Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Stay tuned hapa kwa updates mbalimbali kwa yatakayojiri katika droo hii hapo baadaye saa 3:30 usiku.

Simba SC 🇹🇿 anaweza akakutana na timu moja wapo kati ya hizi
• ES Tunis 🇹🇳
• Mamelodi Sundowns 🇿🇦
• Wydad Club Athletic 🇲🇦

Yanga SC 🇹🇿 inaweza kukutana na tumu moja wapo kati ya
• A = USM Alger 🇩🇿
• B = Rivers United 🇳🇬
• C = Pyramids FC 🇪🇬

Unatamani timu yako ikutane na nani?

Mnaiona nusu fainali?



UPDATES ZA Simba SC
Simba yapangwa kukipiga na Wydad Casablanca ya Morocco Simba itaanzia nyumbani.

Updates za Ligi ya Mabingwa kwa ujumla
1680723770306.png

Picha: Droo nzima ya Ligi ya Mabingwa


1680724039357.png

Picha: Namna nusu fainali mpaka fainali itakavyochezwa

UPDATES ZA Yanga SC
Yanga yapangwa kukipiga na Rivers United ya Nigeria

Updates za Shirikisho kwa ujumla

1680720798334.png

Picha: Droo nzima ya Robo fainali

1680721060134.png

Picha: Utaratibu wa Robo fainali na nusu fainali
 
Simba wakipewa ES Tunis wanapigwa total 4+ njee ndani ..wakipewa Mamelodi Sundowns wanapigwa 6+ njee ndani..wakipewa Wydad Club Athletic wanapigwa 7+ ...

Uchaguzi ni wao kupelekewa moto aku kwepeki .[emoji91][emoji91]
 
Simba wakipiwa ES Tunis wanapigwa total 4+ njee ndani ..wakipewa Mamelodi Sundowns wanapigwa 6+ njee ndani..wakipewa Wydad Club Athletic wanapigwa 7+ ...

Uchaguzi ni wao kupelekewa moto aku kwepeki .[emoji91][emoji91]
Umeona kama Mimi, ila hapo Kwa mamelodi umebugi kidogo, ni 9+ nje ndani[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom