Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Droo ya Hatua ya Makundi CAF: Yanga yapangwa na TP Mazembe, Simba wapangwa na Raja Casablanca

Mungu tuepushie hii Aibu ilowapata jirani zetu
Screenshot_20221212-163902_Chrome.jpg
 
Umeangalia makundi mengine kabla ya hilo?

Hilo ni kundi jepesi sana tena sana
Hakuna sababu ya kubisha kuwa simba haipo vizuri na Kundi ni gumu hili kwa timu simba yetu kutokana na inapopitia ila simba ni simba hata kama mgonjwa na uzoefu wa hii michuano upo.
 
Kinacho waponza mnadhani Simba ile ndio hii
Mkuu acha kufananisha Tp Mazembe na timu mbovu mzee..
Hivi unajua baada ya Ahl Ahly, timu inayofuata Kwa mafanikio barani Afrika ni Tp Mazembe, Wana caf champions league 5 na confederation cup 2, caf super cup 3 pia wameshiriki FIFA club world cup mara 5

Hawa ndugu zetu wauza ngada wao Wana Kombe la mambuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna sababu ya kubisha kuwa simba haipo vizuri na Kundi ni gumu hili kwa timu simba yetu kutokana na inapopitia ila simba ni simba hata kama mgonjwa na uzoefu wa hii michuano upo.
Actually hatuwezi kukataa kuwa Simba haiko stable ila ni sehemu ndogo sana ya kufanyia marekebisho

Tunaenda kwenye dirisha dogo, huko ndio tunaenda ku regulate hizo dosari
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hususani Yanga

Tp Mazembe ya saizi haieleweki inacheza nini yani tia maji tia maji tu

Hao watunis nao inaonekana ni clone ya Club Africain, huyo mwingine ndio simjui hata rekodi yake

Ila upande wa Simba naye muheshimu ni Raja Casablanca tu kuwa atanisumbua, hao wengine waliobaki ni vipigo tu
Hororya sijui kwasasa kama watakuwa kwenye ubora ule wa nyuma maana misimu kadhaa nyuma ilikuwa ni timu ambayo hawakosekani robo fainali.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sana
Ila kusema ukweli Simba awamu hii hatuendi robo fainali, hatuna timu imara ya ushindani.

Timu nyingi ziko vizuri kuliko sisi japo tutajitetea kwa maneno mengi ila ukweli ndo huo, hatuwezi tembelea historia ya nyuma ambako tulikuwa na timu yenye ushindani na morali ya hali ya juu.

Kwa sasa tunagombana huko ndani mambo hayako sawa na mwezi February sio mbali ambako tutaanza kunyolewa na mabeberu yaliyowekeza cash tofauti na sisi wazee wa akina bhebhe wanasusa susa mithili ya mwali mwenye mimba changa
 
Mambo yote yanafanyika kimahesabu

Wote hao wana point 9 zetu kwa mkapa

Kati ya hao kuna natafuta mmoja wa kutoa sare naye kwake ikiwezekana na kipigo kabisa

Baada ya hapo hata unifunge goli 5 haiwezi fanya nisipite

Ni swala la hesabu tu
Vipers ana point zetu 6.
 
Back
Top Bottom