kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Tunajadiliana na darasa la Saba hapa[emoji16]Kama drone ilipiga 600km deep in russia, tena kwenye airbase sasa hapo nini cha ajabu.
Alafu kuwa na akili kidogo huwezi tumia THAAD/PARTIOT kwenye cheap target kama hizo.
Kwa hiyo ukiona 100 rounds akili yako inakwambia makombora 100 ? (Pole sana)
Usitunge kichwani kwako, soma habari ilivyo kwenye chombo chochote cha habari cha MABEBERU unachokiamini BBC, CNN, RUETERS nk. Tatizo hujui kiingereza,. Maelezo jinsi walivyokufa wale askari yametolewa vizuri tu. Walidondokewa na kifusi / Debris cha drone iliyotunguliwa ikiwa inawaka moto tokea angani. Drone ingepiga ndege au chochote na kuilipua mabeberu LAZIMA wangerusha picha ya ndege iliyopigwa na kuwaka moto!!
Soma tena!!
CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory
Hili nalo neno[emoji16]SK walizitrack drone wakatuma fighter jet pamoja Helicopters,lakini ndugu yetu Supapawa drone imeenda 600km deep kwenda kubutua airbase.
Ninachosema ni 100 rounds of ammunitions!! Hata kama ni rounds za mawe si ndizo walizoziamini! Kwa akili yako unafikiri drones zimerushiwa risasi au? Kwa aibu wameshindwa hata kuainisha ni rounds za silaha zipi!!! Mtutu wa ndege hutema makombora/missiles au mabomu!!! Utakuwa unafikiri kwa kutumia tumbo kama unafikiri walirusha risasi 100!! kama za bunduki nya kawaida!!! Haya tuambie wewe walirusha 100 rounds za vitu gani??Ukumbuke ni standard kwa ndege vita/combat helicopter kuwa na gun
Mfano hapo chini ni specs za KA50/KA52 Helicopter ya Urusi. Hizo rounds hapo ni missil
View attachment 2459148
Jamaa inaonekana kichwani ni empty kabsa..,hafikilii hata kwamba inawezekanaje kutuma makombora mia kwa ajili ya drones zisizofika hata 10Makombora 100 unayajua kweli
Uliposema makombora 100 hapo kwenye original POST ulimaanisha nini?Ninachosema ni 100 rounds of ammunitions!! Hata kama ni rounds za mawe si ndizo walizoziamini! Kwa akili yako unafikiri drones zimerushiwa risasi au? Kwa aibu wameshindwa hata kuainisha ni rounds za silaha zipi!!! Mtutu wa ndege hutema makombora/missiles au mabomu!!! Utakuwa unafikiri kwa kutumia tumbo kama unafikiri walirusha risasi 100!! kama za bunduki nya kawaida!!! Haya tuambie wewe walirusha 100 rounds za vitu gani??
Baada ya kupewa ARV na USA. Bdio mnaiongea vibaya USA, maneno haya kweli shetani ana nguvu Sana. Na Kama USA angeamua kukausha kutoa misaada kwa sisi ngozi nyeusi tunaowaza mapenzi muda wote tungekuwa tushaishaMarekani Ni mchina Alie changamka
Na kuongezea zile hazina binadamu mule ndani, hata ikilipuliwa hakuna kupoteza uhaiNa hii ni mara ya pili drone zinapenya 600+km into russia.
Vita ya kupambana na Drone ni ngumu sana kwa sababu ya Flight path/altitude zinatembea
Na hii 600+km ni mara ya pili. Mara ya kwanza zilipiga sehemu mbili tofauti.SK walizitrack drone wakatuma fighter jet pamoja Helicopters,lakini ndugu yetu Supapawa drone imeenda 600km deep kwenda kubutua airbase.
Ujue kiwanja kulipuliwa haiwezi kuwa siri kiasi cha kuficha kwa kuwa inawezekana kupiga picha kwa satelite toka angani!! Kama kiwanja kingelipuliwa mabeberu wangeshangilia sana na kurusha hizo picha!! Dunia ya leo huwezi kuficha kitu kama hicho. Kwani kambi ya Marekani kule Iraq iliyopigwa na Iran si tuliona pcha zake? Unafikiri hizo picha alirusha Marekani mwenyewe? Angetamani afiche lakini haiwezekani!!Kwahiyo tunakubaliana kwamba drone ilifika mpk kambini?!
Kwanza hiyo taarifa imetolewa na Wizara ya Ulinzi ya Russia na tunawajua Russia kwa Uongo,kule Crimea walituongopea hivihivi lkn baadae picha za satellites zikawaumbua ndege tisa zilikua zimeliharibiwa vibaya. Hata hili tukio la Leo tunasubiri picha za satellites tuone jinsi warusi walivyochachafywa mpk wameamua kuhamisha bombers zao toka hapo Engels
Timu marekani inapumulia kwenye mashine!!! Hawana cha kusema. Ulinzi wa Bwana wao umefedheheshwa!!Warusi wa buza wameona super pawer anawaaibisha, Sasa nyimbo zao za kusifu na kuabudu wameona ni vema wakaanza kumwimbia north Korea
Komaeni tu na super pawer wenu hivyo hivyo, hata kama kwaangusha[emoji16]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Vipi nio
Wala sija data na tako maana sio mshabiki makalio ila uto tupaja na hako kadress😛😜Hicho kinachokuchanganya ni m*vi, hakuna chochote humo..,shtuka
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ndo hizo anasema Ni komboraHata ndege Vita zinatumia Risasi. Kajifunze uongeze maarifa.
Kwa hiyo walienda na mwanasesere kupambana na drones zilizovuka mpaka au?? Hiyo guttling gun imeandikwa wapi? Inajulikana mitutu ya ndege hurusha missiles na mabomu. Hairushi risasi za kawaida!! Zingekuwa risasi za kawaida zingekuwa ni maelfu walav siyo 100. Hilo peke yake linaweza kukupa ufahamu! Haya tuambie wewe hiyo gattling gun uliyojitungia ilirusha rounds 100 za nini? za mawe au?Ni risasi za gattling gun. Haya wewe thibitisha ni 100missiles.
Kujifariji bwana, kwahiyo wakaziacha zizunguke huku wakijaribu kuzidungua ikashindikanana ndege yao moja ikaanguka yote ni ukute eti wanakuachaUsiamini ukute walikuwa na uwezo wa kudungua wanakuacha ujifariji uko imara,
Inabidi wawe makini maana wahuni sio watu
Quote zangu zote huko juu umeziruka. Sasa nina haja gani ya kujadiliana na wewe tena.Kwa hiyo walienda na mwanasesere kupambana na drones zilizovuka mpaka au?? Hiyo guttling gun imeandikwa wapi? Inajulikana mitutu ya ndege hurusha missiles na mabomu. Hairushi risasi za kawaida!! Zingekuwa risasi za kawaida zingekuwa ni maelfu walav siyo 100. Hilo peke yake linaweza kukupa ufahamu! Haya tuambie wewe hiyo gattling gun uliyojitungia ilirusha rounds 100 za nini? za mawe au?
Ifike kipindi kabla ya kupost uwe unapita google kupata hints za kile unachopost aiseeKwa hiyo walienda na mwanasesere kupambana na drones zilizovuka mpaka au?? Hiyo guttling gun imeandikwa wapi? Inajulikana mitutu ya ndege hurusha missiles na mabomu. Hairushi risasi za kawaida!! Zingekuwa risasi za kawaida zingekuwa ni maelfu walav siyo 100. Hilo peke yake linaweza kukupa ufahamu! Haya tuambie wewe hiyo gattling gun uliyojitungia ilirusha rounds 100 za nini? za mawe au?