Tutaruhusu kushambuliwa sana kama approach itakuwa ni kujilinda zaidi au unamaanisha nini ?Huo mchezo hautakuwa na mbio nyingi kwasababu muda wote tutakuwa kwenye eneo letu
Utopolo tuna mabinti wazuri tuKila la kher Yanga [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu. [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
We nomaSimba vs Wydad
Rivers United vs Yanga
Raia watasema haiombwi hivyoUtopolo tuna mabinti wazuri tu
Zama dm upewe zawadi mrembo [emoji7][emoji41]
Haya sasa mkachukue kombe lenu la kuishia Robo fainali mnalotupigia kelele kila siku.Hao tukiwafunga goli 2 bila, tukifika kwao tukaze tufungwe hata goli 1 tu, hapo tutakuwa tumetoboa
Hesabu za vidoleHao tukiwafunga goli 2 bila, tukifika kwao tukaze tufungwe hata goli 1 tu, hapo tutakuwa tumetoboa
Uzuri kwasasa ule upuuzi wa kubweteka na kutegemea ile kauli ya "kwa mkapa hatoki" hautakuwepo, maana ile kauli ilikuwa ni ya kipuuzi sana wenye big games kama ile dhidi ya Raja na ilituadhibu, wachezaji na benchi la ufundi waheshimu team pinzani na wajiandae vizuri kuicheza game vizuri nyumbani.Onyango hana mbadala kwa sasa, tuombe tu awe na siku njema kazini kwenye mechi zote mbili.
AhaahaaaHaya sasa mkachukue kombe lenu la kuishia Robo fainali mnalotupigia kelele kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza sasa.Naisubiria kwa hamu mechi ya whydas Casablanca
Unaruhusiwa kuotaUzuri kwasasa ule upuuzi wa kubweteka na kutegemea ile kauli ya "kwa mkapa hatoki" hautakuwepo, maana ile kauli ilikuwa ni ya kipuuzi sana wenye big games kama ile dhidi ya Raja na ilituadhibu, wachezaji na benchi la ufundi waheshimu team pinzani na wajiandae vizuri kuicheza game vizuri nyumbani.
Kitu cha kuomba sana ni kuepuka majeraha kwa key players wetu kwenye hizi game za karibuni, maana hatuna kikosi kipana kwasasa.
Me naamini game haitakuwa mbaya kwa Simba Sc.
Super ligi nako typo ni mwendo wa bali linatembea. Nyie super league hamruhusiwiHizi ambazo mpaka mkabeba kuni kwenda kuota moto katikati ya uwanja,mkapigwa faini dola elfu 10 na CAF leo unaziita za kushirikishwa/kualikwa.
Ujue nyie ndio timu ya kwanza ya CAF kubeba kuni kwenye ndege,hamna timu kutoka Afrika iliyowahi kufanya hivyo. Ila may be kwenu inawezekana ikawa mafanikio kusafiri na zigo la kuni kwenye ndege.
Marekebisho ya ile pichi tu mliyo iunguza wameitwa Wataaaaalam kuto UK kurebesha nyie mshazoea kuwapa hasara wenzenu, huku kwa mkapa mling'oaga mpaka viti.
Ila inawezekana zikawa kweli ni za kualikwa na ndio maana wenzetu mkaenda na zigo la kuni may be mlijua kuna kupika.
It's not over yetHaya sasa mkachukue kombe lenu la kuishia Robo fainali mnalotupigia kelele kila siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
AhaaaahahHawa wydad wamevamia mtumbwi WA vibwengo,
Hela chukueniIt's not over yet
Lakini kumbuka kuna $650K on pending nikitoka kwemye hii hatua
Hiyo huwezi kuipata hata ukifika nusu
Sijaomba maoni yako.Unaruhusiwa kuota