Kila mmoja anaweza kuwa na access ya kuingia twitter, hiki unachokifanya (kutujazia pic za twitter hapa) ni ushamba.Aahaahhaaah
Acha roho ya kwanini
Wahuni washaivamia page yao ya twitter
Yap, naona vinega wamejiandaa kuona tu akutana na mwamba ganiNi zamu ya timu kubwa sasa...
Kama wao walivyoanzia kwetu na sisi tunawafuata kwao kibabe. Tutabonda mpaka wachakaeDraw tayari imekamilika kwa shirikisho. Rivers United vs Yanga. Wananchi hapo vipi ni mteremko au spana mkononi.
Usifafanishe ya Simba na Kaizer na ya Rivers na Uto...Nendeni kichwakichwa mkashangazwe.
Yaleyale ya kusema KizerChiefs wana team mbovu kisa wanashika nafasi ya saba kwenye ligo yao.
Stay tuned hapa kwa updates mbalimbali kwa yatakayojiri katika droo hii hapo baadaye saa 3:30 usiku.
Simba SC 🇹🇿 anaweza akakutana na timu moja wapo kati ya hizi
• ES Tunis 🇹🇳
• Mamelodi Sundowns 🇿🇦
• Wydad Club Athletic 🇲🇦
Yanga SC 🇹🇿 inaweza kukutana na tumu moja wapo kati ya
• A = USM Alger 🇩🇿
• B = Rivers United 🇳🇬
• C = Pyramids FC 🇪🇬
Unatamani timu yako ikutane na nani?
Mnaiona nusu fainali?
UPDATES ZA Simba SCYanga yapangwa kukipiga na Rivers United ya Nigeria
Updates za Ligi ya Mabingwa kwa ujumla
UPDATES ZA Yanga SC
Updates za Shirikisho kwa ujumla
View attachment 2577768
Picha: Droo nzima ya Robo fainali
View attachment 2577772
Picha: Utaratibu wa Robo fainali na nusu fainali
Mniite 🐕nimekaa paleHatuhitaji mizigo ya kuni kwenda kuota moto katikati ya uwanja, hapa pira sayansi tukutane nusu.
Hapa ndipo hufanya niwaombee mabaya yanga....Usifafanishe ya Simba na Kaizer na ya Rivers na Uto...
Uto. waliofungwa na Rivers kipindi kile sio Uto...hii ya sasa, Sasa Uto wana timu nzuri Sana....
Safari ya Uto...kuelekea nusu fainali ipo wazi kabisa....labda bundi aingie.
Kumbe kupaisha mpira ni ushirikina sikuhizi?Ingia YouTube google finally ya Africa [emoji288] cup of nations
Moja ya
Case study
Ivory coast vs Egypt
Dider drogba alikosa goli la wazi ule mpira hata wew usinge upaisha...
Ushirikina upo sana
Kiapo chako hujasema kama una akili timamu au nusu kaputi.Kuanzia leo hii hadi pale nitakapojisikia Kuacha GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki Mkuu wa Timu Bingwa, Imara na Kabambe ya River United FC.
Tutaelewana kuanzia sasa mtakoma!