Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Usifafanishe ya Simba na Kaizer na ya Rivers na Uto...

Uto. waliofungwa na Rivers kipindi kile sio Uto...hii ya sasa, Sasa Uto wana timu nzuri Sana....

Safari ya Uto...kuelekea nusu fainali ipo wazi kabisa....labda bundi aingie.
Twende taratibu;

Kigezo kipi umekitumia kuwa lebel Rivers Utd kama vibonde dhidi ya Yanga Sc?

Wa
 
Kubali kuelimishwa.
Unafiki kitu Cha ajabu kweli

Iliwekwa link ya kumpigia kura Chama Jr hapa ya twitter sikuona hii reply yako

Iliwekwa link ya kumpigia kura Mudathir hapa ya twitter hii reply yako sikuiona hapa

Kama wajanja kama wewe mnaweza ingia twitter why zile link na picha ziliwekwa humu!?

Pita hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…