuna vita, vita zilikuwa ni ww1 na 2 basi. mjerumani alitengeneza u-bot na vifaru vya hatari zile ndizo vita sasa acha hizi za sasa mnzoita vita eti ndege hazina rubani,mjapan aliunda jeshi la kujitoa muhanga la ma pilot walikuwa wanarusha ndege then wanaidondosha kwenye meli vita ya maadui
hizi za sasa ni utopolo sio vita, akifufuka Hitler aambiwe hizi drone ni vifaa hatari vya kivita hatowaelewa kabisa wakati yeye alitengeneza mabomo mazito mpaka yanashindwa kuruka yanatua chini yanauwa waliotengeneza
Nadhan akifufuka atajiona fala sana mana wenzake wanapambana kwa teknolojia rahisi, hvy akae huko huko
 
Zilikuwa vurugu mkuu,

hahahaha ila watu wa zamani bwana sijui ujasili walitoa wapi yani makaburi mengi ya wanajeshi wa ww1 na 2 unakuta kijamaa kilikufa kina miaka 21 kikiwa private jeshini,sasa kwa makadirio si kilianza kazi jeshini kina miaka 17,
 
Nadhan akifufuka atajiona fala sana mana wenzake wanapambana kwa teknolojia rahisi, hvy akae huko huko

hapana mkuu[emoji23] hawezi kujiona fala,mabomu yake yalikuwa heavy sana aise hivi vya sasa vi drones kama umewahi kuona video vikishambulia huwa vinalipua sehemu ndogo sana tena unakuta ni vitano au sita sasaa bomu la Hitler moja tu linalipua umbali mkubwa
hivi vi drones ndio NATO walivitumia kwenye msafara wa colonel Gaddafi havikulipua gari ya gaddafi iliyokua ni armored licha ya kuwa wali target kabisa gari zililipuka za karibu tu chache
 
Umesema mturuki kwa sasa ndio mbabe wa drone anazitengeneza mwenyewe ama anaimport kutoka US na kwingineko
 
Uturuki alimtesa hata Russia kule Syria na hizo drones.

Hivi hapa A/Mashariki kuna nchi zinajua kucheza na hayo madude.?
Hakuna wa kumtesa Mrusi ndugu iyo ni ndoto ya mchana kweupe.majeshi ya Assad yaliendelea kuteka maeneo zaidi kwenye jimbo la Idlib hata baada ya Uturuki kupeleka jeshi kuwasaidia Waasi.
 
Vita vya kisasa vinahusisha zaidi ya technologia ya Hali ya juu, yenye lengo la kupunguza gharama na kuongeza ufanisi.

Kwenye uwanja wa Vita drones zimekua zikifanya Mambo ambayo pengine kwa Vita ya zamani kwa Sasa kutokuwa nafasi.

Vita ya zamani watu walikua wanajificha kwenye mifereji na kwenye nyasi, au comouflage blankets but kwa Sasa kufanya hivyo Ni utopolo kutokana na ukweli kwamba drones na ndege Vita zinathermal sensors ambazo zinaweza detect joto mwili hivyo kuweza kumuona mtu popote alipo.

Kwa Sasa mbabe wa drones Ni Uturuki anayetumia drones zinazoitwa Byraktar Tb2.
Zinatumia GPS na duniani ni United States (GPS), Russia (GLONASS) na China (Beidou) ... EU nao sijui kama wameshamaliza GALILEO.
Turkey hawana GPS yao wenyewe kwa hiyo Marekani akiamua kuirekebisha kidogo tu, drones zinakuwa vlueless .
Just thinking loud.
 
Umesema mturuki kwa sasa ndio mbabe wa drone anazitengeneza mwenyewe ama anaimport kutoka US na kwingineko
Uturuki ni kati ya watengenezaji wakibwa wa drone duniani.
 
ni vifaa kwa ajili ya majeshi ya UVAMIZI sio ulinzi, na wakisha vamia wanahitaji kuweka wasimamizi katika maeneo waliovamia na kushinda hapo bado utahitaji uwepo wa watu , askari jeshi na polisi, ndio kazi (vita ya panga na bunduki) inaanza upya.
Syria drone zilifanya kazi lakisni mwisho wa siku wakashindwa kwenda kuyatawala maeneo waliyoyapiga na kuyateka, Asadi akarudi taratibu na kuweka utawala wake kama kawaida
 
Humjui jiwe vzr jamaa ni show off mmoja matata yaan hakuna mfano ndege ikija na sherehe juu

[emoji23]jiwe ana sifa nyingi sana, ila yapo machache ninakubaliana nae hasa kwenye sekta ya usafiri
 
upo sahihi sana kwa ulivomjibu jamaa,ila pia kuna umuhimu nchi kuwekeza katika teknolojia ili tutengeneze vya kwetu,unajua vifaru tunavyonunua kwa wazungu tunapigwa bei kubwa sana kulinganisha na kama tungetengeneza sisi ?
Hao wa kutengeneze wako wap sasa.? Labla n kweli tunaweza kutengeneze lkn je n kwa ubora upi.?
 
Hao wa kutengeneze wako wap sasa.? Labla n kweli tunaweza kutengeneze lkn je n kwa ubora upi.?

mkuu, Veta huko kuna vichwa sana ni basi tu havipati support ukijaribu kutembelea youtube utaona vipaji tulivyonavyo, watatengeneza kwa ubora mkubwa endapo serikali itaomba baadhi ya wataalamu wa nje kwa mfano upandikizaji wa figo serikali ilifuata wataalamu nje wawafundishe hawa wetu wa ndani na sasa wa ndani wanapandikiza wenyewe
tukiamua tunaweza
 
Mambo Kama haya unayapata National Geographic Channel Yan hapo Kuna mastori matamu Sana kuhusu hizi mambo
 
misile ni habari nyingine mkuu hako ka drone ni cha mtoto tu kwa Missile maana missile zinauwezo wa kulipua mfano Africa nzima at once,zile Missile ambazo trump anatembea na briefcase yenye codes sio za kulinganisha na drones ndio maana korea unamuona kim anahangaika na missile sio drone kwanza vi drones havina speed havifai kwa vita hivyo,missile inasafiri haraka sana
Africa nzima at once? Wacha wee!🤣🤣🤣
 
mkuu, Veta huko kuna vichwa sana ni basi tu havipati support ukijaribu kutembelea youtube utaona vipaji tulivyonavyo, watatengeneza kwa ubora mkubwa endapo serikali itaomba baadhi ya wataalamu wa nje kwa mfano upandikizaji wa figo serikali ilifuata wataalamu nje wawafundishe hawa wetu wa ndani na sasa wa ndani wanapandikiza wenyewe
tukiamua tunaweza
Veta wanacopy technologia youtube
 
Back
Top Bottom