Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Kama sio nguvu za soda na mpira wa mdomoni....

Kwa jinsi media za TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 zinavyo ivimbisha Bichwa yanga Sc.....

Kama kwel yanga Sc wapo vizuri kama tunavyo aminishwa na wana propaganda wa yanga....

Yanga akipangwa na RIVERS UNITED anatoboa...
Yanga akipangwa na PYRAMIDS FC anatoboa...
Yanga akipangwa na USM algel anatoboa......

Narudi Kwa timu yangu ya Simba 🦁 kitakacho amua ni dakika 90 za mtanange.....

Kila timu Ina muheshimu mpinzani na inatambua nguvu za Simba ya TANZANIA
Es Tunis...
Mamelod sandowns....
Waydad club althetic.....

SIMBA GUVU MOYA 🦁🦁
 
Aksante Mungu kwa siku ya leo

Naomba utuepushie Mamelody, na utupe Esperance de Tunis...

Amen.
 
HV hakunaga kitu lingine Cha sis kujadili kila Muda Ni nyuz za mpira na story ,za kishirikina

Wote tunajuwa kuwa leo italetwa draw lkn ajabu mnaanza kujadili vitu vilivo wazi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
dr namugari hiyo avatar yako inaweza mtoa nyoka pangoni.....

Hapa suzungumzii nyoka wa kibisa au nyoka wa bujora.....

🤚
 
The 2022/23 CAF Champions League and Confederation Cup quarterfinal stage draw will take place in Cairo today. 🇪🇬

The draw ceremony will begin at 18:30 hours GMT and 21:30 hours EAT! ⏰

Stay right here for all the updates. 🚨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…