Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Mimi ni shabiki wa Simba ila Haki ya mungu tukipangwa na hiyo Wydad casablanca basi ndo safar yetu imeishia hapo yani ***** haturambi hata Milion Tano, na hata kam Rais akisema kila kona mnapewa milion 5 bado hatutoramba hata Moja.
Ngoja niingie kwnye mfungo wa nusu saa hapa wa kuomba hicho kikombe cha Wydad kituepuke Yarabi. SIMBA NGUVU MOJA
Ngoja niingie kwnye mfungo wa nusu saa hapa wa kuomba hicho kikombe cha Wydad kituepuke Yarabi. SIMBA NGUVU MOJA