Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeangalia makundi mengine kabla ya hilo?To be honest; hili kundi siyo poa kabisa kwa mnyama. Asipokuwa makini, anaweza hata kushika mkia. Maana hakuna kibonde hapo.
Hiyo ya 0-6 kuna magoli ma 4 ambayo Yanga walifungwa wakabishaMungu tuepushie hii Aibu ilowapata jirani zetu
View attachment 2444097
Hakuna sababu ya kubisha kuwa simba haipo vizuri na Kundi ni gumu hili kwa timu simba yetu kutokana na inapopitia ila simba ni simba hata kama mgonjwa na uzoefu wa hii michuano upo.Umeangalia makundi mengine kabla ya hilo?
Hilo ni kundi jepesi sana tena sana
Mkuu acha kufananisha Tp Mazembe na timu mbovu mzee..Kinacho waponza mnadhani Simba ile ndio hii
Hakuna sababu ya kubisha kuwa simba haipo vizuri na Kundi ni gumu hili kwa timu simba yetu kutokana na inapopitia ila simba ni simba hata kama mgonjwa na uzoefu wa hii michuano upo.
Actually hatuwezi kukataa kuwa Simba haiko stable ila ni sehemu ndogo sana ya kufanyia marekebisho
Tunaenda kwenye dirisha dogo, huko ndio tunaenda ku regulate hizo dosari
Hororya sijui kwasasa kama watakuwa kwenye ubora ule wa nyuma maana misimu kadhaa nyuma ilikuwa ni timu ambayo hawakosekani robo fainali.Hususani Yanga
Tp Mazembe ya saizi haieleweki inacheza nini yani tia maji tia maji tu
Hao watunis nao inaonekana ni clone ya Club Africain, huyo mwingine ndio simjui hata rekodi yake
Ila upande wa Simba naye muheshimu ni Raja Casablanca tu kuwa atanisumbua, hao wengine waliobaki ni vipigo tu
Ila kusema ukweli Simba awamu hii hatuendi robo fainali, hatuna timu imara ya ushindani.
Timu nyingi ziko vizuri kuliko sisi japo tutajitetea kwa maneno mengi ila ukweli ndo huo, hatuwezi tembelea historia ya nyuma ambako tulikuwa na timu yenye ushindani na morali ya hali ya juu.
Kwa sasa tunagombana huko ndani mambo hayako sawa na mwezi February sio mbali ambako tutaanza kunyolewa na mabeberu yaliyowekeza cash tofauti na sisi wazee wa akina bhebhe wanasusa susa mithili ya mwali mwenye mimba changa
SawaActually hatuwezi kukataa kuwa Simba haiko stable ila ni sehemu ndogo sana ya kufanyia marekebisho
Tunaenda kwenye dirisha dogo, huko ndio tunaenda ku regulate hizo dosari
Kwa level yangu huku Club Bingwa, hili ni kundi simple sanaHororya sijui kwasasa kama watakuwa kwenye ubora ule wa nyuma maana misimu kadhaa nyuma ilikuwa ni timu ambayo hawakosekani robo fainali.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Al Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa
Yanga wasinguwa kwenye nafasi aliyowekwa Al Hilal kwasababu pot ya Al Hilal na Yanga ni tofauti. Yanga ingefuzu wangekuwa kwenye pot 4.Al Hilal huko alipo atakuwa analia tu
Huku Yanga wanasema bora hatukupita
Yani kenye CAFCL Simba Sc iwe underdog dhidi ya vipers ambao ndo kwanza wameiona hatua ya makundi??Kwa hili kundi simba ni underdog+++
Vipers ana point zetu 6.Mambo yote yanafanyika kimahesabu
Wote hao wana point 9 zetu kwa mkapa
Kati ya hao kuna natafuta mmoja wa kutoa sare naye kwake ikiwezekana na kipigo kabisa
Baada ya hapo hata unifunge goli 5 haiwezi fanya nisipite
Ni swala la hesabu tu
Ni bora walitoka tu[emoji23].Al Ahly
Mamelodi
YangaAl Hilal
Coton Sports
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Ilibaki hiviiiii, yaaani, sema ndio vile tenaaa
Mnawapa hype tu, kwahiyo hapo unaamini kabisa Simba Sc itamaliza chini ya Vipers?HUWAJUI VIPERS
Basi mwaka huu mwafa!! Labda mfanye usajili wa kueleweka mwezi January.Umeangalia makundi mengine kabla ya hilo?
Hilo ni kundi jepesi sana tena sana
Halafu baadae mnakuja kusema tuliwapulizia dawa kwenye dressing rooms, au mnakuja kusema ni vibonde.To be honest; hili kundi siyo poa kabisa kwa mnyama. Asipokuwa makini, anaweza hata kushika mkia. Maana hakuna kibonde hapo.
Hlf mwambie na yeye akupe mechi 4 za hivi karibuni aambzo yanga alishinda ugeniniSimba hata ugenini anaunguruma tu.
As vita 0 , simba 1
Plateau utd 0 , simba 1
Nyasa big blet 0 ,simba 3
De Agostal 0, simba 3
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app