Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Nasikia ni wa mwisho kwenye ligi ya nyumbani kwao.hawa Marumo Gallants nawaangakia ss iv Dstv 229 wako vzr
Rivers watatuletea kelele mjini
Hatudharau ila tunafanya tathmini tuMikianza kudharau game mapema hivi, ujue kushindwa kupo karibu.
Azam bila kuitaja Simba, habari yao haiwezi kuuza
Huyo unaye m-quote siku hizi kahamia Yanga? Maana wenyewe kwa wenyewe mnaangaika na Yanga.Mikianza kudharau game mapema hivi, ujue kushindwa kupo karibu.
Utopolo wana timu nzuri sana kwa sasa, uwezekano wa kupita ni mkubwa.Nimeona watu wengi wanaichukulia pia hii game dhidi ya wapopo, haitakuwa nyepesi kama watu wanavyodhani.
Napenda sana hilo litokee, ila sijui kwanini Rivers siwaamini kihivyoMkuu unawachukulia poa River
Yanga shughuli wanayo
Mpira hauna ushirikiana, nendeni mkapambane uwanjani.Bwawa la ndumba lipo 9ja
Ila
Yanga Ina wa congoman wengi wanajua sana izo mambo...
Nakumbukaga ile mechi....lili letwa sinia jipya yakamiminwa maji likawekwa KOMBE (Kisomo)
Then Kila mchezaji akiwa ametoka kuoga msafi tena usiku Moja kabla ya mechi hurusiwi kuchakata mbususu a. k.a papuchi
Tulijipaka Yale maji YENYE KOMBE timu nzima
Tukiwa ingia uwanjani ni ushindi kwenda mbele.....
Nendeni kichwakichwa mkashangazwe.Utopolo wana timu nzuri sana kwa sasa, uwezekano wa kupita ni mkubwa.
Ingia YouTube google finally ya Africa 🌍 cup of nationsMpira hauna ushirikiana, nendeni mkapambane uwanjani.
Tukirudi kwenye point yako ya kujaribu kulinganisha Congo na Nigeria kiushirikina, nadhani utakuwa unatania.
Mtakufa mmesimama na hamtaaminiKuanzia leo hii hadi pale nitakapojisikia Kuacha GENTAMYCINE natangaza rasmi kuwa Mshabiki Mkuu wa Timu Bingwa, Imara na Kabambe ya River United FC.
Tutaelewana kuanzia sasa mtakoma!
Daahh..uhurumoja?!Hapo aje yoyote final ni Yanga na Far Rabat