Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Hata wakati ule (alipowafunga Ahly) hamkuwahi kumheshimu, mlidai kapuliza dawa na mliwaita underdogs.

Leo mnawezaje kusema ile ilikuwa ni Simba Sc hatari?
Mpira ni takwimu mkuu.. Simba aliyeifunga Ahly alikuwa ni top timu ndani ya nchi yake akiwa ni bingwa back to back 3 times paka wakati ule huku akiwa na makombe yote ya ndani kuanzia community shield paka Azam federation Tena back to back...
Takwimu za Simba za kipindi kile zilionesha Simba ile ilikuwa timu Bora sana Kwa wakati huo japo kawaida ya utani tuliwabeza..

Nakushangaa umeshindwa kuliona hilo na unaishi ki mazoea wakati uhalisia unaonekana wazi kabisa.

Msipokubali kukosolewa Yanga atawapiga gemu hata huko kimataifa ambapo rekodi ya robo fainal mnaiona kama kilele Cha mafanikio Kwa timu yenu
 
Jeuli unaitoa wapi? Maana kwa rank timu zote mbili mbili zimekuzidi.View attachment 2444105

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hii rank umeipatia wapi na ni yalini?

Hii ni ya wiki mbili zilizopita ebu icheki

Screenshot_20221212-172526.png
 
Huyu Vipers anapoint zetu 6

Na huyo foronya atatuachia 3 hapa kwa Mkapa

Raja Casablanca nikimchapa hapa lupaso kule kwao napeleka kikosi B
Uwachape kwa wachezaji wako kina Kiyombo Akpan na Kibu
 
Kwa mara ya tatu sasa, AL AHLY anabahati mbaya sana ya kupangwa na Mamelod kila mara kwenye Group stage.
 
Ingekuwa oldest basi Caf wasingekuwa wanaitumia katika mashindano ya msimu husika ya inter club

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Caf hawawezi kutumia takwimu za miaka mitano nyuma wakati kila mwaka timu zinaongeza points

Na ndio maana nimekuwekea hapo rank ambayo ni recently ya wiki mbili zilizopita
 
Jeuli unaitoa wapi? Maana kwa rank timu zote mbili mbili zimekuzidi.View attachment 2444105

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hata wakati Simba anafika robo mara ya kwanza hivi karibuni yeye ndiye aliyekuwa mdogo kuliko wote, ila akampiga aliyekuwa bingwa pamoja na bingwa wa shirikisho akasonga mbele. Tumeshazoea maneno yenu ya kwenye khanga.
 
Back
Top Bottom