Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Mpira hauna ushirikiana, nendeni mkapambane uwanjani.


Tukirudi kwenye point yako ya kujaribu kulinganisha Congo na Nigeria kiushirikina, nadhani utakuwa unatania.
Nimekunukuu,
"Tukirudi kwenye point yako ya kujaribu kulinganisha Congo na Nigeria kiushirikina, nadhani utakuwa unatania"

NAOMBA UFAFANUZI KWA HOJA YAKO HAPO JUU KAMA HAUTOJALI??
 
Tayari
 
Wydad umekiwisha babaaaaaaa,nlkuwa nakutaka sana wydad babaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uliotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…