Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
😂😂Hatua ya makundi ya klabu bingwa Africa imetamatika, hivyo kinachofuata ni draw ya robo fainali itakayoenda hadi fainali.
Simba inawashindani watatu ambao wanaweza kupangwa nao. Timu moja tu kati ya timu hizo tatu ndio ambayo sio ya kiarabu.
Wengi wanatamani kuona mechi ya Simba vs Mamelod ila kwa mimi naombea Simba ipangiwe Wydad Casablanca kwenye mechi ya robo fainali.
Tatizo pesa au kuvuka robo mnapofika kizalizali kila siku!?..yanga Haina shida na pesaIt's not over yet
Lakini kumbuka kuna $650K on pending nikitoka kwemye hii hatua
Hiyo huwezi kuipata hata ukifika nusu
Mkienda kwao game saa 7 Usiku kama kawaida...onyangooooooooooooolAhaaaahah
Hapo myoni unatetemeka
Wydad kajileta kwenye moto mwenyeweHela chukueni
Wydad usiniangushe
TawileKati ya Mamelod au Wydad ndio timu nyepesi,, Mamelod anafunga na kufungwa pia kiufupi anabeki mbovu I think ana cleansheet 1 au 2 tu..
Wydad yeye anasafu butu ya ushambuliaji,,,hivyo ukijikaza ukampiga 2 hapa ukienda kwao suluhu ipo
Marehemu alikua na mdomo sana,utapigwa tatu Kama konyagi kwa mkapa Kisha nne CasablancaWydad kajileta kwenye moto mwenyewe
Sasa si tunataka kuona kama ana matako ya sufuria au lah
Kizari zari na wakati ulikuwa unaona miamba iliyokuwa inaangushwa ni heavy weight?Tatizo pesa au kuvuka robo mnapofika kizalizali kila siku!?..yanga Haina shida na pesa
Hawa wydad wamevamia mtumbwi WA vibwengo,
Heavy weight gani babu, jwaneng!?...unataka uanachama uwe Bure!?Kizari zari na wakati ulikuwa unaona miamba iliyokuwa inaangushwa ni heavy weight?
Yanga haina shida na pesa wakati mchango wa 29,000 wa kulipia, kadi Manara aliwaamuru magrupu admin kuwa remove members ambao hawatoi hela na kufanya Club ikwame?
Uzuri ni kwamba hata hilo unalolisema likitokea haiwezi kuwa nomaMarehemu alikua na mdomo sana,utapigwa tatu Kama konyagi kwa mkapa Kisha nne Casablanca
Al Ahly nilimchapaHeavy weight gani babu, jwaneng!?...unataka uanachama uwe Bure!?
Huko form four failures, mpaka uliroga ili angalau uvuke robo kwenda nusu.Uzuri ni kwamba hata hilo unalolisema likitokea haiwezi kuwa noma
Unajua kwasababu gani?
Kwasababu nimefungwa na timu kubwa tena kwenye mashindano makubwa na magumu.
Ishu ipo kwenye levels zenu za form four failures ambao mmegeuka kuwa resetters na kuanza kujifananisha na sisi